Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Your government is failed state,mmeshindwa kuwafukuza huu mwaka wa 4..in short hao ni wakunya wenzenu ndo maana hamuwezi kuwafukuza,tatizo ni lenu failed state,serikali ya tz has nothing to do with it
Tuwafukuze warudi kwenye lile dimbwi la umasikini?
 
Wacha ujinga, lugha ni moja hakuna kusema kingereza cha mmarekani na muingereza ni tofauti, hakuna kitu km hicho, kingereza ni kile kile tofauti matamshi tu, lkn cha kuandika ni kile kile, ila wamarekani hawajabadili maneno km nyie mnavyobadili neno eti swara!! Ndo upuuzi gani huu.
Hii mada unayotaka kuianzisha achana nayo mzee manake tayari ushaonyesha huna ujualo kuhusiana na hilo swala..


Nakusihi, kaa utue usije ukaumbuka bure
 
Hii inalingana na mji wa Sumbawanga.
Sumbawanga? 😂 😂 😂
1024px-Cell_phone_shop,_Sumbawanga.jpg

1024px-Sumbawanga_Market-1.jpg
 
Hii mada unayotaka kuianzisha achana nayo mzee manake tayari ushaonyesha huna ujualo kuhusiana na hilo swala..


Nakusihi, kaa utue usije ukaumbuka bure
We mpuuzi sio swala ni suala, kwanini unarudia makosa yale yale unayoelekezwa usifanye?
 
Back
Top Bottom