Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Nilijua hautapata jibu mwafaka, unatapatapa tu😂😂., Uganda betters u, pambaneni, wacheni uzembe na visingizio.![]()
acheni uwoga,,waambieni wafanyabiashara wenu na hiyo government yenu kuwa wafungue spana ,Tz haiji kenya kuchukua nchi bali inakuja kuteka biashara ueoga hauna maana,,,![]()
huku sisi tunawakaribisha mje kufanya biashara tena mje wengi tu wakutosha