Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1620651959.979689.jpg
 
Asante kwa kutuonyesha jinsi Wahindi walivyo matajiri huko bongo. Ndio nashangaa, kama wahindi na waarabu wana hiyo mali yote nyie mnabaki na nini ukitazama jinsi uchumi wenu ulivyo mdogo.
Poverty is damn bad!😂😂😂😂, nchi haina middle class kamwe., Ni juu kisha chini., Dar 90% low life, ushuzi kote kote., vijakazi na vibaraka wa wahindi na waarabu, duuhh!., Mambo gani haya!😂😂😂😂
 
Poverty is damn bad!😂😂😂😂, nchi haina middle class kamwe., Ni juu kisha chini., Dar 90% low life, ushuzi kote kote., vijakazi na vibaraka wa wahindi na waarabu, duuhh!., Mambo gani haya!😂😂😂😂
Hata hio pandemic hua munaisingizia tu 🤣🤣🤣👇👇👇 nchi ilishakufa kabla ya corona
 
Poverty is damn bad!😂😂😂😂, nchi haina middle class kamwe., Ni juu kisha chini., Dar 90% low life, ushuzi kote kote., vijakazi na vibaraka wa wahindi na waarabu, duuhh!., Mambo gani haya!😂😂😂😂
Na kama ulikua hujui kenya ndio ina leads kwenye gap between poor and rich na kama unabisha sema😃😃😃😃 nchi yenewe 40% watu hawana ajira wala kazi alaf gap isiwe kubwa, au aliewaroga alisahau kufukia kibubu
 
Hata hio pandemic hua munaisingizia tu 🤣🤣🤣👇👇👇 nchi ilishakufa kabla ya corona

Unajua statistics ya bongolala wewe?😂😂😂., jiangalie uone😂😂😂 na huo uchumi hafifu.., alafu was talking on middle class.., what do u have?., Tz ni juu kisha chini, period!😂😂😂
 
Na kama ulikua hujui kenya ndio ina leads kwenye gap between poor and rich na kama unabisha sema😃😃😃😃 nchi yenewe 40% watu hawana ajira wala kazi alaf gap isiwe kubwa, au aliewaroga alisahau kufukia kibubu
😂😂😂😂😂Na kila wakati nikikuita kilaza sio utani ni ukweli😂😂😂, so if someone is not employed, hayuko kwa employment records yeye ni masikini?😂😂😂, pimwa mkojo dogo.,😂😂😂., What of your middle class?.., statistics.....
 
Wahindi na Waarabu wanawala vizuri sana hawa watu weusi. Imagine nimeshangaa kusoma comment moja ya Mlazy hapo juu eti Bakhresa family ina networth ya $3 billon. Halafu kwamba Metl ambayo ni kampuni ya familia ya akina Mo Dewji pia ina networth ya $3 billion. Ukiongeza Rostam ambaye ana pesa inayokaribia $1 billion basi unapata picha hii.
1. Kuna familia mbili zenye asili ya kiarabu/kihindi ambazo zina networth ya $3 billion each. Hio ina maana kwamba familia zote mbili zina total networth ya $6 billion.
2. Ukichanganya hio $6 billion ya hizo familia mbili na $1 billon ya Rostam basi unapata $7 billion.
3. Gdp ya Tanzania ni approximately $70 billion.
4. Sasa familia tatu zinamiliki $7 billion na uchumi wao ni wa $70 billion hio ina maana kuwa familia tatu zinamiliki asilimia kumi (10%) ya uchumi wa Tanzania. This is a very unequal society where wahindis and waarabus control most of the capital of the country. 3 families controllimg 10% of the economy of a country is nothing to be proud of.

Lakini net worth ni tofauti na Gdp mzee baba..networth is not production ..gdp huwa ni value of good n services produced within a year so ..how does net worth equate to gdp kwa hapo ..tungeangalia Gdp contribution za Hao waarabu na wahindi alfu tukajua how much do they contribute in economy per year ndo tungesema wanaendesha % flan ya uchumi?
Lakin mm nnaweza kuwa worth 10000usd but i dont even produce 100usd a year

Tuchukue national net wealth tuangalie % yao itakuwa kipimo kizuri
 
Back
Top Bottom