Usijali, siku moja mtafika tu hii level ya Karen. Rome wasn't built in a daySlum la karena 😂😂😂😂😂
Wazungu hawakukosea waliposema Kenya ni mother of slums duniani
View attachment 2127251
Hawa wasichana wa tanzania achana nao tu..kuna mwengine nilikua na yeye miaka 6 iliopita..msichana alikua bomba vinoma....alafu alikua na lugha nyingine tamu sana ..kuna vitu anaeza kukwambia wewe mwenyewe ukajikuta umetoka msa ukaenda Dar kumuona mara hio..alikua na sauti nyingine poa sana..hii ni ushuhudia niliojionea mimi mwenyewe...Huyu speaker wa bunge lenu anayeitwa Tulia Ackson ni mrembo sana. Hahaha
View attachment 2127290View attachment 2127291View attachment 2127293
And what's your point? Unazoom ukitafuta dreamhouses Karen? 😂narudia tena 😂😂😂👇👇👇👇
before zooming
View attachment 2127262
after zooming haya toka na hapa sasa🤣🤣🤣🤣View attachment 2127263
hizi zenu ni nini.....covering 90% of darSlum la karena
Wazungu hawakukosea waliposema Kenya ni mother of slums duniani
View attachment 2127251
aliekwambia nani?? unga unaingia kama kawaida ndio maana tumewapiga gap kubwa sana kwenye mauzo 🤣🤣🤣🤣Mbona unga wenu ya mahindi uliosagwa haukubaliwi kuingia Kenya?
😂😂😂😂😂😂 acha kukasirika sasaAnd what's your point? Unazoom ukitafuta dreamhouses Karen? 😂
Naam, nipo vizuri na nimesoma shule za serikari mchepuo wa sayansi ila sijisifii.Wewe uko fluent kwenye lugha ya Kingereza?
Maana mmesoma hkl na hata kujieleza tu hamuwezi.
😂😂😂😂😂 nchi inazidi kumalizika
umesomea uchumi?..hii ni kweli maana hapo deni linapanda na lenyeweShillingi la Kenya linapoteza thamani dhidi ya dollar haraka sana. Hili ni tatizo kubwa kushinda hata la deni kubwa la Kenya. I hope CBK will be able to control its depreciation.
😁😁😁 Chill out young ladheheh tuliza kipapa sasa 🤣🤣🤣
hata ingekua sio wa serekali kuu kwani governor anachagulia na wanyama na sio watu ???🤣🤣🤣🤣Hawa sio wafanyikazi wa serikali kuu. Hawa ni wafanyikazi wa county
kumbe na ww unajua naomba uwajulishe na wenzako wasiojua pia 🤣🤣🤣🤣🤣Shillingi la Kenya linapoteza thamani dhidi ya dollar haraka sana. Hili ni tatizo kubwa kushinda hata la deni kubwa la Kenya. I hope CBK will be able to control its depreciation.
Ndio nimelisomea. Pesa kukosa thamani ni tatizo kubwa sana. Madhara yake ni mengi tu. Japo exporters wanabenefit, bei ya imports inaongezeka, hio inaleta inflation katika uchumi. Upande mwingine deni linaongezeka kwa maana lazima yalipwe kutumia dollar ilhali dollar inakuwa more expensive na adimu kwenye market.umesomea uchumi?..hii ni kweli maana hapo deni linapanda na lenyewe
Jambo la kwanza ni kuwa bei ya mafuta na gesi zitapanda ajabu. Cha kushangaza ni kuwa Russia itafaidika sana kwa sababu wao wanaproduce oil na gas kwa wingi. Afadhali waafrika tuanze kujitegemea na tuwache kutegemea mafuta kutoka nje.