Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani African traveller ame cover Mombasa yote kilaza? Wewe unajua Kenya kupitia Afrikan traveller Mimi naijua Kenya zaidi ya video za Afrikan traveller, hiyo Mombasa, Afrikan traveller ame cover Buxton area, Tudor, Bamburi, Bombolulu? Shanzu he?., jamaa alicover tu CBD kwa wingi na sio yote., Unatafuta slum ili ujiliwaze una ulivyo boys, Eldoret jamaa amecover less than half unajua hilo?., usiwe mwelesi wa kukurupuka dogo., uliza tu ama chunguza pole pole, try other youtubers, Kama Liv Kenya yeye ame cover Mombasa na pwani sana kuliko Afrikan traveller ambaye huwa anapita tu juu juu, Liv ana cover street level, hana drone but nice camera..., Naona unajaribu sana kutetea Tz but hautofaulu kwa kupingana na ukweli ulio wazi, nakuhakikishia dogo.
Wewe utanimbia nini wewe bwege, African travella anaonyesha maeneo mazuri katika kila mji ndani ya kenya na ikiwa hajaweka eneo means sio eneo zuri, amopost video zaidi ya mbili kuhusu Mombasa na kama Mombasa ndio ile just tu haina maajabu.. eti Eldoret amekava less than half 😂😂😂, alafu usije ukajua napiga kelele za bure nakwambia kitu nnachokijua, mimi haya majiji yote tz nimetembea kasoro znz na nayajua vizur mno, hakuna solo travella wa bongo hapa ambae amewahi kuonyesha maeneo mazuri tz kama ipasavyo (kama anavyofanya Afrikan travella) .. ntakupa kwa mfano .. Arusha maeneo wanayoishi posh kwa wingi ni Njiro na Uzunguni, middle class kwa wingi wanaishi Moshono nowdays .. je umeshawahi kuona vid za hizo mitaa.? Make google earth your friend..
 
Umesoma mpaka darasa la ngapi.? Ona mifano unayoitoa, we huwa ni chizi eeh.? Kwahyo nyinyi ni matajiri mbele yetu.? Taifa ambalo shirika la ndege sio mali yenu serikali inamiiki ndege tatu tu vs sisi ambao tunavyoongea saiv tumeshanunua ndege 17 .. mradi wenu mkubwa ni express way ambao ni mkopo, reli ya SGR mkopo, uliza sisi kwa Dar pekee kuna miradi mingapi mikubwa tunafanya.? Flyover tatu ar underway, BRT phase 2, daraja kubwa juu ya maji zaidi ya 1.2km .. miradi ya barabara . Mmeshawahi kuwa na vingi Kati ya nilivyotaja hapo.? Tunatengeneza almost 1500km of SGR . Nyie mko na km ngapi Hadi mjiite matajiri, we jamaa ni tahira eeh.? 😂😂😂
Eti expressway ni mradi mkubwa😂😂😂😂😂., Mirado yenubyote ni mikopo, hamuna uwezo wa kukamilisha chochote bila mkopo kilaza😂😂😂😂😂., nchi fukara yenye uchumi hafifu, ni propaganda tu ndio mnazo., nitakunyoosha hadi unyooke wewe, upumbavu ukutoke kabisa., 😂😂😂😂😂😂., danganya raiya wa Tanzania lakini sio mimi.., serikali yenyu tunaijua sana.., 😂😂😂😂
 
Ona sasa, kha!., kesho nitakushushia facts utaihama jf wewe., yaani mko ovyo, inabidi tujishushe chini kwa level ya watoto wa chekechea ili angalau muelewe lakini mmeganda akili kishenzi😂😂😂😂😂., Kalale unatia huruma na haya mapungufu yako dogo., Ona hizi reasoning za ki propaganda 😂😂😂😂😂😂😂.,
Hutaniwez since nnachoongea ni ukweli mtupu, yani nyinyi muwe matajiri mbele yetu.? 😂😂😂.. kwa kipi.? Apartments au.? Huogopi taifa linajenga mji wa serikali kwa pesa zake trillions of money zinatumika.? Huogopi taifa linachimba chimba kila mahali kujenga mabarabara na Madaraja makubwa .. au unataka twende kwa facts nikuonyeshe vitu ambavyo hatukua navyo na tulivyoanza kuvijenga tukawa navyo kwa wingi kuliko mbweha yoyote EA kwasababu sisi tuko vizur kiuchumi, nyie mnajisifu utajiri naakati mmekopa mmpaka mko kwa red line ..? Sasa nyie mnatuzidi kwa kipi labda.?
 
