Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kamfundisheni spika wenu kuhesabu tarakimu kwanza ndio mje upya
Kama katika wakenya zaidi ya million 55 ni million 1 tu ndio wanajua English, kiswahili itakuaje? Ninyi ni wakugaluga waporipori ndio maana mpo so primitive hata lafudhi yenu it's so bushy
ndiyo maana wakijua english ndiyo huwa wanajiona wasomi ,,,sababu ya hiyo total ndogo ya hao 1M

nimecheka sana
 
Eti kiswahili ni mother tongue kwako
Acha kuzunguka, km vipi fanya hivi! We niletee hyo historia yako ya kiswahili, hta mimi nimefundishwa kw kingereza tokea chekechea mpka chuo lkn hakuna siku utanikuta najisifia km nakijua kingereza sana..
Kw taarifa yako kiswahili kwetu pia mashuleni kinatolewa km somo, kwhyo usijione km we pekeako ndio umesoma kiswahili..

Nasubiria hyo historia yako tofauti na ile niliyoitoa km somo hapa, wenzako wamekimbia mzee
Wewe nawe, Mtu amezaliwa in a Swahili speaking family maana yake ni kuwa Kiswahili ni his mother tongue.
 
Ujinga inakusumbua sana bongolala! Kama hujui kitu si unyamaze tu? Three-level inamaanisha barabara yenye iko na levels tatu at an intersection. Pangani iko na level ya chini kabisa na ya kwanza ambayo ni underground tunnel. Level ya pili ni ground level na level ya tatu ni ile ya juu(flyover). Ni nini huelewi hapo ama maana ya neno level ndio hujui? Mbona unapenda ubishi hata kwa maswala ambayo hayafai ubishi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bado mpaka leo munaforce sukari iwe chumvi yani hamutaki kuambiwa kwamba hamuna threw level interchange 👇👇👇👇👇👇
Rudi kwenye somo kwanza
6A804444-ED9A-44E8-830D-DFAE425B6793.jpeg
B1043739-4252-4AAA-A6ED-121005FF6B4A.jpeg
F730A048-809E-460D-AEBE-16A769EB6E81.jpeg
 
Akaendelea kujilipua🤣🤣🤣, huoni hapo vile kunacurve downwards, hio inaashiria excavation, alafu levels hasi hesabiwi kama floors za nyumba 🤣🤣🤣, View attachment 1827444
Hio ndio ground level haya nioneshe underground hapo kama hii changaaa🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
E289ED51-E0E7-4B9B-AB42-AE5B029D651B.jpeg
 
Ameanza matusi kwa hasira kali 🤣🤣🤣🤣 hizo man made embarkments zinaashiria excavation hapo kwa interchange, if you blink you will miss it.
Alafu jifunze kutofautisha floor na levels kijana. Lazima nikuelimishehapa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇View attachment 1827372
Mm hua situkani maisha hapa unakutana na nondo za adabu anglia reli na hayo mashamba yalipo ndio ground level hakuna under grond hapo hata kama utapost kwa kipofu atakwambia hakuna underground 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇
BCEE6B64-DD22-43D3-9610-2AF12F11C7B0.jpeg





labda unisaidie ww kunionesha underground hapo ili nifunge acc jamii forum 🤣🤣🤣👇👇👇👇
DBED33C6-BE85-49CB-896A-9510F15A2076.jpeg
 
Le'mac is a 25-floor building and it has always been sasa wewe sijui hizi hasira zako za uengineer fake unaleta za nini

View attachment 1827710
The laminated glass sky-walk is located on the 24th floor and even by just looking, there's one more floor above the skywalk. Hii battle ya high rises tulishawagonga kitambo sana sijui makasiriko ni ya nini
E1323BCC-1F40-4212-AA69-CB889D220284.jpeg
 
Back
Top Bottom