Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani unadhani ni kwanini serikali yenu inashindwa kujenga hata 1km za sgr kwa pesa zenu ....hiyo ni elimu ya kweli ,maana yake uchumi wa kenya 80% nikwaajili ya manufaa ya mabeberu na 20% ndiyo kwa maslai ya wakenya
Wacha mdomo leta facts hapa wachana na hearsay, hapa umereason kama mtu wa pp2
 
With a Amref air ambulance and died, kumbuka when he died we reported here mkatuita roho mbaya, while we spoke the truth, alafu wewe ni typical bongo dude, unajaribu kuppteza wenzako with fake pics
Mimi i was banned for one month sababu ya kureport hapa jamii forums kwamba magufuli amekufia Nairobi Hospital. All my threads kuhusu hio topic zikafutwa pia. now jokes ni kwa moderator na wadanganyika at large. He is dead.
 
1.jpg
 
Unataka kuona pia what didn't exist in 2012 in Kenya?., mzee baba bado mko nyuma baada ya miaka kumi, hakuna siku Kenya ilisimama kuwangoja., mnashangaa shangaa na new developments zenye mlikua hamna mnadhani mmefika eti., Dar utatuletea vipicha around same place angles tofauti.., yaani Dar ni one CBD tu kiukweli, kwingine ni ushuzi tupu, picha humu ni around your few best buildings angles tofauti mmepaka lipstick, mbali na hapo ni vipicha vya kuficha aibu., tunawaacha mbali kila uchao, Ngojeeni SGR ya umeme, ambayo ni umeme tu hakuna cha ajabu, tofauti ni means ya powering , mnaona ni big deal, idiots, mfano Kuna Toyota Noah hybrid( electric and petrol), na Kuna pure petrol, zote ni Toyota Noah, powering ndio tu tofauti., Mitanzania na fikra duni.., hadi raha
Umeongea kwa hofu mno, Wakenya mko desperate sn na Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
who is william osoro🤣🤣🤣🤣😂
Tembelea wasafi radio ukajuzwe kikamilifu, full interview, inauma lakini zoea, wageni kutoka nje ya EAC na sasa wenyeji wanakiri ukweli😂😂😂😂., Usijitie hamnazo na msambazaji taarifa., Kamnyonge kakako aliewaumbua nyie wenye wivu na kiburi😂😂😂😂😂
 
Eti Baba levo kasema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi mwenyewe nimecheka kinoma!!!!This baba Levo malaya wa mitandaoni mnaweza mkampa elfu 10 inamtosha!!!Ndo shida ya jobless unadandia kila kitu ilimradi tumbo lijae mara siasa mara kafungwa mara muziki mara chawa kuna ambavyo anaongea humo ni vitu ambavyo hata havipo!!!Dunia ya leo iko kiganjani utajifichia wapi??!!!Uongo utadhihirika tu ni uongo tumeni hivyo vitu anavyozungumzia humu tuvione ili tuamini!!! flyover ya km 12 Mwenge Tegeta 😀.Baba Levo next to Nabii Tito 😀.
 
Hii kitu inauma sana mibongolala Wakati wakihadaiwa na waziri wao mkuu kwamba mwenda zake yupo hai na 'anachapa kazi', kitu mibongolala hawakufahamu ni kwamba their president was breathing his last in Nairobi Hospital. They've never recovered from this shock that their president was airlifted to Nairobi for treatment
When we were tweeting RIP CCM fanatics on twitter were engaging us in a war of words, atleast the truth came to light
 
Mi mwenyewe nimecheka kinoma!!!!This baba Levo malaya wa mitandaoni mnaweza mkampa elfu 10 inamtosha!!!Ndo shida ya jobless unadandia kila kitu ilimradi tumbo lijae mara siasa mara kafungwa mara muziki mara chawa kuna ambavyo anaongea humo ni vitu ambavyo hata havipo!!!Dunia ya leo iko kiganjani utajifichia wapi??!!!Uongo utadhihirika tu ni uongo tumeni hivyo vitu anavyozungumzia humu tuvione ili tuamini!!! flyover ya km 12 Mwenge Tegeta 😀.Baba Levo next to Nabii Tito 😀.
You will never kill our spirit kwa hizi cheap propaganda!!! Forget about it!!!.
 
Na ukiambiwa ulete ata ushaidi wenye utata huna!!
Wacha machungu na matusi. FACT ni kwamba jpm, jemedari wa watanzania alikufia Nairobi hospital.
Ww huna tofauti na vilinge vya wanawake wapiga umbea sasa umesahau humu tupo wanaume katafute wenzio upige nao umbea mana wao hawaitaji ushaidi...
#hiki sio kijiwe cha wenda wazim kama wewe
 
Back
Top Bottom