Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Nakuambia hata finished goods zenu mkiziuza bure hatutakubali ziingie huku.Sio kwamba mtapenda bali itawalazimu, maana viwanda vyetu vitakuwa vina produce products kwa gharama nafuu kuliko viwanda vyenu cz tutakuwa na umeme wa kutosha na wa bei nafuu, hivyo kupelekea kuteka soko la finished goods hapa EA na SADC pia.