Wewe utanimbia nini wewe bwege, African travella anaonyesha maeneo mazuri katika kila mji ndani ya kenya na ikiwa hajaweka eneo means sio eneo zuri, amopost video zaidi ya mbili kuhusu Mombasa na kama Mombasa ndio ile just tu haina maajabu.. eti Eldoret amekava less than half 😂😂😂, alafu usije ukajua napiga kelele za bure nakwambia kitu nnachokijua, mimi haya majiji yote tz nimetembea kasoro znz na nayajua vizur mno, hakuna solo travella wa bongo hapa ambae amewahi kuonyesha maeneo mazuri tz kama ipasavyo (kama anavyofanya Afrikan travella) .. ntakupa kwa mfano .. Arusha maeneo wanayoishi posh kwa wingi ni Njiro na Uzunguni, middle class kwa wingi wanaishi Moshono nowdays .. je umeshawahi kuona vid za hizo mitaa.? Make google earth your friend..
Usipingane na Mimi ukitumia clips za Afrikan traveller kama nguzo yako wewe., unasema uongo, in Mombasa Tudor ni second best estate after Nyali, mbona Afrikan traveller hakutwmbea kule?., Bburi pia iko sawa sana , Shanzu pia, Nyali naelewa picha na drone ni marufuku mtu atachukua lakini not openly.., wacha ujuaji wewe., Kisumu kawacha Mambo Leo, Lolwe, Mountain view, Kenya Re., na other best areas, ame concentrate tu town na parts of Milimani., alafu unadhania unajua Kenya kukbe ni clips za Afrikan Traveller, ata Nakuru hakuna mwenye ameitoa kikamilifu.., yaani uko na wivu ama haupendi, ukweli, I guess u are pseudo ya Ichoboy01 😂😂😂😂.,
 
Hutaniwez since nnachoongea ni ukweli mtupu, yani nyinyi muwe matajiri mbele yetu.? 😂😂😂.. kwa kipi.? Apartments au.? Huogopi taifa linajenga mji wa serikali kwa pesa zake trillions of money zinatumika.? Huogopi taifa linachimba chimba kila mahali kujenga mabarabara na Madaraja makubwa .. au unataka twende kwa facts nikuonyeshe vitu ambavyo hatukua navyo na tulivyoanza kuvijenga tukawa navyo kwa wingi kuliko mbweha yoyote EA kwasababu sisi tuko vizur kiuchumi, nyie mnajisifu utajiri naakati mmekopa mmpaka mko kwa red line ..? Sasa nyie mnatuzidi kwa kipi labda.?
Ona utoto, kumbe wewe una debate ku win sio ukweli ndio maana mnajaza propaganda hapa, Dar tumeifumania., Mkakiri Mwanzan ndio ya pili, Kijiji ovyo., best areas ni njia za vumbi😂😂., lala tu unatia huruma wewe..,
 
Eti expressway ni mradi mkubwa😂😂😂😂😂., Mirado yenubyote ni mikopo, hamuna uwezo wa kukamilisha chochote bila mkopo kilaza😂😂😂😂😂., nchi fukara yenye uchumi hafifu, ni propaganda tu ndio mnazo., nitakunyoosha hadi unyooke wewe, upumbavu ukutoke kabisa., 😂😂😂😂😂😂., danganya raiya wa Tanzania lakini sio mimi.., serikali yenyu tunaijua sana.., 😂😂😂😂
Ndio mana nikakuuliza kama umesoma.? Hivi unajua kwa idadi ya miradi tuliyofanya kununua midege 17, kujenga BRT phase 1 na 2, kujenga bwawa kubwa la umeme, kujenga 15000km of SGR, kujenga Madaraja makubwa EA zaidi ya 10, kujenga ma flyover tano, na mamiradi ya masoko na mashule, mahospitali, mzee trust me tungekuwa hatukopesheki tena, mana hiyo miradi ni pesa mingi mnoo, tungekua tunawashikia namba hapa EA kwa madeni, lakini kwanini sisi ndio taifa lenye deni dogo zaidi EA kwasababu sisi tupo vizur ni kweli mingi ya hiyo miradi tumefanya kwa pesa za ndani.. kama ulisoma ukafaulu utanielewa
 
