chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,308
- 45,107
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waliambiwa project itagharimu $500ml mpk ss tunapoongea mchina anasema keshamaliza $668ml na ujenzi unaendelea, unajua hiyo inamaanisha nn? Maana yake hii road itakuwa hailipiki kwa hiyo miaka 30 labda miaka 100, so hawa wakunya wa humu wote watakufa hii road haijalipwa, na asilimia kubwa ya wakunya humu hawana gari na wachache wenye gari hawatotumia hyo road![]()
Mchina keshatumia $668 million na bado mambo bado? 😂😂😂😂😂😂😂

