Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,866
- 103,718
kichwa cha Mkandarasi sio? au Azam marine boat?
Chakula chenyewe tunanunua kwa pesa yetu.Halafu mnategemea chakula cha msaada . Yaani tajiri hana hela ya kula....mhhhhh!!! Sifa za kijinga
Karen, one of the leading residential areas in the world View attachment 2126257View attachment 2126258View attachment 2126259View attachment 2126260View attachment 2126261



Dunia unaijua wewe, Acha upumbavu .. taja hapa hapa Africa, hiyo ni posh area yenye inatajika kidunia .?
fala kweli wewe.. owky these are houses for porverty elevation project in China (houses for poor pp in the villages)
View attachment 2126453View attachment 2126455View attachment 2126457View attachment 2126458View attachment 2126460alafu uko hapa kupiga kelele Karen kutajika katika level za dunia
, wachina maskini wanaishi maeneo mazuri kuliko matajiri uko kwenu, mitaa ya Karen Ina vumbi, haina hata side walks .. unapiga kelele kutajika duniani
fala kweli wewe
Ona hiyo Karen sasaView attachment 2126472View attachment 2126473View attachment 2126475View attachment 2126477
, Dah noma sana.. wachana na articles zinazowajaza ujinga manzee





nyumba za maskini kwa kenya ni nyumba za matajiri poshKwahiyo Karen yote ni hizi nyumba kumi tu .? 😂😂 Acha ufala wewe jamaa.. no paved roads in Karen still uko hapa kuitaja mbele ya Masaki, ar you crazy or something.?Achana na mambo ya mitandao. Njoo utembee Karen, ukikutana na apartment mahali popote uje utuambie na usisahau kupiga picha upost humu tuone.
Taswira ya Karen ni hii hapa and this is how it looks like kila mahali View attachment 2127498View attachment 2127501
View attachment 2127499View attachment 2127504
Umemfanyia ukatili mkubwa snNaona umepost arial view, hakuna hata mtu mmoja anaekataa kama Karen kuna nyumba nzuri (tho it's no where close to be compared to Fumba town Zanzibar ) Ila shida ni kwamba hakuna barabara za lami in almost the whole area
, Masaki is better than Karen. Kuhusu luxurious estate za kwetu ni bora kuliko chochote mlichonacho back home.. Linganisha na fumba tow
.. is Karen even close to Fumba town.? Hii ni world class estate kabisa.. View attachment 2127461View attachment 2127462View attachment 2127463View attachment 2127464View attachment 2127465View attachment 2127466View attachment 2127467View attachment 2127468View attachment 2127469hii sio middle East bruh, hii ni bongo land..















nyie wakenya mshakuwa vichaa sasa,unabishana na realityArguing with a fool is such a difficult job, especially if the fool is a Tanzanian.
Bongolala, first and foremost, there are no apartments in Karen. Hakuna mahali utaenda Karen ukutane na apartment. Baadhi ya picha zako zinaonyesha vizuri Sana apartments and this one below is an example
View attachment 2126561
Sijui hiyo ni Karen gani iko na apartments!
Secondly, kwa jinsi ulivyomjinga you can't even take a minute to read the names of places you are posting here as Karen. Tangu lini Dagoretti ikawa Karen? This image is clearly written Dagoretti but you are still insisting it's Karen.
View attachment 2126611
Dagoretti and Karen are two different places
Listen bongolala, Tanganyika nzima hakuna mtaa inakaribia Karen. Hata utembee hadi wapi hutapata. Uliza huyu mwenzako akuadithie View attachment 2126592
Inabidi tuwachape ili wajue ukweli, mana jamaa anaongea sana 😂😂😂.. comfort zone yao kidogo kidogo tunaitia dosari mwisho wa siku watakosa cha kusema humu..Umemfanyia ukatili mkubwa sn
Mwenzio hakuna alichobaki nacho zaidi ya estate, ss ukimwambia huko nako amechapwa utafanya akimbie battle![]()
Jirani usipate kiwewe!!!Ngoja tusubiri.View attachment 2127528
Geza kapenda rangi ya hii mambo!!!sio letu hili kweli jamani?!
April sio mbali.. Ila kama chuma zetu ndio hizi, 😂😂😂 Mungiki tumeziua mamamaeeView attachment 2127528
Geza kapenda rangi ya hii mambo!!!sio letu hili kweli jamani?!
We ngoja tunawaua hawa mwaka huu, tulikuwa tunawaambia mwakani sio mbali, ss wakiona hii wataanza kususa mana rangi zinaonesha ni TRC kabisaView attachment 2127528
Geza kapenda rangi ya hii mambo!!!sio letu hili kweli jamani?!

















Kifo cha mende ndembendembe😂April sio mbali.. Ila kama chuma zetu ndio hizi, 😂😂😂 Mungiki tumeziua mamamaee
🤣🤣🤣🤣We ngoja tunawaua hawa mwaka huu, tulikuwa tunawaambia mwakani sio mbali, ss wakiona hii wataanza kususa mana rangi zinaonesha ni TRC kabisa![]()
Ushawatetemesha alafu unawapa reliefJirani usipate kiwewe!!!Ngoja tusubiri.















