Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,945
Kwani kuna shida, hata mimi nikitaka kuenda kama Greenwich Maritime Institute, mfano. Si ni hela itaongea, ama ni vipi. So wao kuwa huko sioni issue jomba. Popote kambi!nilichokiona hapa ni ushamba na ulimbukeni na lack of exposure.. pale DMI kuna wakenya kibao