Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zile shule za wasichana kwa kila mkoa mmoja zinajengwa soon

View attachment 2031447
View attachment 2031448

kuna yake madarasa zaid ya 12,000 za shule za msingi kwa fedha za IMF, na kuna hizi shule mpya za sekondari (secondary & high schools) kwa fedha za WB..
kwenye suala la shule, hapa tumewaacha mbali sana.. wasijaribi kuleta debate kuhusu hili humu
Mungu wangu! yani ukope imf na world bank ndo ujenge madarasa alafu ununue ndege in cash!
 
Nyie si huwa mnakopa kila kitu.? [emoji23][emoji23][emoji23], Eti unajifanya unashangaa sisi kukopa ili kuboresha elimu [emoji23][emoji23] Heb acha kujichetua uko
sisi hutawai sikia tumenyima sector muhimu kama education fedhaa....infact education ministry ndo ministry inayotengewa fedha nyingi kenya. inapokea zaidi ya $5 billion kila mwaka, alafu pia mgao wa CDF(Constituent development fund) huenda kujenga madarasa na bursaries kwenye eneo bunge husika
 
Ukiambiwa ulete ata kaushaidi uchwara tu ..nimafiii inakutoka[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]sasa huoni ww ni mfuu unae tembea?
Magufuli alikufia Nairobi hospital
[emoji382][emoji382]
Vile ww ndio ulikuw doctor uliye mtibu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]bada ya mkunya kkusoma tarifa ya kifo cha JPM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20211111-172054.jpg
 
Ukiambiwa ulete ata kaushaidi uchwara tu ..nimafiii inakutoka[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]sasa huoni ww ni mfuu unae tembea?Vile ww ndio ulikuw doctor uliye mtibu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]bada ya mkunya kkusoma tarifa ya kifo cha JPM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2031540

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Magufuli alikufia Nairobi hospital. It is a fact you will never change.
Hii kitu inauma sana mibongolala 😂 😂 Wakati wakihadaiwa na waziri wao mkuu kwamba mwenda zake yupo hai na 'anachapa kazi', kitu mibongolala hawakufahamu ni kwamba their president was breathing his last in Nairobi Hospital. They've never recovered from this shock that their president was airlifted to Nairobi for treatment
 
Nyie si huwa mnakopa kila kitu.? [emoji23][emoji23][emoji23], Eti unajifanya unashangaa sisi kukopa ili kuboresha elimu [emoji23][emoji23] Heb acha kujichetua uko
Angalau sisi imeonekana cha maana tulichofanyia huo mkopo wa IMF.

Kule kwao zimetafunwa na huwezi muona hapa akijadili namma ilivyo tafunwa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu anaandika hivyo huku shule tu nyingi Kenya wanafunzi wanasomea chini ya miti wengine wakiwa wanakalia mawe kwenye madarasa yaliyo chakaa.

Poor stupid monkey.
 
Back
Top Bottom