Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,394
- 7,241
That's from internet...it's not Upperhill ..tulieni picha zinakuja..mbona mmmebanwa na mharoHizo ndio cbd? 😂 😂
Ama hapo ndio upper hill ulikuwa ukisema?
That's from internet...it's not Upperhill ..tulieni picha zinakuja..mbona mmmebanwa na mharoHizo ndio cbd? 😂 😂
Ama hapo ndio upper hill ulikuwa ukisema?
Tulikuwa tunajadili picha za cbd ila wewe unaleta za mitaani. Why are we even talking about this? Kubali tu umeshindwa na madai yakoThat's from internet...it's not Upperhill ..tulieni picha zinakuja..mbona mmmebanwa na mharo
Kuna mwaka Bakhresa alikuwa no 1 on forbes list kwa Tz. Ni kati ya 2011 na 2014 hapo. Nadhani net worth yake ilishuka chini baada ya kuzidi kuzamisha pesa kwenye ujenzi wa viwanda vipya (Mkuranga pekee ni bn 250), meli na real estate pale Fumba. Hesabu ya networth huyumba nyakati za uwekezaji.mbona hata familia zinalistiwa kwenye list forbes.. mf tu unaweza kukuta list ya someone’s family net worths
Unauhakika hatuna yaani mambo ya kijeshi hamna cha kufundisha TanzaniaKwn hao ATPU ni wanajeshi, nyie kubalini ya kwamba hamna tactical forces
Kuwa mvumilivu mjomba...Tulikuwa tunajadili picha za cbd ila wewe unaleta za mitaani. Why are we even talking about this? Kubali tu umeshindwa na madai yako
Acha tu nikunyamazie sasa. Tumia hata hii hapa kama umekosaKuwa mvumilivu mjomba...
Ha ha haaa. Aliikimbia hiyo mada yake mwenyewe. Naona umemdaka juu juuVipi MZEE ulipotelea wapi.. .?Leta majibu, ni raw materials gani tunawaizia alaf ninyi mnazi process for export.? Twende taratibu taratibu



Hii ndiyo raha ya kuwa na wachumi wazuri kwenye jukwaa. Umetoa somo zuri sana mkuu.Lakini net worth ni tofauti na Gdp mzee baba..networth is not production ..gdp huwa ni value of good n services produced within a year so ..how does net worth equate to gdp kwa hapo ..tungeangalia Gdp contribution za Hao waarabu na wahindi alfu tukajua how much do they contribute in economy per year ndo tungesema wanaendesha % flan ya uchumi?
Lakin mm nnaweza kuwa worth 10000usd but i dont even produce 100usd a year
Tuchukue national net wealth tuangalie % yao itakuwa kipimo kizuri
Wewe ni mwehu. Kujenga viwanda hakupunguzi net worth. If one is worth 1$ and spends $B in building industries, he's still worth 1$ maana hizo viwanda bado ni mali yake na ziko worth 1$.Kuna mwaka Bakhresa alikuwa no 1 on forbes list kwa Tz. Ni kati ya 2011 na 2014 hapo. Nadhani net worth yake ilishuka chini baada ya kuzidi kuzamisha pesa kwenye ujenzi wa viwanda vipya (Mkuranga pekee ni bn 250), meli na real estate pale Fumba. Hesabu ya networth huyumba nyakati za uwekezaji.
Pia Rostam aliwahi kuwa namba 1 kwenye hicho kipindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
You are becoming too desperate. Umeshindwa kuthibithisha madai yako ya trolley za maji cbd sasa umekimbia hadi mitaani. Sawa basis, wacha nikutumie moja ya cbd ukiendelea kupekuapekua mitandoani ukitafuta picha
View attachment 1780577View attachment 1780577
I see Kenya with 72%, Uganda 49% and Tanzania with 38%!
Hawa watakubali kila kitu bora kiwapendelee. 🤣 🤣
Hii reli kwa nini wasi modify kibiashara zaidi na kuweka gogo ambalo ni modern . Hii route inavutia sana huwezi choka safiri3 May 2021
Arrivals \\ ROVOS Rail luxury train arrives in Lusaka from South Africa en-route to Dar-es-Salaam
The Rovos Rail is a private luxury train that goes from Pretoria to Dar-es-Salaam on a 2 week journey. It comes through Victoria Falls, Livingstone and proceeds through Lusaka Kapiri and onwards to Tanzania.
Source : the khumba guy
hahah yaani hapo ndo unapokosea watalii wanasafiri kwa leasure yaani as much as antique the train looks the more the tourists it attracts! yaani kwenye hii sector wanataka zile train za kizamani hata ikiwezekana steam engines! Pitia hii clip uone idea behind the leasure travelling in colonial coaches!Hii reli kwa nini wasi modify kibiashara zaidi na kuweka gogo ambalo ni modern . Hii route inavutia sana huwezi choka safiri
Hakuna msukuma atamuoa binti wa rostam aziz wewe, acheni kupumbazaa na kiswahili huku kumbe majamaa wanawala kw upumbavu wenu
Takataka the Amercans build it early 1900s...by the time land were cheaper than the bridge cost wise...leo unasema sisi tujifunze jinga kabisa nyie.....watu wako hukuTake lessons lazy people,
View attachment 1780202


acha kuturudisha 1900s kwa ujinga wenu Tony Kwa hiyo na huyu hapa sio mkenya🙄🙄wabajuni na sijui wagunya Sana Sana watu wa lamu nao sio wakenya?Huyo mama ukimtazama tu kwenye rangi ya ngozi utajua tu kwamba ana damu ya kiarabu. Mababu zake walikuwa ni waarabu. Yaani ana ngozi nyeupe pepepe.
View attachment 1780281Mimi nataka niletewe ngozi nyeusi tititi iliyowekeza mamilioni ya USD katika viwanda vikubwa huko TZ. Mengi ndiye alikuwa ngozi nyeusi aliyewekeza katika biashara kubwa kubwa ila kasepa.
Leteni watu sampuli hii hapa chini waliowekeza mamilioni ya USD katika viwanda huko TZ.
View attachment 1780282View attachment 1780283
Kumbuka watu ngozi nyeusi tititi ndio majority ya watu wa Tanzania. Hawa watu wenye ngozi nyeupe pepepe ni minority huko Tanzania. Ni wachache mno.