Hutaniwez since nnachoongea ni ukweli mtupu, yani nyinyi muwe matajiri mbele yetu.? 😂😂😂.. kwa kipi.? Apartments au.? Huogopi taifa linajenga mji wa serikali kwa pesa zake trillions of money zinatumika.? Huogopi taifa linachimba chimba kila mahali kujenga mabarabara na Madaraja makubwa .. au unataka twende kwa facts nikuonyeshe vitu ambavyo hatukua navyo na tulivyoanza kuvijenga tukawa navyo kwa wingi kuliko mbweha yoyote EA kwasababu sisi tuko vizur kiuchumi, nyie mnajisifu utajiri naakati mmekopa mmpaka mko kwa red line ..? Sasa nyie mnatuzidi kwa kipi labda.?
😂😂😂😂😂😂😂 Kha nje ya Dar sioni lolote la maana😂😂😂., mnajenga lakini bado hamfikii Kenya..., Domo domo kwa vitu vichache, yaani mmetoka porini juzi mnashangazwa na vitu vichache, ata flyover ni kitu ya maana sana Tanzania😂😂😂., BRT is not covering even 30% ya Dar na unabweka.., road network bado sana, na unapiga kelele.., kazi yenu nikupingaba na facts😂😂😂😝😝😝😝😝😂.,
 
Ona utoto, kumbe wewe una debate ku win sio ukweli ndio maana mnajaza propaganda hapa, Dar tumeifumania., Mkakiri Mwanzan ndio ya pili, Kijiji ovyo., best areas ni njia za vumbi😂😂., lala tu unatia huruma wewe..,
😂😂😂😂 Umeona sa ulivyotahira unataka kudanganya tofauti na CBDs hapa EA ukiitoa Dar na NAIROBI, maeneo mengi outside CBDs ni vumbi tu . Miji ya kiafrika yote ipo hivyo mzee .. unataka kumdanganya nani wewe.?
 
Ndio mana nikakuuliza kama umesoma.? Hivi unajua kwa idadi ya miradi tuliyofanya kununua midege 17, kujenga BRT phase 1 na 2, kujenga bwawa kubwa la umeme, kujenga 15000km of SGR, kujenga Madaraja makubwa EA zaidi ya 10, kujenga ma flyover tano, na mamiradi ya masoko na mashule, mahospitali, mzee trust me tungekuwa hatukopesheki tena, mana hiyo miradi ni pesa mingi mnoo, tungekua tunawashikia namba hapa EA kwa madeni, lakini kwanini sisi ndio taifa lenye deni dogo zaidi EA kwasababu sisi tupo vizur ni kweli mingi ya hiyo miradi tumefanya kwa pesa za ndani.. kama ulisoma ukafaulu utanielewa
Yameisha? SGR 15000km ata robo yake bado!😂😂😂😂., Eti 15000km ama 1500km😂😂😂😂😂😝 Na pia mmekopa, na bado hamuna pesa ya kujenga yoote 15000km.., yenye mmekopa ni kumaliza phase one na kuanzisha two pengine.., yaani Mtanzania anajaribu kujikweza lakini ana angukia pua😂😂😂😂😂., taifa ni fukara CCM lazima wakope kujaza pengonkwa budget nenda kahadithie wenzako kule vijiwenibhizi hekaya zako za abunuasi😝😝😂😂😂😂😂😂.,
 
😂😂😂😂😂😂😂 Kha nje ya Dar sioni lolote la maana😂😂😂., mnajenga lakini bado hamfikii Kenya..., Domo domo kwa vitu vichache, yaani mmetoka porini juzi mnashangazwa na vitu vichache, ata flyover ni kitu ya maana sana Tanzania😂😂😂., BRT is not covering even 30% ya Dar na unabweka.., road network bado sana, na unapiga kelele.., kazi yenu nikupingaba na facts😂😂😂😝😝😝😝😝😂.,
Kumbe maendeleo ya Bongo yanakuumiza sana kichwa eeh pole .. sasa ipo hivi barabara zote kubwa unazozijua au kuzisikia zinapitiwa na BRT, na tegemea kuona mabasi 3650 tukikamilisha mradi 👇. Endelea kuumia pole.. kuhusu road network we njoo tu ujionee . Tandale ilivyo na barabara kila chochoro..
 
