uhehehehehehhe hulka haimuachi mwenyewe🤣🤣🤣👇👇👇👇 hii ndio city leo inafananishwa na dar Teargas uje na majibu kamili plz
View attachment 2125334View attachment 2125335View attachment 2125336View attachment 2125337
GDP has nothing to do with populationplease please.. kila mara unapo angalia gdp ya nchi flani, zingatia pia na idadi ya watu.! mfano nigeria kwa south africa itakua ushuzi sababu ya uwingi wa watu wengi saaana.!. 211m$490b vs 58m$415b.. ni wapi na wapi.?
kenya kwa tz haitakua ushuzi sababu tz 61m$65b, vs 47m$109b.. ni wapi na wapi.?
less kenya ingekua na 100m+ pple kama vile ethiopia, mungekua na sababu kamili ya kuikandamiza ukubwa wa gdp yetu kama ushuzi. lakini kwa sasa, younger brother anaizidi bigger brother kwa kila jambo. sio idadi ndogo sio uchumi mkubwa..
shida kubwa tuliyo nayo kwenye huu uzi ni kwamba, inakua ngori sana waTz humu kukubali matokeo ata kama ni wazi kabisa..
....🤔 tafakari ya babu
JPM alikuwa kipanga wa wapi?.
Uzuri ni subjective.
Hakuna Rais wa kumzidi Samia kwa mambo aliyofanya mwaka mmja wa uongozi,narudia hayupo .
wakenya hawana lugha, ni kujipendekeza kwa lugha za wanaume, kiswahili, kiingereza n.kAcha kuiga tembo kunya utapasuka msamba. Eti cha kikenya ,kubali upewe shule.
fuatilien hii hashtag,
linganisha na wanayosema humu
Si huwa komora096 NairobiWalker wanakesha humu wakipayuka bidhaa za Tanzania ni ghali kuliko Kenya? Sasa kimewasibu nini? Mafuta ltr 1 ni 6,600 😂😂😂
MK254 na Tony254 husema wao wana service economy mambo ya kilimo walishavuka ndio maana hawalimi😅😅😅
Really? Imekaa kama castle flani England!
Si huwa komora096 NairobiWalker wanakesha humu wakipayuka bidhaa za Tanzania ni ghali kuliko Kenya? Sasa kimewasibu nini? Mafuta ltr 1 ni 6,600
MK254 na Tony254 husema wao wana service economy mambo ya kilimo walishavuka ndio maana hawalimi



stage zingine wameruka au wameshapita siku nyingi.Una vituko wewe jamaa,kwa hiyo wewe ulisomea Kiswahili? Weka vyeti vyake kuanzia O level na A level na mimi nikupe vyangu.Unadhani unaweza jilinganisha kwenye academic performance na JPM ?
Mtu aliyosoma Science A- Level akafaulu huyo sio level yako wewe mzee wa HKL,
Wewe ulisoma masomo gani A-Level? I am assuming atleast ulifika A- Level
Mwana uchumi mzuri.Politics is all about economy and Law na sio physics sijui daktari nkKikwete ni kiongozi bora aliyeleta mwamko mpya kwenye sector binafsi ni kipindi chake sekta binafsi ilikua sana uongozi nauchumi sio kugusa vitu vichache na kudunda navyo it is wide and integrative phenomenon.Angeweza kutumia vilungu kuzima ukosoaji lakini kwa ni kiongozi wa kileo hakutaka kuingia huko kama JPM huku akijua umaarufu wake ungeingia hatarini.JPM alipambana kumzima umaarufu ili watu wapoteze legacy ya aliyepita ni kawaida katika uongozi kutumia mbinu ili watu waondoke kwenye kivuli cha mtangulizi.In my opinion JK anabaki kua bora kwenye uchumi japo kulikua na madhaifu kadhaa but that is humanity.
Weka nyama zaidimkataba wa mafuta View attachment 2125523
Si huwa komora096 NairobiWalker wanakesha humu wakipayuka bidhaa za Tanzania ni ghali kuliko Kenya? Sasa kimewasibu nini? Mafuta ltr 1 ni 6,600 😂😂😂
MK254 na Tony254 husema wao wana service economy mambo ya kilimo walishavuka ndio maana hawalimi😅😅😅
Huyo SA wako ni mpuuzi tu na sisi tunapinga upuuzi ,ona sasa anataka wafanyakazi wa serikali wataje dini na kabila zao ,pia nanayumia mamilioni ya pesa kwenye sensa wakati vitambulisho vya taifa vimekwama ,sasa hapo upumbavu ni kwamba vitambulisho vya taifa vina taharifa zote za wafanyakazi wa serikali pamoja na makabila yao ,kwanini wasitumie hivyo kujua kabila hapo ni mambo ya ufisadi tu kunawahuni wa sa100 wananufaika na huo upumbaavu,moja ya kazi ya vitambulisho vya taifa vya kisasa ni kuwa na taharifa zote za mtu husika,Tangu uanze huu ukosefu wako wa adabu umesaidia nini nchi?
Huu ukosefu wako wa adabu ndo unaleta siasa za kijinga humu.
SSH ndo rais wa JMT na hakuna kitu utafanya. (Hii ipenye kabisa kwenye ubongo wako)