Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Lisilo budi hutendwa.Kwahiyo sasa mtanunua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisilo budi hutendwa.Kwahiyo sasa mtanunua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea uchumi gn wa karatasi au on ground, mana ukiangalia tupo mbali sn zaidi yenu anzia kwenye Ikulu jinsi ilivyo, Govt facilities etc, kuna cku zililetwa gari wanazotumia police wa Tz humu mkabisha kabisa, hyo ni ishara kwamba we are super power in EA.Unaongea ni kama Tanzania ina uchumi mkubwa kushinda Kenya.
Kenya hakuna kitu mtanzania anaeza kuja invest, mfanyabiashara anaekeza sehemu kuna soko na raw materials zikiwepo usifkiri mtu anakuja kuinvest ovyo tu 🤣🤣🤣 huyo tullow ameinvest kwenye turkana oil sasa wamejivua wanakimbia washajua hakuna kitu 🤣🤣🤣🤣🤣Na musisahau kuhusisha investors wa Kenya kwa hizo deal,na zingine Kama hizo,pia nyie TZ muje muinvest Kenya pia😃
Je unajua kenya debt to GDP ratio iko kwenye red line sasa hvi?? Leo munakopa 1.5trillion kwenye budget 🤣🤣🤣👇 kenya imekwishaUnaongea ni kama Tanzania ina uchumi mkubwa kushinda Kenya.
Mngekuwa mna advisers wanaoona mbali msingekuwa the failed state.Hatubishi Tena[emoji14]Hio Gesi pia Inatu Benefit,Jaribu kuwaza hivi"Maviwanda,Upishi,Magari,Stima itayobaki excess Tutauza"Kenya Ina Advisers wanao ona mbali Yani Making Futuristic Desicions,come to think of it it's a win win situation
Huyu joto la jiwe yuko wapi watu wametii huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lisilo budi hutendwa.
Ujenzi wa nyaya za Umeme kati ya Kenya na Ethiopia umekamilika. Tutanunua umeme wetu kutoka Ethiopia. Sisi hatuna haja ya kununua umeme kutoka Tanzania.
Cc Geza Ulole
Kwa kila Kampuni Ukiwa na Pesa utaweza nunua shares😛Nayo Suluhu amesuluhisha kwa kutuvutia investors wa Kenya Tanzania🔥🔥🙏Tha main owner ni TPDC na ndio controler wa hio business hapa tanzania na ndio mtoa zabuni wa bomba la gas hapa tanzania na ndio wanaouza gas kwa tanesco, dangote na viwanda vyote hapa tanzania 🤣🤣 na pia ni kampuni ya serekali inayoendesha faida🤣🤣🤣👇👇👇
Asante sana kaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tony na wenzie na nchi yao mda huu
View attachment 1773661
Sio kirahisi kwa sasa kwasababu ni kampuni ya umma na inajiweza 😂😂😂 kwa sasa tulieni tuwaletee gas ili zile pesa za kuagiza nje tuzichukue sisi tujenge nchi zaidi 😄😄Kwa kila Kampuni Ukiwa na Pesa utaweza nunua shares😛Nayo Suluhu amesuluhisha kwa kutuvutia investors wa Kenya Tanzania🔥🔥🙏
Wat you don't see😛Others see it,Hapo ndipo Watanzania munapoanguka you make silly silly desicionsKenya hakuna kitu mtanzania anaeza kuja invest, mfanyabiashara anaekeza sehemu kuna soko na raw materials zikiwepo usifkiri mtu anakuja kuinvest ovyo tu 🤣🤣🤣 huyo tullow ameinvest kwenye turkana oil sasa wamejivua wanakimbia washajua hakuna kitu 🤣🤣🤣🤣🤣
![]()
Tullow Oil suspends Kenyan oil-export program
Tullow Oil’s export and testing of Kenya’s crude under a pilot plan ended June 2, as timelines for development in the East African nation slowed.www.worldoil.com
Tatizo suluhu hamujamjua bado tena atakua tight kuliko mzee nyie tulieni muone game😃Kwa kila Kampuni Ukiwa na Pesa utaweza nunua shares😛Nayo Suluhu amesuluhisha kwa kutuvutia investors wa Kenya Tanzania🔥🔥🙏
Tanzania bado kuna opportunity kibao sana bado watanzania wanafursa ndio maana unaona kila siku idadi ya millionares inapanda tanzania ina millionare wengi zaidi ukichukua kenya uganda rwanda and burundi combined 🤣🤣🤣🤣 tanzania ina unemployment rate ndogo zaidi east and central africaWat you don't see😛Others see it,Hapo ndipo Watanzania munapoanguka you make silly silly desicions
Hio mkopo inaenda kwa Infrastructure,Nikama unaanzia Biashara unakopa pesa alafu Biashara inajilipia Deni yenyewe😛Think out of the Box GuyzJe unajua kenya debt to GDP ratio iko kwenye red line sasa hvi?? Leo munakopa 1.5trillion kwenye budget 🤣🤣🤣👇 kenya imekwisha
Wwe unaona Failed State Lakini ujue hivi aliye na Macho haambiwi Tazama,Mtajua Huko Mbele😃Mngekuwa mna advisers wanaoona mbali msingekuwa the failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gerd itakamilika tu na sisi ndio tutakuwa customer wa kwanza. Hatuna haja ya kununua umeme kutoka kwa majirani wa kusini wenye wivu.
Kama nilivyo sema ww ni mpumbavuUngekuwa mjanja Ungekuwa umejijibu Swali kitambo,iyo swali sijibu,Tafakari hayo utapata Majibu[emoji14][emoji1139][emoji91][emoji91]
Unaendelea kumchoma, hahahahaaa harudi huyo nakwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣 Ni sawa Nyani haoni kundule na Mgema akisifiwa???Tony na wenzie na nchi yao mda huu
View attachment 1773661