Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ruto akila Mirungi Hadharani
FB_IMG_1645524311556.jpg
 
Mkuu wapi nilisema hivyo lete hiyo comment au kasome upya
Kuna mtu Munjombe anadai ati Mkataba umesema vifaa vya mkandarasi yaani Yepi Merkezi lazma viwe vipya ina maana aingie gharama ya kununua vichwa vipya kwa ajili ya testing kwa kila mradi! Ikumbukwe kabla ya hapo Yapi merkezi walikuwa Ethiopia, Senegal pia nchi zingine za middle east na Uturuki yenyewe!

 
unamaanisha nini? Ndege zetu zinaenda Ufanransa na Ubelgiji? yaani unataka kusema kupanda kwake ndege ya Emirates na kutumia gulf stream gharama zipo wapi? Amekaa zaidi ya wiki France halafu akaenda Belgium hebu kwa haraka haraka piga mahesabu gharama za kui-park huko! Mimi binafsi sijaona tatizo la yeye kupanda commercial flight Emirates!

Sidhani kama umenielewa. Ukipanda mwendo kasi toka kimara mwisho mpaka kivukoni ni gharama nafuu kuliko kuendesha gari lako mpaka mjini.
 
Sasa unataka nikubali Dagoretti ni Karen ili iweje? Ndio nikufurahishe ama? Karen ukienda hutatamani kurudi uswazini Dar kwenye joto
narudia tena 😂😂😂👇👇👇👇
before zooming
36B20B4D-1A7D-4245-853C-BDA821530BEF.png











after zooming haya toka na hapa sasa🤣🤣🤣🤣
F624FF89-40E8-44EE-A6C8-AD8C96AFCB56.png
 
Hata kwenye ndege mlisema hamtopanda ndege za atcl ila nikuambie tu Wakenya wameanza kupanda TC kuja Tz na kurudi huko kwenu ilihali KQ zinakuja na kuondoka kila siku.
Wacha tuone kama Kenya itakubali kununua unga wa mahindi iliosagwa. Kenyan millers ni cartel kubwa sana na hawawezi kubali unga wa mahindi uwe imported wakati tuna millers wanaoweza kusaga mahindi na ngano. Kuimport mahindi ni sawa lakini kuimport unga wa mahindi hilo haliwezekani kamwe.
 
Back
Top Bottom