Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu kaka kuna watu hawana akili
wanasema JPM hakufanya kitu.
Aliyefanya kazi suala la kujengwa SGR ni marehemu,aliyeleta mpango wa mabehewa kujengwa hapa hapa Tz ni marehemu,aliyefufua route ya Tanga,Kilimanjaro,Arusha ya reli ni marehemu,aliyerudisha na kufufua njia ya kupeleka mizigo kwa reli Uganda ni marehemu,aliyeleta mpango wa kuboreshwa MGR ni marehemu.
Miundo mbinu mikubwa km JNHPP marehemu halafu kuna mafala humu ndani wanamfananisha mpika urojo na mwanaumw wa kazi.
Hakuna mtu asiyejua kwamba JPM ndiye Rais bora kuwahi kutokea hapa Tz kando ya Nyerere hata wakunya wa humu wanajua hilo, ukiona mtu anaongea kinyume na hivyo juwa kwamba anajiongopea mwenyewe na anajua kwamba anajiongopea, wengi wanaomponda ni wale wabinafsi waliokatwa mirija ya upigaji, ss mama yao amewaruhusu wale kwa urefu wa kamba yao ila hawatoweza na kilio utakisikia mda c mrefu.
 
just but a replica of hiroshima atomic bomb
💣💣💣💥


Screenshot_20220131-221224.jpg
850398b6-8256-42bb-aa02-417a10350bec.jpeg
 
Kigamboni bridge ilifeli? Tazara flyover ilifeli? Tanzanite bridge imefeli? uongozi ni vision na utekelezaji ni matunda ya vision.Labda hujui Ubinge interchange ni project iliyokamilishwa na Kikwete JPM alitekelezwa Kama ambavyo angekuepo Rais yeyote.Tazam highway Iyovi to Mafinga(Standard Road) ilifeli? Et al
We nawe acha kutuchekesha.
Hivi hiyo miradi nani kaisimamia mpaka ikasimama!?
KATI YA MSEMAJI NA MTENDAJI NANI NI BORA?
KIKWETE ALIKUA ANA CHEO KM CHA MAGUFULI KWANN ASINGEITEKELEZA HIYO MIRADI HT KM KAIFIKIRIA YEYE?
HIYO INAONESHA WAZI KUWA NI MTU WA MANENO SIYO WA VITENDO.
Nakwambia hakuna rais alohamasisha utendaji kazi km Marehemu.
Uliza hata watumishi wa umma wanalijua hilo.
 
Tunataka uchumi urudi kwa wananchi kama hivi sio uchumi wa kupika data na kujisifia propaganda .cc sukuma gang leader lwiva
Wachw kubwata utahira hapa, uchumi gani unao uzungumzia hapa ww kizuu, maisha yamezidi ugumu watu wanalia uko apa kuimba pambio za kipuuzii,wakati unabwatuka u ajua mfumuko wa bei ukoje Tz sahii?wacha ujinga apaa
 
Jicheke mwenyewe kwa kumiliki utajiri wa ujinga.Wewe unataka MGR itumie bullet train.Unaposema MGR ya JPM na ya SSH unamaanisha nini.Kipindi cha JPM kilichokuja ni vile vichwa 11 vya train vikaleta mushkeri tukatangaziwa havina mwenyewe mwisho tukaambiwa TRC imevinunua .Tatizo mnalazimisha kila mtu abaki kuimba Jimbo za kipuuuzi.
We hiyo story ya alfulela hulela umeisikia wapi?
 
Back
Top Bottom