Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na ukiambiwa ulete ata ushaidi wenye utata huna!!Ww huna tofauti na vilinge vya wanawake wapiga umbea sasa umesahau humu tupo wanaume katafute wenzio upige nao umbea mana wao hawaitaji ushaidi...
#hiki sio kijiwe cha wenda wazim kama wewe
Sasa kama magufuli alikufia Nairobi Hospital unataka nifanye nini?
 
Kenya ni Nairobi na Nairobi ni Kenya alafu 70% ya Nairobi ni Slums hata wakunya wa humu wanajua, kuna ma slums mengine yamezinduliwa hivi karibuni, zen 10% ya Nairobi ndiyo vi apartments na vighorofa viwili vitatu, 20% ni pori na mbuga ya Nairobi national park. Maeneo mengine asikudanganye mtu ni vijumba vya mabati na udongo na vimaendeleo kdg maeneo ya mjini.

Shida ya Wakenya ni siasa, unakuta eneo ni pori lkn kuna ka overpass hususan maporini wanapotoka wakikuyu na Wakalenjin (wanasiasa), ss hako ka overpass katapigwa make up zen kanarushwa google kwamba kuna maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kadanganye mtu hajui tanzania, mimi nimezunguka tz na kusema kweli rural areas mnakazi sana aisee,
 
Hii kitu inauma sana mibongolala Wakati wakihadaiwa na waziri wao mkuu kwamba mwenda zake yupo hai na 'anachapa kazi', kitu mibongolala hawakufahamu ni kwamba their president was breathing his last in Nairobi Hospital. They've never recovered from this shock that their president was airlifted to Nairobi for treatment
Kwamba hospitali haina uwezo wa kufanya bone marrow transplant ndo imuhudumie jemedari? Unaota wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nairobi hospital slum haina hata uwezo wa kufanya bone marrow transplant ndo imuhudumie jemedari, u r joking

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi Rais Samia, tundu lissu na marehemu magufuli wote wanakubali Nairobi hospital
JamiiForums1952872819.jpg
 
Tembelea wasafi radio ukajuzwe kikamilifu, full interview, inauma lakini zoea, wageni kutoka nje ya EAC na sasa wenyeji wanakiri ukweli😂😂😂😂., Usijitie hamnazo na msambazaji taarifa., Kamnyonge kakako aliewaumbua nyie wenye wivu na kiburi😂😂😂😂😂
yani website ya kenya iandike propaganda alaf museme wasafi kwan wao hawana website au??😂😂😂😂

siku ukipata official source from tanzania news nitag nifunge acc 😂😂
 
Hiyo ilikua miaka kumi iliyopita na kama nilivyoconclude mwisho hapo mwaka 2012

Sasa hivi Tuna Avic Town, Fumba Town, NHC Mwongozo, NSSF mtoni Kijichi, Dege Eco Village, Watumishi Housing, 7 11 Kawe , Magomeni Kota, See breeze apartments etc.
Ambazo zimeprove nilichokisema. Na katika kipindi hicho katikati hadi sasa hivi tumewakimbiza kwenye over 30Fl towers.

Imagize A Capitalist nation, A very aggressive, Business minded and highly educated (Githeri Syllabus ) mnatembeleshwa Kichwa na Tz. What a loss。


All these didn’t exist in 2012.

View attachment 2031829

View attachment 2031830
View attachment 2031831
View attachment 2031832
View attachment 2031833
View attachment 2031834
View attachment 2031835
This are a drop in the ocean boss, hizi hata hazikaribii athi river only
 
Back
Top Bottom