Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bingolala, just let it sink in your head, then accept and move on. Hizi kelele unapiga hapa won't change anything and won't make more Tanzanian companies to invest in Kenya if they can't compete effectively.
Kwn shida nn msee, Rais wako c ameruhusu matajiri wa Tz ku invest kwenu? Ss subiri uanze kuona tofauti ya investment na uhuni, matajiri wawili tu from Tz watawekeza zaidi ya hizo kampuni ushuzi za Kenya zilizopo Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kweli mwehu. Hao ni hawkers ambao hata Dar wanapatikana ndani ya mji. Ama unataka nikiluletee hawkers wa Dar? Hawkers hawana permanent structures kama zile zenu za mama ntilie za TPA. Ndio maana unaona kila siku ni watu wa kufukuzana na askiri wa jiji.

Secondly, hawkers wa Nairobi wanakubaliwa kuingia mjini mida za jioni tu and only on selected roads, mostly Tom Mboya Street and Moi Avenue. Huwezipata hawkers cbd saa saba mchana
Hahahahahaa anahamisha goli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oldonyo lengai
FB_IMG_1620459849555.jpg
 
Kwn shida nn msee, Rais wako c ameruhusu matajiri wa Tz ku invest kwenu? Ss subiri uanze kuona tofauti ya investment na uhuni, matajiri wawili tu from Tz watawekeza zaidi ya hizo kampuni ushuzi za Kenya zilizopo Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani walikuwa wamekatazwa hizi miaka zote? Na hizo kampuni 30 za Tanzania zinazofanya biashara Kenya zilijikutaje huku kama hakukuwa na kibali? Excuses galore!!!!
 
Kwani walikuwa wamekatazwa hizi miaka zote? Na hizo kampuni 30 za Tanzania zinazofanya biashara Kenya zilijikutaje huku kama hakukuwa na kibali? Excuses galore!!!!
Nakuambia hv wewe tulia c unaongelea dollar 1.7 b

Sisi ndiyo wenye idadi kubwa ya millionaires na billionaire, so tulia uone mchezo

Eti kampuni 500 uwekezaji $1.7bn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ss hiyo 1.7 bn dollar c ni pesa ya mtu mmoja tu hapa Tz, yn uwekezaji wa kampuni 500 za kikenya hapa Tz hazizidi hata pesa ya mtu mmoja tu c ubabaishaji huu jmn? Ilipaswa zichunguzwe hizi kampuni huenda ndio zile ushonaji viatu na zingine mabanda ya tuition

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ss hiyo 1.7 bn dollar c ni pesa ya mtu mmoja tu hapa Tz, yn uwekezaji wa kampuni 500 za kikenya hapa Tz hazizidi hata pesa ya mtu mmoja tu c ubabaishaji huu jmn? Ilipaswa zichunguzwe hizi kampuni huenda ndio zile ushonaji viatu na zingine mabanda ya tuition

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa inapaswa zifanyiwe uchunguzi..
 
Benefits za Nyumba if am not mistaken ni sheria ya 1999 sema si Mkapa wala JK aliewahi kutekeleza, JPM alivyoingia akalitekeleza kwa kuwajengea wastaafu hao nyumba km sheria inavyoelekeza maana sheria inataka hivyo, i cant blame him kwa kutekeleza sheria..
But zawadi ya birthday haipo kwenye sheria yoyote na ndio maana huyu mzee kila mwaka anaadhimisha birthday yake bt hajawahi kupewa gari km zawadi kutoka serikalini until today.
Binafsi sina tatizo na rais mstaafu kupewa zawadi ya gari itakayoendana na hatua ya maisha aliyofikia (ya chini chini). Tatizo langu ni thamani ya gari na timing yake.

Katika nyakati ambazo kuna makundi ambayo unayaambia seeikali yako haina uwezo wa kuyakirimu kwa kiwango tarajiwa (watumishi, wazee, nk), unapotoa zawadi kwa niaba ya serikali na taifa yenye thamani hiyo ni kama unaleta utani vile.

Ishu ya nyumba kwa rais mstaafu ni kweli usemavyo. JPM hakuanzisha utaratibu huo bali ni sheria ambayo ilikuwepo ila haikuwa ikitekelezwa. Yeye alirejesha utekelezaji tu.

Rais alivyotaja zawadi ya 'gari ya chinichini' haraka nikadhani kuwa angepewa moja ya zile state cars (benz) zilizonunuliwa pindi ile ya SADC summit. Ndiyo, zawadi si lazima iwe mpya hasa katika nyakati ambazo "uchumi umeshuka hadi asilimia 4".

Kuhusiana na pesa alizokuwa akigawa Magu ziarani binafsi huwa sipendi kujiuliza maana huenda zilikuwa za kwake binafsi! Sasa kama za kwake binafsi hakuwa na sababu ya kueleza zimetoka wapi.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo reli iko wapi kufikia hivi sasa, au nayo mtakenga mwakani
Alafu hzo reli zenu za abiria zitakua zinaelekea wapi yani makaazi yake, manake sijaona mtuonyeshe km zitapoa wapi
Ndiyo nyie The best 007 husema kuwajibu ni kupoteza muda. Zikitaka kulala zinaenda marshalling yard pale Ruvu km 93 (katikati ya hii section ya Dar-Moro).

Kuhusu kipande cha kutokea bandarini utulie. Kitakapoanza kujengwa utakiona. Kwa sasa endelea kuchezea mtori maana nyama ziko chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sina tatizo na rais mstaafu kupewa zawadi ya gari itakayoendana na hatua ya maisha aliyofikia (ya chini chini). Tatizo langu ni thamani ya gari na timing yake.

Katika nyakati ambazo kuna makundi ambayo unayaambia seeikali yako haina uwezo wa kuyakirimu kwa kiwango tarajiwa (watumishi, wazee, nk), unapotoa zawadi kwa niaba ya serikali na taifa yenye thamani hiyo ni kama unaleta utani vile.

Ishu ya nyumba kwa rais mstaafu ni kweli usemavyo. JPM hakuanzisha utaratibu huo bali ni sheria ambayo ilikuwepo ila haikuwa ikitekelezwa. Yeye alirejesha utekelezaji tu.

Rais alivyotaja zawadi ya 'gari ya chinichini' haraka nikadhani kuwa angepewa moja ya zile state cars (benz) zilizonunuliwa pindi ile ya SADC summit. Ndiyo, zawadi si lazima iwe mpya hasa katika nyakati ambazo "uchumi umeshuka hadi asilimia 4".

Kuhusiana na pesa alizokuwa akigawa Magu ziarani binafsi huwa sipendi kujiuliza maana huenda zilikuwa za kwake binafsi! Sasa kama za kwake binafsi hakuwa na sababu ya kueleza zimetoka wapi.




Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha fitna! Ati yale mabulungutu yalikuwa fedha za JPM? Basi hata fedha za ujenzi wa hospital ya polisi Kurasini ni zake!
 
Ss hiyo 1.7 bn dollar c ni pesa ya mtu mmoja tu hapa Tz, yn uwekezaji wa kampuni 500 za kikenya hapa Tz hazizidi hata pesa ya mtu mmoja tu c ubabaishaji huu jmn? Ilipaswa zichunguzwe hizi kampuni huenda ndio zile ushonaji viatu na zingine mabanda ya tuition

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepuyanga sana,500 companies kwa usd 1.7 bln!ni kichekesho cha hali ya juu!
 
Back
Top Bottom