Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani mtu anakuja kufananisha arusha na kisumu jamani kisumu hii ya odinga ambayo taxi zao ni baiskeli hvi tuko serious humu ndani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
D6F8A2B1-2AD5-4F8D-87EA-EEFE0158BA7E.jpeg
019F144D-3142-480F-BC88-8CF24FBA334B.jpeg
25D6BF7E-245E-4F81-B30C-A72EBD381C95.jpeg
6C49280D-9C5B-41EB-8FF4-A1669FD9206B.jpeg
BC408E59-B8AA-4F67-9248-98CDF9CEF50B.jpeg
 
See how the airport is empty. Now I know why this airport can`t handle more than 2.5 million passengers in a year🀣🀣🀣
how did u know is empty?? ulikuwepo ndani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hvi ww tabia ya ujuaji utaacha lini au hzo ndege zimeleta vitambaa na mashuka na sio watu
 
hakuna assembly plant ya scania in kenya mzee hzo zinatoka south africa na nilishakwambia wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sawa director wa Scania🀣🀣🀣

 
Acha upuuzi unaanzaje kitu kipya wakati hujamaliza kilichoanza.Serikali ni moja tu mbona tumlisifu JPM kwa kumalizia Terminal 3,Kigamboni bridge,BRT,Kuendeleza TAZAM highway,Kuundeleza taasisi ya Moyo ya kikwete,Japo aliua mradi wetu wa Mchuchuma na Liganga.
Liganga na mchuchuma ulikua na ufisadi wa karne, kama sio JPM kuurudisha kwenye drawing board ulikua ni unyonyaji mwanzo mwisho, mradi ambao mtausikia kwenye Bomba baada ya muasisi wake kuondoka ni huu wa hydroelectric dams ambazo kwa pamoja kama zingejengwa zingeweza kuingiza megawatts 400 kwenye national grid

Waliopo sasa hawataki miradi ya namna hii sababu haina upenyo wa upigaji

 
Direct from the assembly plant in Mombasa





View attachment 2100703

hii hapa ni official website ya scania east aftica nioneshe sehemu wana asembly plant in kenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au munatuona sisi wakuja sana humu ndani

 
Back
Top Bottom