Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama mwenyewe sio mweusi. Ni mwarabu. Ni dhahiri kwamba huyo mama ana damu ya kiarabu. Narudia tena huwezi kupata mtu mwenye ngozi nyeusi hapo Tanzania akiwa na pesa nyingi kiwango cha waarabu wa huko kwenu. Msukuma wa huko hawezi kuwekeza kiwanda kama hiki. Mama huyu ana asili ya kiarabu.
View attachment 1780277


Nataka uniletee mama mweusi kama huyu hapa chini. Leta ngozi nyeusi kama hii iliyowekeza mamilioni ya dola huko Tanzania.
Nataka kuona ngozi nyeusi kama hizi
View attachment 1780278View attachment 1780279

Huyo mama sio mtu mweusi. Wacha uongo zako.
Tony my bro , watanzania wa pwani/ mashariki na kaskazini sio watu weusi too much asilimia kubwa ni watu waliochanganya asili za kiarabu kwasababu hayo ni maeneo ambayo waarabu walifika zamani na kuanzisha familia nasi, mikoa kama tanga, unguja na Pemba, Kilimanjaro, manyara ,singida, tabora na Dodoma kidogo watu wa haya maeneo wengi sio weusi tiii, ni watu ambao wamechanganya asili , sisi sio kama nyinyi uko kwenu coz nyie mlibaguliwa na mzungu na ndio maana 99% of guys ni weusi tiii, waarabu walitufanya ndugu zetu tukaishi na tukazaanao .. Ila wote sisi ni watanzania mzee wangu
 
Tony my bro , watanzania wa pwani/ mashariki na kaskazini sio watu weusi too much asilimia kubwa ni watu waliochanganya asili za kiarabu kwasababu hayo ni maeneo ambayo waarabu walifika zamani na kuanzisha familia nasi, mikoa kama tanga, unguja na Pemba, Kilimanjaro, manyara ,singida, tabora na Dodoma kidogo watu wa haya maeneo wengi sio weusi tiii, ni watu ambao wamechanganya asili , sisi sio kama nyinyi uko kwenu coz nyie mlibaguliwa na mzungu na ndio maana 99% of guys ni weusi tiii, waarabu walitufanya ndugu zetu tukaishi na tukazaanao .. Ila wote sisi ni watanzania mzee wangu
Sawa hamna shida.
 
Back
Top Bottom