Unataka kuona pia what didn't exist in 2012 in Kenya?., mzee baba bado mko nyuma baada ya miaka kumi[emoji23][emoji23], hakuna siku Kenya ilisimama kuwangoja., mnashangaa shangaa na new developments zenye mlikua hamna mnadhani mmefika eti., Dar utatuletea vipicha around same place angles tofauti.., yaani Dar ni one CBD tu kiukweli, kwingine ni ushuzi tupu, picha humu ni around your few best buildings angles tofauti mmepaka lipstick, mbali na hapo ni vipicha vya kuficha aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]., tunawaacha mbali kila uchao, Ngojeeni SGR ya umeme, ambayo ni umeme tu hakuna cha ajabu, tofauti ni means ya powering [emoji23][emoji23], mnaona ni big deal, idiots[emoji23][emoji23], mfano Kuna Toyota Noah hybrid( electric and petrol), na Kuna pure petrol, zote ni Toyota Noah, powering ndio tu tofauti[emoji848][emoji12][emoji23]., Mitanzania na fikra duni.., hadi raha[emoji23]