Slutani ndio unamaanisha nini?
Endeleeni kuhangaika na typo error tu99.99% ya anavyoviandika humu havieleweki halafu anakuambia ni typing error.
Hadi unajiuliza ina maana yeye huwa kila akiandika ni lazima typing errors zitokee![]()





Jibu lakoHalafu kwa kujisifu sasa anajua kiswahili!






Endeleeni kuhangaika na typo error tu
Keyboard yangu ina auto correct, sasa uzuri inaonyesha sindano zimepenya mpka mnakimbilia kwnywe uandishi
Hoja kwishaaaa
Hapo sasa!Halafu kwa kujisifu sasa anajua kiswahili!
Wanakimbilia typo erro baada ya kuona nimewapa kitu konki, sai hawana hamu tena na mada manake nimewavuruga tayarWeka sure yako tuone
Haya ndio madhara ya ku copy paste, yani mpaka tweet za vilaza siku hizi nazo official sourceSasa unaponiletea makasiriko ni mimi ndio nimeandika hiyo tweet?
Sidhani kama akili yako iko sawa.
Nimeandika "Mademu wa SA wanapaelewa sana Zanzibar." nashangaa nageuziwa kibao kuwa nimesema hao ni dolphins![]()
Hawana kipyaWanakimbilia typo erro baada ya kuona nimewapa kitu konki, sai hawana hamu tena na mada manake nimewavuruga tayar
Hayo majengo sasaHapa Africa hatuna mwenzetu ikija kwenye real estate... maybe Cairo kidogo hivi.... updates za river estate kwa sasa bado excavation inaendeleaView attachment 1827178View attachment 1827179
Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app









Mm niligundua hakuna dawa nyingine zaidi ya kwenda na mkunya kwa groundMsemo wako dawa ni kwenda nao kwa ground
![]()




Huu ujenzi mbn wa kijuakali?Wanakwambia three level
Ngoma imeingia kwenye handaki
Hii na pangani tofaut ni nini?? Makosa ni yale yale tuView attachment 1827335
Jamaa zako cku c nyingi nao watajenga km hilo ila lao litakuwa dwarf na low quality






So, after the completion of ubungo 3level interchange zen Pangani changed its name to 3level interchangeUjinga inakusumbua sana bongolala! Kama hujui kitu si unyamaze tu? Three-level inamaanisha barabara yenye iko na levels tatu at an intersection. Pangani iko na level ya chini kabisa na ya kwanza ambayo ni underground tunnel. Level ya pili ni ground level na level ya tatu ni ile ya juu(flyover). Ni nini huelewi hapo ama maana ya neno level ndio hujui? Mbona unapenda ubishi hata kwa maswala ambayo hayafai ubishi?





