Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Westy is now better than upperhill?siwasikii tena mkinadi upperhill

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Upperhill ni kitu imeanza just the other day. Westlands has been there for quite long and is slightly ahead of Upper hill in many things. Upperhill, however, is coming up really nice considering that most of the things you are seeing there were nonexistent 15 years ago
 
Wapiga kiwi viatu...na wauza mahindi ya kuchemsha hakuna? Nahisi ata boda boda hakuna CBD...na yake matoroli ya maji wanayotembeza watu Kule..au CBD Ni wapi?
They say a picture speaks a thousand words. Badala ya hizi zote, ungeleta tu picha za wauza mahindi chemsha cbd na hao watu wa trolley za maji ya kuuza. Wapiga rangi wapo ila ninachokijua ni kwamba wako na sehemu zao maalum na wote wanavaa sare zao rasmi in very organized sheds.
images (30).jpeg
images (36).jpeg
images (34).jpeg
images (32).jpeg

Alafu hii story imetokaje kutoka mabanda za mama ntilie hadi wauza mahindi chemsha? Is that how good you people are at evading topics?
 
Hao jamaa wanatoa pesa wakijua pesa inaenda kufanya mambo stahiki,sio kama kunyaland nchi inayoongoza kwa wizi na bribe africa pesa kama hiyo watagawana wanasiasa
We tena ni mzalendo, mbona unawanengukia maneberu tena live .ole wako hayati katangulia lkn ungelikipatapata
 
Kwahiyo watu wanaokanyagana kwa ajili ya Mungu unataka kufananisha na watu wanaokanyagana kwa ajili ya chakula, yn karne hii ya 21 bado unakanyagana kwa ajili ya msosi? Nenda Saudi Arabia kila mwaka watu wanakanyagana kwa ajili ya Allah na co chakula km nyie wakenya, yn Kenya ni Afghanistan iliyochangamka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafuta ya mpako ndio kwa ajili ya Mungu
Emu jifikirie tena kw mara ya pili we bwege
 
Kwahiyo watu wanaokanyagana kwa ajili ya Mungu unataka kufananisha na watu wanaokanyagana kwa ajili ya chakula, yn karne hii ya 21 bado unakanyagana kwa ajili ya msosi? Nenda Saudi Arabia kila mwaka watu wanakanyagana kwa ajili ya Allah na co chakula km nyie wakenya, yn Kenya ni Afghanistan iliyochangamka

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu usisahau na wale waliokanyagana kw ajili ya jiwe bana, yani ukaufaje kizembe kw ajili jiwe
 
Hii mada ya kula kungfu iliisha kitambo

MK254 njoo umsikie jamaa la mataga anabisha hili

Hawa hucharangwa hadi mapanga na Wahina

Na kutoswa baharini

2371932_Clipboard03.jpg
 
Hawa hucharangwa hadi mapanga na Wahina

Na kutoswa baharini

2371932_Clipboard03.jpg
Wacha wachapwe mpaka wawache Kula Albino,labda walikuwa wanataka Kula Hao Wachina wakifikiri Ni Albino wakaoneshwa kungfu🤣🤣🤣🤣
 
. Kenyans wanaoiga kelele kuhusu watu weusi wa TANZANIA hawaonekani kwenye list ya wabongo wenye hela 😂😂 ikiwa uku hadi wa mama/mama moja mweusi una uwezo wa kuweza 50m-60m us dollar .. Tony254 Yosef Festo Coco reborn njoeni hapa mpate funzo. NB .hii ni uko porini geita 😂😂
 
Lakini kwasababu ipo north ndio mana barabara hazijulikani ni rangi nyeusi au brick 🧱 😂😂😂 . Udongo tu mwanzo mwisho
Much of Nairobi is red soil so what do you expect bongolala? Au unataka kuona dreamhouses huku pia ndio uridhike?
 
Back
Top Bottom