Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mfano, league ya Ug, Rwanda na Burundi, Azam ndio wanairusha live .. bidhaa zetu zetu uko ndio zinatamba kila chochoro yani ni kama makoloni yetu 😂😂😂, mtatuambia nini bhana .. mambo ya ajabu kabisa
My point here😂😂😂 popularity sio profitability 😂😂😂, the reason Azam is popular in Tz but not the leading., unajijibu tu😂😂😂
 
Achana na huyo mbu mbu mbu.

Azam is the jewel of East Africa in continental brands ranking.

Azam was Tanzania's number one top of mind brand and came at number five in the ranking of most admired African brands when prompted, according to the 2020 Brand Africa 100 survey. The survey is the continent's best brands highlight which is done every 10 years.

Is popularity profitability?😂😂😂 Mbu Mbu Mbu ni wewe kabisaa😂😂😂
 
Ni kweli tutawatawala katika nishati ,mazao nk wapende wasipende tutawaburuza kama nguruwe
Tuko hapa kushuhudia ndoto zako za mchana,😂😂😂 hizi pambio mtaimba hadi basi., success is not in a conduct, it is a principle, yenye is among the few foreigners living in Tz, (if u know u know) nyie wengine mtangoja sana😂😂😂😂.,
 
We vipi wew jomba hiyo ni SA mzee , au hujaangalia hiyo video.? 😂😂😂 Umeona unaanza kuchanganyikiwa sasa
Sijasema ni Rwanda ama wewe umeonaje?., understand business dynamics wacha kuropokwa ropokwa tu, 😂😂
 
Sijasema ni Rwanda ama wewe umeonaje?., understand business dynamics wacha kuropokwa ropokwa tu, 😂😂
We jamaa unanichosha sana 😂😂😂. Nyie hamtuwezi bhana, hebu lete kwanza kampuni ya Kenya inayoweza kushindana na Azam ili nitoke jf 😂😂😂
 
Tuko hapa kushuhudia ndoto zako za mchana,[emoji23][emoji23][emoji23] hizi pambio mtaimba hadi basi., success is not in a conduct, it is a principle, yenye is among the few foreigners living in Tz, (if u know u know) nyie wengine mtangoja sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,
Who is foreigner?
 
We vipi wew jomba hiyo ni SA mzee , au hujaangalia hiyo video.? 😂😂😂 Umeona unaanza kuchanganyikiwa sasa
....unadhani mumewekeza nje ya nchi kuliko Kenya eti?😂😂😂., Tanzania, Tanzania, Tanzania😂😂😂., Raisi wenu anajua vyema, nyie wengine ni kelele za vijiweni.,😂😂., Bring facts hapa ya countries za EAC zenye businesses both in and outside its borders, far and wide na annual revenues tuone., take your time please usikuje kukurupuka hapa na mapicha na tu selected video clips unafikiria ndio basi..,
 
Bunge la Kenya ni kama kikao cha madiwani. 🤣 🤣🤣
IMG_20210505_144530_539.jpg
 
We kilaza Yosef Festo bidhaa za Azam ni namba tano Africa kwa ubora na ni bidhaa zinazotumiwa zaidi Africa sio EA pekee.. pitia hapa . Alaf upate kunywa paracetamol upunguze maumivu 😂😂😂
 
Do you know America is an Oil producer na ata hawana Oil kwao,They invest in Other countries e.g Saudi,American company mines oil and then sells for itself.[emoji14]If you think you know[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama hujashikanisha Ni sawa
Marekani wanajitambua. Hawawezi kufanya biashara ya mafuta nje ya nchi yao ikiwa kwao hayawatoshelezi. Sasa nyie wapuuzi mtakuwa supernormal idiots ikiwa mtakuwa mnalenga zaidi udalali wa gesi kabla hamjaitumia kwenye uchumi wenu wa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....unadhani mumewekeza nje ya nchi kuliko Kenya eti?😂😂😂., Tanzania, Tanzania, Tanzania😂😂😂., Raisi wenu anajua vyema, nyie wengine ni kelele za vijiweni.,😂😂., Bring facts hapa ya countries za EAC zenye businesses both in and outside its borders, far and wide na annual revenues tuone., take your time please usikuje kukurupuka hapa na mapicha na tu selected video clips unafikiria ndio basi..,
😂😂😂 Yani unaongea ujinga sana .kwa mfano jirani hapa tz yani vikampuni uchwara 500 kutoka kenya zimewekeza eti 1b $ 😂😂😂😂 ukigawanya hapo 1b÷500=2m each 😂😂😂.. kuwekeza dola milioni mbili kwa kila kampuni ni mambo ya ajabu sana 😂😂.. nyie kwenu uko hakuna kitu bhana ..
 
Back
Top Bottom