Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakuru hospital, siku mtakua na universal healthcare mnitag please 🤣View attachment 2031924
hii ndio kitu nimepata budaa😂😂😂
but usinichukie plz
D6196A46-64B5-45A6-AE52-DAD65BFE2229.png
 
weka clip nasubiri kumsikia baba levo 🤣🤣View attachment 2031922


Can't u click mahali wako kwa studio hapo juu, picha ya sita na ya saba..., Dar city centre ya maana ni moja tu.., kalikie kwa choo hilo najua tokea zamani., Pia mzungu alietembelea Dar, Kampala, Rwanda na the Nairobi, ambaye anajua mengi kamaliza mchezo.., unapenda kauli ya wazungu unataka pia dhibitisho?😂😂😂😂😂😂😂, Unapata tabu sana😂😂😂😂., Umia pole pole
 


Can't u click mahali wako kwa studio hapo juu, picha ya sita na ya saba..., Dar city centre ya maana ni moja tu.., kalikie kwa choo hilo najua tokea zamani., Pia mzungu alietembelea Dar, Kampala, Rwanda na the Nairobi, ambaye anajua mengi kamaliza mchezo.., unapenda kauli ya wazungu unataka pia dhibitisho?😂😂😂😂😂😂😂, Unapata tabu sana😂😂😂😂., Umia pole pole

sijaskia neno kua nairobi is ahead of dar 😂😂😂😂😂😂 na siku ukipata hio clip unitag nifunge acc plz
 


Can't u click mahali wako kwa studio hapo juu, picha ya sita na ya saba..., Dar city centre ya maana ni moja tu.., kalikie kwa choo hilo najua tokea zamani., Pia mzungu alietembelea Dar, Kampala, Rwanda na the Nairobi, ambaye anajua mengi kamaliza mchezo.., unapenda kauli ya wazungu unataka pia dhibitisho?😂😂😂😂😂😂😂, Unapata tabu sana😂😂😂😂., Umia pole pole

hakuna sehemu katamka kua nairobi iko 25yrs ahead of dar na sijaskia 🤣🤣🤣 ukipata hio clip nitag plz nasubiria

www.tuko.co.ke 😂😂😂😂😂😂
 
Unataka clip wewe punguani?.., huu ukweli unakuuma hadi kwa mishipa😂😂😂😂.., dhibitisha sio ukweli hapa sasa hivi wacha kubweka bweka bure kama mbwa koko😂😂😂😂., Sema hakuna interview iliyo fanyika Wasafi FM na hakusema vile, na kama ni ukweli funga account jf😂😂😂😂😂., ni uchungu lakini zoea tu bro, naelewa maumivu namna hii😂😂😂😂😂..,
nasubiria clip kua baba levo kasema nai is ahead of dar kwa 25 yrs nifunge acc leo hii na usiache kunitag plz
B76E7B90-CD7F-4054-9947-340BA3130B33.jpeg
 
Back
Top Bottom