The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
HahahahahaaaHuyo anatumia ID moja siku hizi.
Kipindi cha nyuma alikuwa na ID ya kujifanya Mtanzania.
Hizo ip ni za wengine niliambatanisha tu![]()
![]()
![]()





HahahahahaaaHuyo anatumia ID moja siku hizi.
Kipindi cha nyuma alikuwa na ID ya kujifanya Mtanzania.
Hizo ip ni za wengine niliambatanisha tu![]()
![]()
![]()





Hiyo airport pub imenimaliza tikli! 😂 😂 😂Kigoma International Airport 🤣🤣🤣
View attachment 1826469
View attachment 1826470
View attachment 1826471
Vs Kongowea Market Msa
View attachment 1826472
Tuwafukuze warudi kwenye lile dimbwi la umasikini?Your government is failed state,mmeshindwa kuwafukuza huu mwaka wa 4..in short hao ni wakunya wenzenu ndo maana hamuwezi kuwafukuza,tatizo ni lenu failed state,serikali ya tz has nothing to do with it
Jamaa kaamua kujitoa ufahamuMorogoro Bus Stand vs Kenya SGR Station
View attachment 1826686View attachment 1826687View attachment 1826688


Hii aibu sasa, hii nayo train station au choo za kanjooMorogoro SGR Station
Moto utawaunguza
View attachment 1826712View attachment 1826713View attachment 1826714View attachment 1826715
Hii mada unayotaka kuianzisha achana nayo mzee manake tayari ushaonyesha huna ujualo kuhusiana na hilo swala..Wacha ujinga, lugha ni moja hakuna kusema kingereza cha mmarekani na muingereza ni tofauti, hakuna kitu km hicho, kingereza ni kile kile tofauti matamshi tu, lkn cha kuandika ni kile kile, ila wamarekani hawajabadili maneno km nyie mnavyobadili neno eti swara!! Ndo upuuzi gani huu.
Nilidhani mnatembea juu ya hewa sahi, kumbe ni yale yale ma container ya kubebea bongolalaz!... 😂 😂 😂Sasa hivi hamna cha kuonesha mnaishia kuweka emoji tu. Kenya kwisha habari yake.
Dar ni moto, utakuunguza kaa mbali.View attachment 1826610View attachment 1826612
Naona mabendera ya fisiemu, wamewateka akili zenyu finyu hao! 😬😬😬Usicheze na moto utakuunguza.
Tz kama TzView attachment 1826616View attachment 1826617View attachment 1826618View attachment 1826619
Yule msomi kaingia mitiniNilidhani mnatembea juu ya hewa sahi, kumbe ni yale yale ma container ya kubebea bongolalaz!...![]()
![]()
![]()



Moto, jamaa unaturingishia na stendiUsicheze na moto utakuunguza.
Tz kama TzView attachment 1826616View attachment 1826617View attachment 1826618View attachment 1826619


Sawa nimeona traffic light, leta nyingine mpya sasa... 😂Najua mnakenua kenua meno. Moto utawaunguza.
Tunapiga katafunua
View attachment 1826623View attachment 1826624View attachment 1826625
Si ukubali tu, hatutakusema kwa wenzako! 🤣 🤣 🤣Hapana, ni "bwana wenyu"
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Yani umesave picha yake kwa simu yako, ukilala unaicheki tu. Kweli huyo bwanako.
Msanii flani kule kwa wenzetu! 🤣 🤣 🤣Huyu jamaa sura imekauka kama mawe
We mpuuzi sio swala ni suala, kwanini unarudia makosa yale yale unayoelekezwa usifanye?Hii mada unayotaka kuianzisha achana nayo mzee manake tayari ushaonyesha huna ujualo kuhusiana na hilo swala..
Nakusihi, kaa utue usije ukaumbuka bure
Wacha tuwaachie wenyewe lugha yao pendwa. Tubaki na Sheng sisi... 😂Sijaona tanzania hapo mzee, mbona nkm unanichanganya..
Si tulielewana watanzania ndio wachangiaji wakubwa wa kiswahili![]()
Hollow... 🙄Twende taratibu hiyo SGR station yenu haiwezi hata kwa nukta kuifikia Dodoma Bus Terminal.
View attachment 1826681View attachment 1826682View attachment 1826683View attachment 1826684
Shopping mall ni afadhali, imejaa ndani stalls nk, lakini hayo ma hollow structures, ndani ni viti vya vyuma tu na wakataji tiketi. 😂Shopping mall😂😂
Iko wapi hiyo SGR station, mbona hujaweka sahi, tuone comparison na hiyo bus stand...? 😂 😂 😂Morogoro Bus Stand vs Kenya SGR Station
View attachment 1826686View attachment 1826687View attachment 1826688