Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti poor product.....

yaani unatokwa na mapovu hadi matakoni,,,,,

usipende kuropoka hovyo,,,unadhani kwanin azam kapigwa pin huko kujenga kiwanda..

huyu jamaa akiingia huko anateka uchumi wote wa kenya
Kenya kampuni za nje haziwezani, shopprite sai yuko wapi
 
Take it from me. Kenyans wakiacha protectionism uwekezaji ukawa huru basi tarajia makampuni yetu ya uzalishaji kama MeTL, azam, asas, et kwenda ku-engulf uchumi wao.

Makampuni yao mengi makubwa huwekeza kwenye mere business na si real production. That way "mabepari" wetu kama akina Rostam wakiingia kule tunatake over.

Imagine Taifa Gas ya Rostam ikawekeze Kenya wakati huu ambapo hiyo LPG ni import. Tukianza produce LNG for export si ndiyo ata(tuta)wameza kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa simngekua DRC na Uganda ama Rwanda? Kulikoni?🤔🤔
Sasa Uhuru kawapa ruksa ya kufanya biashara bila business visa or work permit, ona wenzenyu walivyo haha!😂😂😂, Mtajua hamjui.,
Screenshot_20210505-171941.png

Kasema ukweli, mumezubaa kishenzi, wanyonge kweli nyie😂😂😂
 
....unadhani mumewekeza nje ya nchi kuliko Kenya eti?[emoji23][emoji23][emoji23]., Tanzania, Tanzania, Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23]., Raisi wenu anajua vyema, nyie wengine ni kelele za vijiweni.,[emoji23][emoji23]., Bring facts hapa ya countries za EAC zenye businesses both in and outside its borders, far and wide na annual revenues tuone., take your time please usikuje kukurupuka hapa na mapicha na tu selected video clips unafikiria ndio basi..,
Wewe mwenyewe ulileta hiyo battle ya investment kubwa kwenye neutral ground. Sasa mbona unaanza kurukaruka? Tulia sindano zikuingie acha kuhamisha magoli [emoji382][emoji382][emoji382][emoji373][emoji373][emoji373]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
makampuni 500 ya kikenya wametumia 1.7b$ Tanzania .. akina MO, Bakhresa, Rostam, ASAS na Lake Oil pekee wanaweza kuwekeza zaid ya 1b$ kwa pamoja
Si wawekeze basi tuone[emoji23][emoji23]
Dangote tu kakimbia watakuja hao makapuku
 
Kenya kampuni za nje haziwezani, shopprite sai yuko wapi
Hao vilaza wa mitandaoni wachana nao., