Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Slutani hajui kitu km tanzania, yeye anatambua Zanzibar, mombasa, lamu, Unguja n.k...

Hayo maeneo ndio yalichochea sana kuja kw kiswahili, kwhyo weqe unataka kunihakikishi ya kwamba bantus wa kutokea hzo sehemu zote walikua wakitumia lugha..
Manake ujue pia kuna maneno mengine walitoa kutoka kw lugha zetu pendwa(local ) alafu mpuuzi mmoja anakuja kunitajia mimi BAKITA hata sijui ndio mnyama gani hyo
Inaonekana haujui Historia, Historia ya lugha ya kiswahili na kiswahili chenyewe pia haujui.. Usijali haujachelewa kujifunza, Mimi ni mwalimu kabisa wa hizo vitu ntakufundisha buure, sitakutoza ada kabisa.. nitafute private ukiwa na free time nikufundishe historia ya Sultan wa Znz pamoja na historia ya kiswahili..
 
Inaonekana haujui Historia, Historia ya lugha ya kiswahili na kiswahili chenyewe pia haujui.. Usijali haujachelewa kujifunza, Mimi ni mwalimu kabisa wa hizo vitu ntakufundisha buure, sitakutoza ada kabisa.. nitafute private ukiwa na free time nikufundishe historia ya Sultan wa Znz pamoja na historia ya kiswahili..
Hehehe!!taarab zishaanza hku..
Watueeee
Kuna mtu ana historia yake kuhusu kiswahili
Pumbavu kabisa
 
Hehehe!!taarab zishaanza hku..
Watueeee
Acha kujichetua, nakwambia ukweli, mimi najua lugha ya kiswahili kwa upana wake, ukiachilia mbali kwamba kiswahili kwangu ni mother tongue (my 1st language) lakini pia kiswahili nimesoma mpaka chuo kikuu, ambapo from standard 1-7 kiswahili ilikua ni lugha ya kufundishia (language of instruction) na Somo, lakini from form 1-4 nimesoma kiswahili kama somo, mwisho from form 5-6 nimesoma HKL .yani H=History K=Kiswahili L=Linguistic .. hii inatosha kabisa Mimi kuwa mwalimu wako. Ntakufundisha History na kiswahili pamoja na historia yake Ili upunguze ujinga kidogo kama si kuuondoa kabisa.. NITAKUFUNDISHA BURE staki ada yako
 
Acha kujichetua, nakwambia ukweli, mimi najua lugha ya kiswahili kwa upana wake, ukiachilia mbali kwamba kiswahili kwangu ni mother tongue (my 1st language) lakini pia kiswahili nimesoma mpaka chuo kikuu, ambapo from standard 1-7 kiswahili ilikua ni lugha ya kufundishia (language of instruction) na Somo, lakini from form 1-4 nimesoma kiswahili kama somo, mwisho from form 5-6 nimesoma HKL .yani H=History K=Kiswahili L=Linguistic .. hii inatosha kabisa Mimi kuwa mwalimu wako. Ntakufundisha History na kiswahili pamoja na historia yake Ili upunguze ujinga kidogo kama si kuuondoa kabisa.. NITAKUFUNDISHA BURE staki ada yako
Eti kiswahili ni mother tongue kwako
Acha kuzunguka, km vipi fanya hivi! We niletee hyo historia yako ya kiswahili, hta mimi nimefundishwa kw kingereza tokea chekechea mpka chuo lkn hakuna siku utanikuta najisifia km nakijua kingereza sana..
Kw taarifa yako kiswahili kwetu pia mashuleni kinatolewa km somo, kwhyo usijione km we pekeako ndio umesoma kiswahili..

Nasubiria hyo historia yako tofauti na ile niliyoitoa km somo hapa, wenzako wamekimbia mzee
 
Wazungu wahindi wakenya weusi!
70341FB5-95DB-4F7F-ACCC-92283FD3080C.jpeg
EAA8C333-CD0C-4295-B040-E7CFEB550C0C.jpeg
C9B79265-7883-4366-92C3-0A39903E8BD0.jpeg
0EDC40BA-74CD-4F17-9EDE-C3C96EB28BA4.jpeg
2D6147A1-F5CF-4394-8BD4-2248D0CC4983.jpeg
09CB4B01-4E9D-4F73-B367-E7BFE1E31AFA.jpeg
FF8D3088-043A-4407-B75D-B18BC726CFEF.jpeg
D4607C83-EF8E-481E-8CB9-AD4B79138BFA.jpeg
4D7181FF-C1FA-4D9D-8818-A752AC8028FD.jpeg
57EF0C9D-3D01-4B01-9BE4-0B144DA9AE2A.jpeg
402012B7-F313-47F0-8E8D-5B2FC436477E.jpeg
D1805E32-C996-4876-BFBE-E38FC818C4D5.jpeg
12738415-AC70-42F2-8361-8D6C2EE0572A.jpeg
D33742EB-9DA4-4B8B-A7BB-9CF14511D6AC.jpeg
3B00DE7B-DC13-4525-A869-6F9A2B68C81C.jpeg
A70445F1-0BF4-43A5-9EE1-20164CAE9EAA.jpeg
46AD7FF3-307C-4EDF-AB2B-E94763E4611D.jpeg
D9E3D2CE-E87C-4468-8E43-4014DB07705D.jpeg
4898F866-6F67-4A35-96CA-773779FF0C9E.jpeg
C2A2CCFB-ABBA-4AC2-9374-3B3D5963923C.jpeg
8903AC6A-68BB-44FA-9ABA-D857466015C0.jpeg
7C52EE4C-E042-40D4-A676-05ABB0BD4EF8.jpeg
F6A9D032-74A6-4D44-A159-FC0469C42082.jpeg


ED52A8DE-4504-4824-AA12-94FA6C240879.jpeg
 
Eti kiswahili ni mother tongue kwako
Acha kuzunguka, km vipi fanya hivi! We niletee hyo historia yako ya kiswahili, hta mimi nimefundishwa kw kingereza tokea chekechea mpka chuo lkn hakuna siku utanikuta najisifia km nakijua kingereza sana..
Kw taarifa yako kiswahili kwetu pia mashuleni kinatolewa km somo, kwhyo usijione km we pekeako ndio umesoma kiswahili..

Nasubiria hyo historia yako tofauti na ile niliyoitoa km somo hapa, wenzako wamekimbia mzee
Mwenzako anajisifia anakijua kiswahili cz ni chake na dunia inajua hivyo, ss wewe ujisifie unajua kingereza chako?
 
Back
Top Bottom