Hii video najua Malazy wataitazama na kunyamaza. Lakini hii ndio dawa yenu.
Video of the whole stretch in a fast-forwarded motion.
cha ajabu ni nin mpka tuongee?
Hii video najua Malazy wataitazama na kunyamaza. Lakini hii ndio dawa yenu.
Video of the whole stretch in a fast-forwarded motion.
Rostam Aziz has and will be second in that list!
Bakhresa ni familia i talk of individuals sasa Bakhresa ukichanganya na vijana wake wenye stakes huwezi kupata billionaire! Uelewe ninachoongea!naamin ni bakhresa
Hii video najua Malazy wataitazama na kunyamaza. Lakini hii ndio dawa yenu.
Video of the whole stretch in a fast-forwarded motion.
wahindi wako kwao india na hapo kenya.Asante kwa kutuonyesha jinsi Wahindi walivyo matajiri huko bongo. Ndio nashangaa, kama wahindi na waarabu wana hiyo mali yote nyie mnabaki na nini ukitazama jinsi uchumi wenu ulivyo mdogo.
Nenda kamtongoze bintiye huyo Rostam ndio utajua Wahindi wako Tz. 🤣 🤣wahindi wako kwao india na hapo kenya.
hao ni watz.
Bakhresa ni familia i talk of individuals sasa Bakhresa ukichanganya na vijana wake wenye stakes huwezi kupata billionaire! Uelewe ninachoongea!
Asante kwa kutuonyesha jinsi Wahindi walivyo matajiri huko bongo. Ndio nashangaa, kama wahindi na waarabu wana hiyo mali yote nyie mnabaki na nini ukitazama jinsi uchumi wenu ulivyo mdogo.
zinakuwa listed unter family category sio? Mbona unajijibu mwenyewe? Hivi unajua Mohammed Dewji huwa anakuwa-listed kama individual kutokana na shares zake ndani ya METL ila METL group is more than hiyo $1.5 bln! Ni kama ninavyosema Bakhresa group yes na FYI the group worthiness inapita $3 bln ila wako wengi kama familia!mbona hata familia zinalistiwa kwenye list forbes.. mf tu unaweza kukuta list ya someone’s family net worths
Kampuni zenu 30 hku zina thamani ganiWamepuyanga sana,500 companies kwa usd 1.7 bln!ni kichekesho cha hali ya juu!

na je tukigawa moja moja mtafikia zile za kenya kw mahesabu ya haraka..We unaijua ksh1t au nikuokoteza tu data na kuleta km kawaida..
Top 100 weusi wanahesabikaAsante kwa kutuonyesha jinsi Wahindi walivyo matajiri huko bongo. Ndio nashangaa, kama wahindi na waarabu wana hiyo mali yote nyie mnabaki na nini ukitazama jinsi uchumi wenu ulivyo mdogo.


yani watu 120,000 wamedominate list ya top 100 richest alafu the rest 56M wako kwa mitandao wanacelebrate? Shida kubwa hii. 🤣 🤣 🤣Top 100 weusi wanahesabika
Top hamna hata msukuma mmoja, yani watanzania halisi bado wanaliwa hku wahindi wakisingizia undugu
11km kibongo siku hizi ni sehemu kidogoIt's not elevated highway, but just a small part of it is elevated don't forget that my friend
Sent using Jamii Forums mobile app



Unaongea ni kama nyinyi mna barabara kama hio.cha ajabu ni nin mpka tuongee?
Wenzako wanpiga hela we kalia upuuzi tu hapaNusu ya pesa ya kunyaland companies zilizowekeza Tanzania zimeingia kwenye mradi m1 tu


Umeona sasa ulivykua mjinga, yani hapo kipi unaona uongo..nairobi imegawanyika mara kadhaa sio km hko kwenu uswazi lila konaEvidence to support ur claim? Or all that is according to Mama Ngina
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaijua ksh1t au nikuokoteza tu data na kuleta km kawaida..
Mtanzania gani huyo ambae ana worth ksh 1t