Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani unanionesha nn expressway ya mchina ahahahahaha 😂😂😂😂 expressway hio ambayo mchina atamiliki kwa miaka 30 na pia mutailipia huduma hio mpaka mjukuu wako
Maumivu kama kawa. Badala ya kulialia hapa JF mbona usinunue jembe ukuje uchimbe hiyo barabara. Ama unaezaita meeting na Chinese uwaulize mbona waliamua kujenga barabara world class kama hiyo Nairobi na sio Dark is slum.
 
huu ndio ukweli kutoka kwa nani ??? startupblink ni nani??? 😂😂😂😂
Wewe mwenye hana hata akili unajua nini kuhusu statistics?🤣🤣🤣

1643654207140.png
 
Maumivu kama kawa. Badala ya kulialia hapa JF mbona usinunue jembe ukuje uchimbe hiyo barabara. Ama unaezaita meeting na Chinese uwaulize mbona waliamua kujenga barabara world class kama hiyo Nairobi na sio Dark is slum.
mm siwez kuumia kwa kosa kubwa mliolifanya na litalowagharimu wakenya maskini kwa miaka 30 🤣🤣🤣 mutalia twitter na tutaleta ushahidi humu sisi tunasubiri pain kwenye toll za mchina for 30 good yrs
 
Maumivu kama kawa. Badala ya kulialia hapa JF mbona usinunue jembe ukuje uchimbe hiyo barabara. Ama unaezaita meeting na Chinese uwaulize mbona waliamua kujenga barabara world class kama hiyo Nairobi na sio Dark is slum.
world class 😂😂😂😂 Mungu atupe uhai tutaona Mengi sana au sio nyinyi mulisema SGR ya mchina ni world class leo imekua mavi ya mbuzi
 
Maumivu kama kawa. Badala ya kulialia hapa JF mbona usinunue jembe ukuje uchimbe hiyo barabara. Ama unaezaita meeting na Chinese uwaulize mbona waliamua kujenga barabara world class kama hiyo Nairobi na sio Dark is slum.
kwanini mchina asiwamalize nyinyi 🤣🤣🤣


 
mm siwez kuumia kwa kosa kubwa mliolifanya na litalowagharimu wakenya maskini kwa miaka 30 🤣🤣🤣 mutalia twitter na tutaleta ushahidi humu sisi tunasubiri pain kwenye toll za mchina for 30 good yrs
Sisis ndio tutalia ama wewe ndio unakesha hapa ukilia usiku na mchana? Kwanza ulikuwa unasema hiyo barabara haitajengwa, saa hii najua tumbo inakuuma vibaya sana🤣🤣🤣
 
Sisis ndio tutalia ama wewe ndio unakesha hapa ukilia usiku na mchana? Kwanza ulikuwa unasema hiyo barabara haitajengwa, saa hii najua tumbo inakuuma vibaya sana🤣🤣🤣
sio mutalia mushaanza kulia tayar mulie mara ngap sasa 😂😂😂😂 mchina alipowakamata nyinyi ni siri ya kenyatta na mama ngina pekee wao ndio wanajua mulipokamatiwa

nilidhani mutajenga nyinyi kwa pesa yenu kumbe mumeenda kumpa mchina jumla jumla 🤣🤣🤣🤣
 
sio mutalia mushaanza kulia tayar mulie mara ngap sasa 😂😂😂😂 mchina alipowakamata nyinyi ni siri ya kenyatta na mama ngina pekee wao ndio wanajua mulipokamatiwa
Wewe ndio huwa unalia hapa, ama unadhani huwa hatujui?🤣🤣
 
Najua itauma lakini huu ndio ukweli,
Hii treni ni kizamani Sana, hata kama ni MGR, naomba tulinganishe MGR ya Magufuli na huyu mama.

Magufuli
FEdTG6ZXMAML0QL (1).jpg



Samia
1643651323587 (1).png


Tuliwacheka wakenya sasa ni zamu Yao kutucheka. Hata sasa sina Imani na aina za treni SGR kama tulizoambiwa na Magufuli ndo zitakuja. Nilisema tokea Mwanzo,huyu mama sio kabisa,Ila kuna wajinga wengi humu hawanielewi. Time will tell!😡
 
Back
Top Bottom