Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eeh, kule South Africa turtles wanaitwa dolphins.
Wacha kulazimisha mambo. Dolphins are dolphins and turtles are just turtles. These are totally different creatures with different characteristics
 
Wanakwambia three level 🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoma imeingia kwenye handaki
Hii na pangani tofaut ni nini?? Makosa ni yale yale tu 😂😂😂😂View attachment 1827335
SHAKEDOWN!
2187AD6D-0B4B-4188-ADA2-FA4DFAD6B65E.jpeg
FC81DD5C-C66D-4C67-8C1F-51FD07D179C6.jpeg
4563B0E4-3074-4DF9-986D-97EBB9A5872D.jpeg
68D96601-D4CB-42A8-9DA8-256B61E0E794.jpeg
F798AB91-BCAE-4CD5-BE18-2E66B7A3500B.jpeg
652C7D9E-FD89-4366-ADEE-FF30D7603B9F.jpeg
 
Wacha kulazimisha mambo. Dolphins are dolphins and turtles are just turtles. These are totally different creatures with different characteristics

Ngoja nikupe shule kidogo.
Hao sio turtles (Kobe) hao ni Sea turtles (Kasa).

Kuna tofauti kati ya turtles unayoiandika hapo na Sea turtles waliopo kwenye hiyo tweet.

Turtles wanaishi nchi kavu, Sea turtles wanaishi kwenye maji.

Halafu nashaangaa unaniletea makasiriko wakati account iliyopost hiyo tweet unaiona hapo
 
Mamaee!!BAKITA mnayoishadadia imeanza 1981
Hyo 1890 kawadanganye wakulugwa

Tena unajua maana ya official language
Kamfundisheni spika wenu kuhesabu tarakimu kwanza ndio mje upya
Kama katika wakenya zaidi ya million 55 ni million 1 tu ndio wanajua English, kiswahili itakuaje? 😅😅😅 Ninyi ni wakugaluga waporipori ndio maana mpo so primitive hata lafudhi yenu it's so bushy
 
Umekasirikaee
Kenya tunatumia kiswahili chetu, tunatumia kile kiswahili ambacho mababu zetu walikitumia tokea enzi za sultan katika mwambao wa pwani..
Poleni sana na "BAKITA" wenu na "swala" wenu
Hata Mozambique wana kiswahili kabla yenu, DRC wana kiswahili kabla yenu tena wanaongea vizuri kuwazidi mungiki wote
 
Ngoja nikupe shule kidogo.
Hao sio turtles (Kobe) hao ni Sea turtles (Kasa).

Kuna tofauti kati ya turtles unayoiandika hapo na Sea turtles waliopo kwenye hiyo tweet.

Turtles wanaishi nchi kavu, Sea turtles wanaishi kwenye maji.

Halafu nashaangaa unaniletea makasiriko wakati account iliyopost hiyo tweet unaiona hapo
Sasa hao sea turtles wamegeuka wakawa dolphins? Mbona unajifanya mjuaji na hakuna unachokijua?
 
Sasa hao sea turtles wamegeuka wakawa dolphins? Mbona unajifanya mjuaji na hakuna unachokijua?
Sasa unaponiletea makasiriko ni mimi ndio nimeandika hiyo tweet?

Sidhani kama akili yako iko sawa.

Nimeandika "Mademu wa SA wanapaelewa sana Zanzibar." nashangaa nageuziwa kibao kuwa nimesema hao ni dolphins
 
Slutani hajui kitu km tanzania, yeye anatambua Zanzibar, mombasa, lamu, Unguja n.k...

Hayo maeneo ndio yalichochea sana kuja kw kiswahili, kwhyo weqe unataka kunihakikishi ya kwamba bantus wa kutokea hzo sehemu zote walikua wakitumia lugha..
Manake ujue pia kuna maneno mengine walitoa kutoka kw lugha zetu pendwa(local ) alafu mpuuzi mmoja anakuja kunitajia mimi BAKITA hata sijui ndio mnyama gani hyo
Slutani ndio unamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom