Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma inazidi kuwaka

Screenshot_20210510-202615.png
 
Hii huitaki au ushaikubali , Tony254 kuja uniambie hii mbn mmeikubali kirahisi namna hii[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1780024

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio sina data ya kuipinga wala kuikubali. Mimi mwenyewe siwezi kuipinga wala kuikubali maana sijui source yao ni gani. Mimi najua Forbes ndio source inayokubalika katika maswala ya networth ya watu sio website uchwara inayojiita Kenyans.co.ke na hata kufanya hesabu rahisi wanashindwa mpaka mimi niwasahihishe. Yaani ni kama hawajaenda shule.
 
Back
Top Bottom