Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What a speech 😍😍hizo vikwazo mkiondoa,,tnateka Tz yote😂😂

Vikwazo vikiondolewa sisi tunawatawala nyie mbuzi .. mtashindana na sisi kwenye nini.? 😂😂😂 .ikiwa hata chakula hamuwezi kuzalisha .? 😂😂
 
We jamaa unanichosha sana 😂😂😂. Nyie hamtuwezi bhana, hebu lete kwanza kampuni ya Ken

Vikwazo vikiondolewa sisi tunawatawala nyie mbuzi .. mtashindana na sisi kwenye nini.? 😂😂😂 .ikiwa hata chakula hamuwezi kuzalisha .? 😂😂
Ujinga na utoto zitakuuwa siku moja😂😂😂😂., Kaa ukingoja uone., wewe nikama kiumbe cha ichoboy01 😂😂😂 , mnafana sana 😂😂😂., so relax wacha kuhema sana.,
 
🤣🤣🤣🤣🤣 then speak truth is that how three or four level interchange looks like??
Be the judge


DFPZst4UAAALeT6.jpg

🤣🤣🤣🤣🤣 then speak truth is that how three or four level interchange looks like??
 
[emoji3516][emoji3516] labda pia wajenge plant ya ku compress gas into liquid useme watauza mitungi kitu ambacho hamna, hyo plant itajengwa Tz, ss cc tunahofia nn? Ok ngj waje wataalamu kina Geza Ulole joto la jiwe Uhuru n Umoja Tanzanature and the likes waje watuambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimsingi Kenya haiwezi kuwa na lengo la ku-export gas kutoka Tz in the near future. Huo utakuwa zaidi ya ukichaa kwao.

Kwa kuzingatia kanuni za uchumi wa usafirishaji ni more economical kuelekeza hilo bomba Mombasa kabla ya Nairobi hata ikiwa Nairobi ndiko kuna viwanda vingi.

Miji ya pwani ina potential kubwa zaidi ya kuwa industrialized kuliko ile ya inland. Hapa nazungumzia miji iliyoko kati ya Dar na Nairobi (Tanga inclusive). Hivyo bila shaka wanatambua kuwa sisi tutataka bomba lipite kwanza Tanga.

Pia hizi nchi zetu bado hazijajenga misingi ya industrialization. Ili ujenge sekta imara ni lazima ujenge kwanza basic industries ambazo mainly ni steel & chemical.

Ukiiangalia Jiografia ya Kenya, ni wazi mji unaopaswa kubeba hizo heavy industries ni Mombasa (kwa kuanzia na pengine Lamu hapo baadae). Gesi ni input kubwa sana kwenye basic industrialization.

Hivyo ni wazi bomba lazima liambae kwenye Pwani ya EA kisha kuwa branched kuelekea mainland.

Nadhani itakuwa rahisi tu kuliextend kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi Kenya haiwezi kuwa na lengo la ku-export gas kutoka Tz in the near future. Huo utakuwa zaidi ya ukichaa kwao.

Kwa kuzingatia kanuni za uchumi wa usafirishaji ni more economical kuelekeza hilo bomba Mombasa kabla ya Nairobi hata ikiwa Nairobi ndiko kuna viwanda vingi.

Miji ya pwani ina potential kubwa zaidi ya kuwa industrialized kuliko ile ya inland. Hapa nazungumzia miji iliyoko kati ya Dar na Nairobi (Tanga inclusive). Hivyo bila shaka wanatambua kuwa sisi tutataka bomba lipite kwanza Tanga.

Pia hizi nchi zetu bado hazijajenga misingi ya industrialization. Ili ujenge sekta imara ni lazima ujenge kwanza basic industries ambazo mainly ni steel & chemical.

Ukiiangalia Jiografia ya Kenya, ni wazi mji unaopaswa kubeba hizo heavy industries ni Mombasa (kwa kuanzia na pengine Lamu hapo baadae). Gesi ni input kubwa sana kwenye basic industrialization.

Hivyo ni wazi bomba lazima liambae kwenye Pwani ya EA kisha kuwa branched kuelekea mainland.

Nadhani itakuwa rahisi tu kuliextend kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apart from your assumptions and opinions, kama kawaida yenu, this is a fair enough response., though ni maoni yako tu.
 
Mlikuwa mnasema hapa kwamba mtanunua umeme wa Ethiopia imekuaje tena [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205][emoji1139][emoji117][emoji205][emoji529][emoji2781]

Sent using Jamii Forums mobile app
Magu alipindua meza mkuu. Pindi wanaongea hizo kitu hata sisi huenda "ma-genius" wetu wa wakati ule walikuwa wanapanga sisi pia tununue umeme nje. Ndiyo sababu huenda ile njia ya kusafirisha umeme Tz to Ethiopia ina design ya kupeleka na kuleta umeme.

Sasa from no where Gwiji akaja na uwekezaji wa kutisha kwenye miradi mikumbwa ya umeme nafuu Tz. Ndiyo sababu saa hizi wakenya wanaona vumbi tu kwenye sekta ya nishati.

