Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Outer ring road, the dirty road
Screenshot_20211116-174910.jpg
Screenshot_20211116-174620.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya ni Nairobi na Nairobi ni Kenya alafu 70% ya Nairobi ni Slums hata wakunya wa humu wanajua, kuna ma slums mengine yamezinduliwa hivi karibuni, zen 10% ya Nairobi ndiyo vi apartments na vighorofa viwili vitatu, 20% ni pori na mbuga ya Nairobi national park. Maeneo mengine asikudanganye mtu ni vijumba vya mabati na udongo na vimaendeleo kdg maeneo ya mjini.

Shida ya Wakenya ni siasa, unakuta eneo ni pori lkn kuna ka overpass hususan maporini wanapotoka wakikuyu na Wakalenjin (wanasiasa), ss hako ka overpass katapigwa make up zen kanarushwa google kwamba kuna maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitui interchange kwa Wakikuyu na Wakalenjin 90% complete. ๐Ÿ™‚ ๐Ÿ™‚ ๐Ÿ™‚

1.jpg
 
Nakwambia hivi tofauti ya nyinyi na sisi ni kujitangaza tu otherwise hakuna kitu mnatushinda. At least kwenye battle ya DSM na NAIROBI mnaweza kututoa jasho ila kwa cities outside NAIROBI and Dar es Salaam aah hapo hamtuwezi.. tena kwenye suala la individual development level hapa ndio nyinyi ni makolo kabisa.. nakuhakikishia HAMTUWEZI...
Labda niongezee hao ni utopolo kabisa kama .....
 
What is universal healthcare, hata ujue kile unachosema
Hawa watu wapuuzi sana wanachomaanisha ni ile Bima ya NHIF iliyoboreshwa

Kitu asichojua ni kwamba Tanzania tuna health insurance to 6 family members for only 30k whole year kwa any kind of health services countrywide

Wakilijua hili ndio watajiona walivyo hovyo kwenye health services compared to Tanzania

Ed6mS39WoAA9-9E.jpeg
 
Back
Top Bottom