The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ss Kenya nchi kubwaGdp za nchi 15 kubwa za Afrika kuanzia mwaka wa 1960.




Ss Kenya nchi kubwaGdp za nchi 15 kubwa za Afrika kuanzia mwaka wa 1960.




Bongolala, Masaki ya apartments milioni moja ikifika hii level ya Karen njoo kwenye meza ya mazungumzo
Posh Karen ranked among top 10 luxury home hotspots in the world
Naona umepost arial view 😂😂😂, hakuna hata mtu mmoja anaekataa kama Karen kuna nyumba nzuri (tho it's no where close to be compared to Fumba town Zanzibar ) Ila shida ni kwamba hakuna barabara za lami in almost the whole area 😂😂😂, Masaki is better than Karen. Kuhusu luxurious estate za kwetu ni bora kuliko chochote mlichonacho back home.. Linganisha na fumba tow 👇.. is Karen even close to Fumba town.? Hii ni world class estate kabisa..Usijali, siku moja mtafika tu hii level ya Karen. Rome wasn't built in a day View attachment 2127300View attachment 2127301View attachment 2127303View attachment 2127306View attachment 2127309View attachment 2127312
Hamna la kucheka hapo. Kwa sasa Kenya ndio nchi ya sita kwa ukubwa wa Gdp hapa Afrika. Lia ucheke, lakini ukweli mchungu ndio huo.Ss Kenya nchi kubwa![]()
Pia kuna taifa gasmbona azam energy wala miraa wanatumia huko 😂😂😂
umeweka comment ya vichwa vya mtumba asubuhi hii ukishangaa, mimi nimetafsiri ulitaka viwe vipya! Kama si maana yako basi nisamehe..Mkuu wapi nilisema hivyo lete hiyo comment au kasome upya
Halafu mnategemea chakula cha msaada . Yaani tajiri hana hela ya kula....mhhhhh!!! Sifa za kijingaHamna la kucheka hapo. Kwa sasa Kenya ndio nchi ya sita kwa ukubwa wa Gdp hapa Afrika. Lia ucheke, lakini ukweli mchungu ndio huo.
Wewe tofauti yako na kondoo ni harufu.
Sasa juu wewe ni kondoo unadhani kila mtu ni kondoo humu!
Mkiambiwa mfanye tafiti kabla ya kuokota okota picha kondoo hamsikii.
Tena ziliharibiwa kwa kukosa phytosanitary documents na zilikuwa tani 3.5 kondoo wewe.
Huyo minister tayari ashafungua maghala ya kuuza chakula Sudan kusini na Congo, sasa hivi yuko kwenye hatua za kufungua ghala la kuuza chakula Mombasa kondoo wewe.
Kenya nzima hakuna minister anayemfikia huyo minister kondoo wewe.
Level zenu ni hizi kondoo wa kienyeji wewe.
wakenya ni matapishi kabisaa yaani ni wachafu sanaDuh aisee hatukosei kuwaita Wakunya, wakunya ninyi wote ni mavi![]()
Hii comment!Uwezo wenu wa kung'amua nadhani ndio shida,ulitaka aseme tu cha mkandarasi,maelezo hujasikia.Nikikumbushe tu hicho kichwa ni sehemu ya mkataba wa SGR.Msilete mada sisizo na msingi
Kwa hiyo hiyo delivery inamilikiwa na serikali ya Tanzania?Uwezo wenu wa kung'amua nadhani ndio shida,ulitaka aseme tu cha mkandarasi,maelezo hujasikia.Nikikumbushe tu hicho kichwa ni sehemu ya mkataba wa SGR.Msilete mada sisizo na msingi
NJAA country
Sasa hiyo tweet ya Gerson haitoi hata context ya delivery! Hajasema kuwa hicho kichwa ni cha mkandarasi na kitatumika kwenye testing. Kwasababu kuna major delivery ya treni Nyingine April.Uwezo wenu wa kung'amua nadhani ndio shida,ulitaka aseme tu cha mkandarasi,maelezo hujasikia.Nikikumbushe tu hicho kichwa ni sehemu ya mkataba wa SGR.Msilete mada sisizo na msingi
Achana na mambo ya mitandao. Njoo utembee Karen, ukikutana na apartment mahali popote uje utuambie na usisahau kupiga picha upost humu tuone.Nicxie ofcz there are apartments in karen...why are you telling us lies?View attachment 2127481