Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,865
- 103,718
lakini mbona hizo sehemu mbili walikuwa tayari wamejitenga na Ukraine inachofanya ni kuwashambulia wale pro Russia?
lakini mbona hizo sehemu mbili walikuwa tayari wamejitenga na Ukraine inachofanya ni kuwashambulia wale pro Russia?
Yeah, yaani hii vita iko strategic Sana,as we speak now anaelekea Kiev.Jambo la kwanza ni kuwa bei ya mafuta na gesi zitapanda ajabu. Cha kushangaza ni kuwa Russia itafaidika sana kwa sababu wao wanaproduce oil na gas kwa wingi.
lakini mbona hizo sehemu mbili walikuwa tayari wamejitenga na Ukraine inachofanya ni kuwashambulia wale pro Russia?
Hahaha. Yaani jamaa kaamua haogopi sanctions za EU na Marekani. Russia imechoka na vitisho wameamua kucheza ngoma, bila kujali consequences.Yeah, yaani hii vira iko strategic Sana,as we speak now anaekekea Kiev.
Nchi za Afrika zitaumia kushinda nchi za magharibi. Kenya, Tanzania, Uganda sote tunaimport mafuta na hatuna hata refineries wala strategic oil reserve ya kustore mafuta. Nchi kama India, China, US wana mapipa makubwa ya kustore mafuta ili tatizo kama hili likitokea angalau watakuwa na supply ya wiki kadhaa ya mafuta. Sisi Waafrika huwa tunaishi kibahati bahati tu. Hatuwezi kuunda vaccine ya corona, hatuwezi kuchimba mafuta wala kuyasafisha, yaani tupo tu tunangoja kufanyiwa kila tu. Bei ya mafuta itakapopanda, tegemea bei ya kila kitu kitapanda pia.Ni kweli,ila anataka kuyatumia hayo majimbo ya Donbas kama njia kuingia Kiev,na yupo njiani kuelekea huko. Yaani Uchumi wa dunia utayumba Sana.
Yeah sijasoma uchumi..ila ni kitu nafwatilia sana na napenda kujisomeaNdio nimelisomea. Pesa kukosa thamani ni tatizo kubwa sana. Madhara yake ni mengi tu. Japo exporters wanabenefit, bei ya imports inaongezeka, hio inaleta inflation katika uchumi. Upande mwingine deni linaongezeka kwa maana lazima yalipwe kutumia dollar ilhali dollar inakuwa more expensive na adimu kwenye market.
It takes time tu develop..wengi wao wana over 200 years of civilization..plus sasa hivi kuna neo colonialism hatari..ili kutoboa inabidi tutumie what i call Asia Style...Nchi za Afrika zitaumia kushinda nchi za magharibi. Kenya, Tanzania, Uganda sote tunaimport mafuta na hatuna hata refineries wala strategic oil reserve ya kustore mafuta. Nchi kama India, China, US wana mapipa makubwa ya kustore mafuta ili tatizo likitokea angalau watakuwa na supply ya wiki kadhaa ya mafuta. Sisi Waafrika huwa tunaishi kibahati bahati tu. Hatuwezi kuunda vaccine ya corona, hatuwezi kuchimba mafuta wala kuyasafisha, yaani tupo tu tunangoja kufanyiwa kila tu. Bei ya mafuta itakapopanda, tegemea bei ya kila kitu kitapanda pia.
Just few seconds after this post imetokea!Jambo la kwanza ni kuwa bei ya mafuta na gesi zitapanda ajabu. Cha kushangaza ni kuwa Russia itafaidika sana kwa sababu wao wanaproduce oil na gas kwa wingi. Afadhali waafrika tuanze kujitegemea na tuwache kutegemea mafuta kutoka nje.
Ni kweli.It takes time tu develop..wengi wao wana over 200 years of civilization..plus sasa hivi kuna neo colonialism hatari..ili kutoboa inabidi tutumie what i call Asia Style...
Unasomesha watu nje (Goverment)..ila unawapa mikataba itayowafunga nchini .wanakuja na ku copy technology na kuileta nchini kwako .
Huku unakua ume invest kwenye industries, labs, research centres zitazokuja kuwafanya wa apply hio knowledge
Alisema "we are immune to sanctions" jamaa kachafukwa balaa😆😆Hahaha. Yaani jamaa kaamua haogopi sanctions za EU na Marekani. Russia imechoka na vitisho wameamua kucheza ngoma, bila kujali consequences.
Just few seconds after this post imetokea!
Ni vyema unakuwa kweli kwenye reality, hapo manake mtatumia zaidi akiba yenu ya fedha za kigeniShillingi la Kenya linapoteza thamani dhidi ya dollar haraka sana. Hili ni tatizo kubwa kushinda hata la deni kubwa la Kenya. I hope CBK will be able to control its depreciation.
Hapa wanapita kimya. Umeshika makende na kisu cha butcher.Tunawalisha,utalii mnatutegemea, biashara,remittances nk..
Kenya kwa Tanzania hamchomoki.
Na hapa bisha
View attachment 2127045



Lakipia exportation yenu itaongezeka, sababu ya kushuk kwa dhaman ya pesa,mbaya ni iyo inflation itapandisha sana bidhaa zenuNdio nimelisomea. Pesa kukosa thamani ni tatizo kubwa sana. Madhara yake ni mengi tu. Japo exporters wanabenefit, bei ya imports inaongezeka, hio inaleta inflation katika uchumi. Upande mwingine deni linaongezeka kwa maana lazima yalipwe kutumia dollar ilhali dollar inakuwa more expensive na adimu kwenye market.
utawaskia ati wana uwezo wa kupanda ndege zaidi kwa vile income levels zao zipo juu!Hapa wanapita kimya. Umeshika makende na kisu cha butcher.![]()
Sasa tukianza kuleta hivi vinyumba viwili viwili jf si itacollapse?Usijali, siku moja mtafika tu hii level ya Karen. Rome wasn't built in a day View attachment 2127300View attachment 2127301View attachment 2127303View attachment 2127306View attachment 2127309View attachment 2127312