Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Ukimaanisha nini, manake kwetu kipo piaHapa ni kibaha pwani.
Anasubiriwa Mh.Rais akafungue hiki chuo masomo yaanze mara moja.
NB;Ni cha kwanza kujengwa in sub-saharan countries.
View attachment 2126119
View attachment 2126120
View attachment 2126121
View attachment 2126122
View attachment 2126123
View attachment 2126124
View attachment 2126125
Hii project haikuwa na BOQ ? Ila kuna mdau alisema humu project ukiona hamna bango la contractor ujue wizi upo karibu . Kweli ichoboy alisema ukweli kama sikoseimchina atawaua wakenya aloo
😖 umejuaje haya, mbona mapya? Au mwenzetu ndio tena...Hahaha. Hao wa kuweka kichwa ndio huwa wanamwaga ndani.
Inakaa Hujanielewa yani kuanzia awamu ya tatu ambayo haijajengwa , brt zitakazojengwa huko mbeleni ziwe na uwezo wa kupitisha tram au sehemu brt zinapoishia kwa mfano mbagala rangi 3 wajenge njia za tram mpaka uko kisemvule sijui mkuranganadhani tram itakuwa Dodoma na kama Dar basi kuanzia phase 5! Maana kuziweka inamaana kutindua zile lanes! Parefu hapo!
😎 1 Principal ya combination ya science = 3 Principals za combination ya artMagu alikuwa kipanga kivipi, enzi hizo akimaliza kidato Cha sita alipata daraja la ngapi lililomfanya akasomee diploma ya kemia ya ualimu badala ya shahada.
Awamu ya tatu ina maana kuomba mkopo tena!Inakaa Hujanielewa yani kuanzia awamu ya tatu ambayo haijajengwa , brt zitakazojengwa huko mbeleni ziwe na uwezo wa kupitisha tram au sehemu brt zinapoishia kwa mfano mbagala rangi 3 wajenge njia za tram mpaka uko kisemvule sijui mkuranga
Usikariri vitabu vilivyoandikwa Kibera wewe aunt. Market economy does not work in a vacuum. There is always an intervention or regulatory system mostly government systems/instutions responsible for setting better environment and monitoring system i.e fair trading environment (policies/rules/procedure) for what you call market economy.Toa tongo tongo kwanza
A market economy is an economic system where two forces, known as supply and demand, direct the production of goods and services. Market economies are not controlled by a central authority (like a government) and are instead based on voluntary exchange.
Jiulize wewe sasa km tz mpo wapi
Mbona hasira, mzee soma uelewe kwanzaUsikariri vitabu vilivyoandikwa Kibera wewe aunt. Market economy does not work in a vacuum. There is always an intervention or regulatory system mostly government systems/instutions responsible for setting better environment and monitoring system i.e fair trading environment (policies/rules/procedure) for what you call market economy.
Kwa mwendo huo inaonekana wazi wewe hukusoma sayansi kwa kiwango Cha juu na hesabu huwezi ndio maana unafikiri aliyesoma sayansi ana akili iliyopitiliza.
Tanzania ufaulu unaanzia division four na kipindi Cha nyuma mwenye EEE alikuwa anaingia university kuchukua shahada ila jamaa alichemka akaenda kusoma stashada ya kemia ya ualimu.
Kumbuka hata thesis yake ya korosho Ina walakini ndio maana kiingereza kilikiuwa kinamsumbua kwa mtu aliye jinasibu kusoma kiingereza Toka kidato Cha kwanza mpaka uzamivu na alitetea thesis zake.
Ndio hapo mtu wa maumuzi magumu anahitajikaAwamu ya tatu ina maana kuomba mkopo tena!
si lazma kwanza phase III ni ile ya kwenda Gongo la Mboto na kuna MGR inapita the same corridor inayoweza kuwa-linked up na JNIA pia all the way to Gongo la Mboto-Pugu! Vitu vingine ni ucheleweshwaji wa maendeleo kuanza ku-procrastinate mipango! Tram sioni umuhimu wake na kuna nchi nyingi nazijua zimetoa tram na kuweka BRT!Ndio hapo mtu wa maumuzi magumu anahitajika