Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zinakuwa listed unter family category sio? Mbona unajijibu mwenyewe? Hivi unajua Mohammed Dewji huwa anakuwa-listed kama individual kutokana na shares zake ndani ya METL ila METL group is more than hiyo $1.5 bln! Ni kama ninavyosema Bakhresa group yes na FYI the group worthiness inapita $3 bln ila wako wengi kama familia!

IMG_1620639285.179324.jpg
 
yani watu 120,000 wamedominate list ya top 100 richest alafu the rest 56M wako kwa mitandao wanacelebrate? Shida kubwa hii.
Hawa majamaa sijui vipi walai, mengi ndio ilikua anawakilisha kw bahati mbaya maulana kamchukua...sai ni mwendo wa machothara tu
 
habarini za asubuhi
View attachment 1779509
mkitaka source:

Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?
 
bishana na hio media sio mim
Punguza presha jombaumebugi aisee, tatizo kazi yenu kukopi paste tu wala hamjali ni nini kimeandikwa..uvivu mbaya sana...
Ati in tz kuna jamaa mmoja ana worth ksh1t we unaijua ksh1t kweli ama unabwetuka tu..

Kw afrika labda yule ambaye atajaribu kunusia hyo ksh1t ni dangote wala hakuna kapuku mwngine mwnye uwezo huo
 
Top 100 weusi wanahesabika
Top hamna hata msukuma mmoja, yani watanzania halisi bado wanaliwa hku wahindi wakisingizia undugu
Hivi unamjua Anthony Diallo owner wa Startv na Sahara media group? Anatofauti gani na Samuel Macharia wa Royal Media Services Limited ?
 
Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?
Alafu jamaa mwnywe kule kwao ni engineer
Engineer mvivu kiwango cha mars sijaona mimi, yani makosa madogo madogo km hayo unashindwaje kuyaona..
Tena eti engineer mzima anafuatilia kenya.co.ke mtandao gani huo wa kufuatilia habari zao jamani
 
Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?

usimpungue utajiri tafadhar .. huyu jamaa soon anafika 2b usd
IMG_1620639810.278653.jpg
IMG_1620639821.188423.jpg
 
Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?
Hawa watakubali kila kitu bora kiwapendelee. 🤣 🤣
 
Mimi huwa sipendi ujinga. Hii website ni ya kitoto hata kama ni ya Kenya ni ya kitoto. Watu walioandika ujumbe huo ni wajinga wa mwisho. Wanasema eti kuna Mtanzania mmoja ambaye anamiliki ksh 1 trillion? Huo ni uongo mtupu. Hakuna Mtanzania ambaye anamiliki ksh 1 trillion. Ksh 1 trillion ni sawa na $10 billion. Pengine hesabu ndio imeshinda hawa mang'ombe walioandika ujumbe huo. Mo Dewji anamiliki $1 billion na ukiiconvert into ksh inakuwa ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Narudia tena ujinga ndio sipendi hata kama ni Mkenya anaandika ujinga nitasema tu kwamba ni ujinga. Mo Dewji anamiliki ksh 100 billion sio ksh 1 trillion. Kama watu walianguka somo la hisabati shuleni wakae kando sio kupublish takataka kwenye mitandao. Hio Kenyans.co.ke ni takataka kama hawawezi kuconvert USD into ksh. Huyo Mkenya aliyeandika kwamba Tanzania wana mtu mmoja anayemiliki ksh 1 trillion ni Mkenya mjinga sana huyo asiyejua hesabu. Sipendi discussion za kipuuzi. Halafu Mtanzania mwenyewe Simon anakuja kupost bila kuona mistake iliyofanywa na Kenyans.co.ke. Yaani lazima mimi nikuje kuwaonyesha mahali mistake iliyopo, nyinyi hamuwezi kuiona wenyewe?

mistake niliiona hasa hilo gap ya 3b na 1 tr.. nimeenda nayo hivyohivyo
 
Top 100 weusi wanahesabika
Top hamna hata msukuma mmoja, yani watanzania halisi bado wanaliwa hku wahindi wakisingizia undugu
nyie watu mnatia huruma sana.

so huko kwenu akiwa na pesa mwenye asili ya china hizo pesa ni za mchina na zinakwenda china.

niambie kuhusu ile xpressway ya wenyewe
 
naona kimya.. i just wanna hear your comment kwa huyo namba mbili Geza Ulole
acha ubishi Bakhresa kama group ita-make sense wakiwa grouped kama family business!

kama individual in 2015






Kumbuka mwaka mmoja uliopita alikuwa billionaire!
 
nyie watu mnatia huruma sana.

so huko kwenu akiwa na pesa mwenye asili ya china hizo pesa ni za mchina na zinakwenda china.

niambie kuhusu ile xpressway ya wenyewe
Ukweli mchungu
Watu weusi tz makapuku, eti siku ile nae mhindi anapiga kelele pale nairobi..wajanja wanamzoom tu, hyo hawezi fanikiwa kuwekeza kenya..
Tangu mbele wakenya hatufagilii bidhaa zilizo na brand za nje
 
Hakuna msukuma atamuoa binti wa rostam aziz wewe, acheni kupumbazaa na kiswahili huku kumbe majamaa wanawala kw upumbavu wenu
itashindikana sababu ni binti wa rostam au sababu hana sifa ya kuwa mke watu???
 
Ukweli mchungu
Watu weusi tz makapuku, eti siku ile nae mhindi anapiga kelele pale nairobi..wajanja wanamzoom tu, hyo hawezi fanikiwa kuwekeza kenya..
Tangu mbele wakenya hatufagilii bidhaa zilizo na brand za nje
tunawajua nyie ni wanafiki,hilo wala hatubishani kabisa.

ila ukapuku wa watz weusi sijui umeambiwa na nani?
 
Back
Top Bottom