Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi vijumba 6 ndiyo unataka kufananisha na Fumba?

Chukua hivi vijumba 6 changanya na Karen na bado huwezi fikia Fumba mzee.
Vioingo ni project inayoendelea ina phases kadhaa, sass ngojeni moto wake manake naona umeshapanic
 
Hivi vijumba 6 ndiyo unataka kufananisha na Fumba?

Chukua hivi vijumba 6 changanya na Karen na bado huwezi fikia Fumba mzee.
Vioingo ni project inayoendelea ina phases kadhaa, sass ngojeni moto wake manake naona umeshapanic
 
Tony254, hapa tunazungumzia Kenya, hao ni watumishi wa Kenya, kuhusu muundo wa serikali yenu sisi hautuhusu, kwahiyo wafanyakazi wa county hawana haki ya kupata "salaries?. Kenya is a failed state from all directions, from Central to County levels.
Hahaha!!shauri yao na county yao
Bora wengine huku wameleipwa, zikuwarudi sawa watamchagua gavana anayejielewa next round
 
1645591556040.png

NYAYO ESTATE NAIROBAE
 
Nilete picha ya msaada wa chakula kutoka China,au unabisha ww mungiki!?
Mnanua msaada kutoka kwenye majangwa ya waarabu halafu mnajitetea kwenu ni semi arid , yaani majangwa yanaweza zalisha chakula lakini nyinyi matajiri namba 6 Afrika mnashindwa zalisha . Sasa utajiri gani huo au ndio utajiri wa mchongo?
 
Chinese first class train , wanasiasa wakenya wajanja sana wanatengeneza kitu hata kama low quality wanakipa jina tamu kama ile ulta modern bus stand . Halafu wakunya nao wanajifanya blinded kusifia japokua ukweli unabaki moyoni mwao
Walipenda Kiingereza mkuu,"Chinese first class"🤣🤣🤣 pumbaf Sana.
 
Watanzania hebu niwaulize kwa heshima na unyenyekevu ni kwa nini huwa mnakataa kukubali kwamba Kenya ina uchumi mkubwa (wa sita Afrika kwa ukubwa wa uchumi) eti kwa sababu kuna Wakenya wachache kaskazini mwa Kenya ambao wanalala njaa? Kwa hivyo kama kuna Wakenya wanaolala njaa hio inamaanisha kwamba Kenya ina uchumi mdogo? Mbona hata Angola ilikuwa inapigana vita in the 1960s and 70s lakini bado ilikuwa na uchumi wa nne kwa ukubwa barani Afrika? Mbona Nigeria ilipigana vita in the 1960s (Biafran war) na wakati huo wa vita bado ilikuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa barani Afrika na watu zaidi ya milioni mbili Nigeria wenye asili ya Igbo walikufa njaa kufuatia ukame mkali uliotokea eneo hilo? Licha ya majanga haya yote, uchumi wa Nigeria bado ulibakia kuwa wa pili barani Afrika kwa ukubwa.
 
Watanzania hebu niwaulize kwa heshima na unyenyekevu ni kwa nini huwa mnakataa kukubali kwamba Kenya ina uchumi mkubwa (wa sita Afrika kwa ukubwa wa uchumi) eti kwa sababu kuna Wakenya wachache kaskazini mwa Kenya ambao wanalala njaa? Kwa hivyo kama kuna Wakenya wanaolala njaa hio inamaanisha kwamba Kenya ina uchumi mdogo? Mbona hata Angola ilikuwa inapigana vita in the 1960s and 70s lakini bado ilikuwa na uchumi wa nne kwa ukubwa barani Afrika? Mbona Nigeria ilipigana vita in the 1960s (Biafran war) na wakati huo wa vita bado ilikuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa barani Afrika na watu zaidi ya milioni mbili Nigeria wenye asili ya Igbo walikufa njaa kufuatia ukame mkali uliotokea eneo hilo? Licha ya majanga haya yote, uchumi wa Nigeria bado ulibakia kuwa wa pili barani Afrika kwa ukubwa.
over 50% wachache?
 
Watanzania hebu niwaulize kwa heshima na unyenyekevu ni kwa nini huwa mnakataa kukubali kwamba Kenya ina uchumi mkubwa (wa sita Afrika kwa ukubwa wa uchumi) eti kwa sababu kuna Wakenya wachache kaskazini mwa Kenya ambao wanalala njaa? Kwa hivyo kama kuna Wakenya wanaolala njaa hio inamaanisha kwamba Kenya ina uchumi mdogo? Mbona hata Angola ilikuwa inapigana vita in the 1960s and 70s lakini bado ilikuwa na uchumi wa nne kwa ukubwa barani Afrika? Mbona Nigeria ilipigana vita in the 1960s (Biafran war) na wakati huo wa vita bado ilikuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa barani Afrika na watu zaidi ya milioni mbili Nigeria wenye asili ya Igbo walikufa njaa kufuatia ukame mkali uliotokea eneo hilo? Licha ya majanga haya yote, uchumi wa Nigeria bado ulibakia kuwa wa pili barani Afrika kwa ukubwa.
Uchumi mkubwa una viashiria vyake na njia zake ambavyo Kenya havipo. Sasa hapo ndio tunatilia shaka the figures on paper.
 
Back
Top Bottom