Hivi sasa ukiwakumbushia hayo wanakumaindi hujui tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wavivu sn wa kufikiri eti wanashangilia sisi kuwauzia umeme na gas yn wanahisi gas yetu wao ndiyo watakuwa mawakala km walivyofanya kwenye mazao, ss hawajiulizi kwamba gas hiyo hiyo tunayowauzia ndio hyo hyo inayopatikana kwa wingi hapa kwetu, yn customer watoke wanapotoka eti waache kuja kununua gas Tz kwa bei rahisi eti aende Mombasa akanunue kwa bei ya juu, hawajui kwamba sisi ndiyo tutakao control bei ya gas hapa EA wakileta fyoko fyoko tunashusha bei [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Au labda cjaelewa, hebu wakuu nielewesheni hawa kima wanashangilia nini hapa mana km wanashangilia kupata unafuu wa maisha toka kwa baba zao Tz sawa ila km wanashangilia kuuza maana yake nini? Si utopolo huu hawa kima wanaleta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisema hapa jana. Wakenya wanaofurahia destination Mombasa kwa minajili ya "udalali" ni very short sighted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga na utoto zitakuuwa siku moja😂😂😂😂., Kaa ukingoja uone., wewe nikama kiumbe cha ichoboy01 😂😂😂 , mnafana sana 😂😂😂., so relax wacha kuhema sana.,
. Nijibu hii kwanza.. nipe majibu nasubir
 
ni muhimu kujikinga na corona.. lkn mama asituletee maswala ya lockdowns

naona kama anataka kwenda kinyume na JPM


angalieni replies (quotes) za hii tweets


kusema ukweli, hizi habari zinafikirisha sana. Let’s wait and see
Mnahangaika Sana nyie mataga,basi mnajiganya mnataka kumpangia Rais cha kufanya.

Kwa taarifa yako hakuna mpuuzi wa kifuata ushamba na ujinga wa Jiwe

Hakuna mtakachofanya,mama lete pesa tule maisha
 
Samia amekwisha potea njia tiyali...Nimwenye kupenda madaraka na kuzulula basi...
Marehemu mumewenu kwa nini alikuwa anataka kubadili katiba aongoze milele kama sio mpenda madaraka?

Mume wenu alikuwa mgonjwa akatunga propaganda za kijinga aliposhindwa kusafiri

Hesabu hiyo ni hadi 2035
 
Cool! Speech za mwanzoni tu, zilionesha muelekeo.

Nasikia, amedai kwa IMF kuwa uchumi umeporomoka to 4 point something, pia anahitaji covid mkopo na kuomba IMF kupiga tafu projects za Bwawa la Nyerere na SGR.

Nazi hakiki hizi taarifa.

Kwa sasa, group kubwa la Wazungu wameanza kusifia approach zake na kudai, "she is different from her autocratic predecessor"

Group hili la Jeffrey Smith, ukiona wanasifia, ujue tumeisha.
Mataga mtapata Sana tabu ,zamu yetu kula bata na yenu kuugulia.

Hilo gari hadi 2030,,ccm kura 100% ..Mama kanyaga twende
 
Kenya hakuna kitu mtanzania anaeza kuja invest, mfanyabiashara anaekeza sehemu kuna soko na raw materials zikiwepo usifkiri mtu anakuja kuinvest ovyo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo tullow ameinvest kwenye turkana oil sasa wamejivua wanakimbia washajua hakuna kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nawashangaa wanaohadaika na hizo takwimu za kwamba tumewekeza kidogo Kenya kuliko wao walivyowekeza kwetu. The fact that tunauza zaidi kwao kuliko wanavyouza kwetu makes more sense than anything else.

Ukiangalia utagundua kuwa Kenya wamewekeza kwetu kwenye miradi ambayo ni more capital intensive but less returns (profit). Namely;

Real estate [emoji845]
Financial sector [emoji845]
Shopping [emoji845]

Hizo sekta zote humaanisha wao wanaleta pesa nyingi (mtaji) lakini wanaondoka na pesa kidogo. To make things worse Mwamba alipiga stop kutuletea maCEO na maMD uchwara wanapokuja kuwekeza.

Upande wa pili wa shilingi ni kwamba sisi kwao tunawekeza kwenye biashara ambazo si capital intensive na kwamba ziko very liquid.

Sekta ya kilimo kwa mfano. Sisi tunawauzia sana nafaka na bidhaa nyingine za kilimo ambazo ni produce ya Tz. That way mauzo almost yote ya bidhaa zetu kwao (ukitoa kodi na transport cost) hurudi Tanzania.

Yaani kwamba mbongo anayeenda na lorry lake la mahindi Kenya akiuza almost pesa yote anaiweka kibindoni na kuirejesha NyerereLand.

Biashara nyingi kama hizi hazisajiliwi kwenye kituo chao cha uwekezaji na hivyo hizo takwimu zisiwatishe watu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio mkopo inaenda kwa Infrastructure,Nikama unaanzia Biashara unakopa pesa alafu Biashara inajilipia Deni yenyewe[emoji14]Think out of the Box Guyz
Infrastructure zenu nyingi hujengwa kwa BoT hivyo pesa yake haiwezi kuwa reflected kwenye bajeti. Nyerere aliwahi kusema kuwa "serikali iliyojaa rushwa haiwezi kukusanya kodi".



Sent using Jamii Forums mobile app
 


Nairobi ni chafu, potholes everywhere, dusting on air all over, roads are pathetic and presidential motorcade filled with heaps of shit from back to forth, how on earth Toyota Noah allowed to join the damn motorcade? Full of second hand Japanese tetanus scraps [emoji706][emoji706][emoji706]
Alafu wapo na kelele kumbe ni mafiii matupu mji wenyew bora Uganda
 
Back
Top Bottom