Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Inaonekana haujui Historia, Historia ya lugha ya kiswahili na kiswahili chenyewe pia haujui.. Usijali haujachelewa kujifunza, Mimi ni mwalimu kabisa wa hizo vitu ntakufundisha buure, sitakutoza ada kabisa.. nitafute private ukiwa na free time nikufundishe historia ya Sultan wa Znz pamoja na historia ya kiswahili..Slutani hajui kitu km tanzania, yeye anatambua Zanzibar, mombasa, lamu, Unguja n.k...
Hayo maeneo ndio yalichochea sana kuja kw kiswahili, kwhyo weqe unataka kunihakikishi ya kwamba bantus wa kutokea hzo sehemu zote walikua wakitumia lugha..
Manake ujue pia kuna maneno mengine walitoa kutoka kw lugha zetu pendwa(local ) alafu mpuuzi mmoja anakuja kunitajia mimi BAKITA hata sijui ndio mnyama gani hyo