😂😂😂😂 Umeona sa ulivyotahira unataka kudanganya tofauti na CBDs hapa EA ukiitoa Dar na NAIROBI, maeneo mengi outside CBDs ni vumbi tu . Miji ya kiafrika yote ipo hivyo mzee .. unataka kumdanganya nani wewe.?
Kujiliwaza naona😂😂😂😂, usitujumuishe na nyinyi wewe kilaza, all our best estates in major towns ziko na termac, ata miji kama Kakamega na Kitale ambyo hauzijui.,😂😂😂😂😂., Kwa makazi nje ya Nairobi sisi sio wenzenu kaka., Mimi sio mwehu nijikweze kama unavyofanya wewe., 😂😂😂😂.,
 
Yameisha? SGR 15000km ata robo yake bado!😂😂😂😂., Eti 15000km ama 1500km😂😂😂😂😂😝 Na pia mmekopa, na bado hamuna pesa ya kujenga yoote 15000km.., yenye mmekopa ni kumaliza phase one na kuanzisha two pengine.., yaani Mtanzania anajaribu kujikweza lakini ana angukia pua😂😂😂😂😂., taifa ni fukara CCM lazima wakope kujaza pengonkwa budget nenda kahadithie wenzako kule vijiwenibhizi hekaya zako za abunuasi😝😝😂😂😂😂😂😂.,
Typing error, ni hii 1500km sio 15k na usichokijua ni kwamba phase 1 done, phase 2 👇 na phase 3 ar underway . Unalipi la kusema wewe
 
Wewe utanimbia nini wewe bwege, African travella anaonyesha maeneo mazuri katika kila mji ndani ya kenya na ikiwa hajaweka eneo means sio eneo zuri, amopost video zaidi ya mbili kuhusu Mombasa na kama Mombasa ndio ile just tu haina maajabu.. eti Eldoret amekava less than half , alafu usije ukajua napiga kelele za bure nakwambia kitu nnachokijua, mimi haya majiji yote tz nimetembea kasoro znz na nayajua vizur mno, hakuna solo travella wa bongo hapa ambae amewahi kuonyesha maeneo mazuri tz kama ipasavyo (kama anavyofanya Afrikan travella) .. ntakupa kwa mfano .. Arusha maeneo wanayoishi posh kwa wingi ni Njiro na Uzunguni, middle class kwa wingi wanaishi Moshono nowdays .. je umeshawahi kuona vid za hizo mitaa.? Make google earth your friend..
Njiro moja na moshono? waa, hii tz yenyu ive nimeizunguka sana and i can tell you hamkaribii kenya kwa estates in rural areas and thats a fact
 
Kujiliwaza naona😂😂😂😂, usitujumuishe na nyinyi wewe kilaza, all our best estates in major towns ziko na termac, ata miji kama Kakamega na Kitale ambyo hauzijui.,😂😂😂😂😂., Kwa makazi nje ya Nairobi sisi sio wenzenu kaka., Mimi sio mwehu nijikweze kama unavyofanya wewe., 😂😂😂😂.,
We jamaa kwani ukikubali ukweli utakufa.? Unazungumzia vitu kama vipo mbinguni (kwamba tukishakufa ndio tukavione) 😂😂😂.. kumbe vinaonekana kwa macho ya kawaida, unataka kuwaaminisha watu uongo Kwanini.?
 
Yameisha? SGR 15000km ata robo yake bado!😂😂😂😂., Eti 15000km ama 1500km😂😂😂😂😂😝 Na pia mmekopa, na bado hamuna pesa ya kujenga yoote 15000km.., yenye mmekopa ni kumaliza phase one na kuanzisha two pengine.., yaani Mtanzania anajaribu kujikweza lakini ana angukia pua😂😂😂😂😂., taifa ni fukara CCM lazima wakope kujaza pengonkwa budget nenda kahadithie wenzako kule vijiwenibhizi hekaya zako za abunuasi😝😝😂😂😂😂😂😂.,
Naona uliikimbilia hiyo typing error ya 15k km of SGR, Ili upate pakutokea kmmk 😂😂😂 .. huniwezi kwasababu mimi naongea ukweli alafu wewe unataka kupotosha.. mafuta na maji havichanngamani ndugu yangu.. 😂😂😂 mekupiga mpaka Unatafuta pakutokea famba wewe.. unaanza kuleta ooh propaganda za CCM 😂😂😂 kwahyo vitu vinavyoonekana pia ni propaganda .? we jamaa ni kilaza wawapi wewe.?
 
Back
Top Bottom