komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Post sura yako tuione


Post sura yako tuione


Kwn hili jengo ni residentialView attachment 1827125hapo vipi .? Unapendaga kujifurahisha wewe .. 20 vs 37 floors .. uwe na utamaduni wa kuuliza kabla hujaropoka


Kwn tanzania kuna siku mumeshinda vita km nchi, manake KDF km jeshi limeteka maeneo kadhaa..Level gn nguo au? Hii mifala hii kweli tuna kazi ukanda huu, niambie mmeshinda vita gn zen uje kujigamba co unaniambia nguo.
Yani mstari wake mwnywe amechora ukishuka chini lkn bado jitu halishikanishi walaiUmeingia mtegoni, huo mstari umeanza kabla ya interchange, hio barabara inashuka chini pole pole ndo maana nimekwambia ukiblink utaikosa. Changamwe three level interchange inakusumbua sana
,
sultani alikuwa na makao makuu yake Tanzania katika mji wa Zanzibar, unalielewa hili?Umekasirikaee
Kenya tunatumia kiswahili chetu, tunatumia kile kiswahili ambacho mababu zetu walikitumia tokea enzi za sultan katika mwambao wa pwani..
Poleni sana na "BAKITA" wenu na "swala" wenu
acha kufananisha JWTZ na vitu vya ajabu ajabu kama kenya drinking forceKwn tanzania kuna siku mumeshinda vita km nchi, manake KDF km jeshi limeteka maeneo kadhaa..
Mpka leo kismayu inamilikiwa na KDF
Haya na wewe nionyeshe TPDF km jeshi limefanya nini..tuanzie congo
Slutani hajui kitu km tanzania, yeye anatambua Zanzibar, mombasa, lamu, Unguja n.k...sultani alikuwa na makao makuu yake Tanzania katika mji wa Zanzibar, unalielewa hili?
Mademu wa SA wanapaelewa sana Zanzibar.
Narudia tena, nionyeshe wapi tanzania km nchi au TPDF km jeshi walishinda vita..acha kufananisha JWTZ na vitu vya ajabu ajabu kama kenya drinking force
Ujinga inakusumbua sana bongolala! Kama hujui kitu si unyamaze tu? Three-level inamaanisha barabara yenye iko na levels tatu at an intersection. Pangani iko na level ya chini kabisa na ya kwanza ambayo ni underground tunnel. Level ya pili ni ground level na level ya tatu ni ile ya juu(flyover). Ni nini huelewi hapo ama maana ya neno level ndio hujui? Mbona unapenda ubishi hata kwa maswala ambayo hayafai ubishi?Wanakwambia three level 🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoma imeingia kwenye handaki
Hii na pangani tofaut ni nini?? Makosa ni yale yale tu 😂😂😂😂View attachment 1827335
Is this a residential building? Ama kizungu ndio shida?View attachment 1827125hapo vipi .? Unapendaga kujifurahisha wewe .. 20 vs 37 floors .. uwe na utamaduni wa kuuliza kabla hujaropoka
Dolphins kivipi Au typoMademu wa SA wanapaelewa sana Zanzibar.
Eeh, kule South Africa turtles wanaitwa dolphins.Turtles siku hizi ni dolphins!?
Labda hamfahamu kobe wa kwenye maji (Kasa).Dolphins kivipi Au typo
milima na matata,,,,Umeanza kujitoa ufahamu![]()
![]()
hiyo centre road inaanza kama ground level lakini inazamishwa chini ikifika kwa interchange, kama hii iko netherlands ambayo ni three level
View attachment 1827026





Jengo la 88 litakuwa na ghorofa 44 na height ya 149 metres. Itakuwa tallest residential building in East and Central Africa. Kwenye majengo tumewapiga sana.
Hao sio dolphins kama alivyoandika uyo demuLabda hamfahamu kobe wa kwenye maji (Kasa).
Nafahamu hao ni kasa.