Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndugu yangu muda umefika sas wakuhamia jukwaa la siasa.. naona umeachana na lengo la huu uzi we unajadili siasa tu
Acha upumbavuu hiyo treni si imepostiwa na mkenya sasa kudhungumzia tukio ilo ni kutoka nje ya mada,tunapo sema dar vs nairobi hatumaanishi majengo tu ni kila kitu shule ,hospital ,treni, people ,tabia,vyakula, barabara ,fedha ,
 
Huu utoto sasa! Mama kuingia madarakani March na ku-order vichwa na kuwa delivered January! huku budget zikipitishwa mwezi wa nane!
Kama hivyo vichwa vimeletwa na JPM BASI VITAKUWA NA UFANISI MKUBWA yaani high efficiency na high performance, MAANA SISI HATUNA SHAKA NA MZALENDO WETU NUMBER MOJA TZ " JPM THE GREAT" ila kama vimeletwa na huyu mpumbavuu hapo tutakuwa tumepigwa ,watu watakuwa wamekula kwa urefu wa kamba walizo jipimia
 
Haya matapishi jipake upendeze fala wewe..

JK alijenga uchumi mzuri Sana kwa wananchi na ndio Rais Samia anafuata nyayo.

Nenda ofisi yeyote ya Serikali uliza kama kuna shida ya flow ya pesa kwa sasa kama enzi za nyie washamba
Uchumi gani? Unazungumzia au uchumi wa rizimoko kuuza ngada china ,na kulipa fidia ya mradi wa bandari ya bagamoyo
 
@Geza Ulole kasema kuwa viliagizwa na mzalendo no 1 tz JPM KAMA NI KWELI BASI HIVYO VICHWA VITAKUWA NA UFANISI MKUBWA SINA SHAKA NA JPM HATA KIDOGO ,ILA KAMA VILIAGIZWA WAKATI WA MAMA BASI BILA SHAKA TUTAKUWA TUMEPIGWA
Viliagizwa na jpm au maza sijui ila nachojua hatujapigwa kwa sababu kazi yake kwa ajili ya maintenance ya reli
 
Hivi ulimsikia mkurugenzi wa TRC wiki iliyopita.treni ya majariibio inawasili April au mwanzo wa May.Ujinga ni kupopoma bila kua na taarifa.Tatizo ni kujua kutumia smartphone tu.Kuweni na wivu wa kufuatilia vitu.Wenye akili husubiria Kwanza kabla kusema chochote.
Tatizo ni uwelewa wako? au ni miemko? Kwani hujui kutofautisha kati ya SGR na MGR? kuna sehem umeona nimezungumzia SGR? Mradi wenyew inaonekana hata kufwatilia hufwatili ila nikujifanya mbwekaji....ebu tulia tuu
 
Back
Top Bottom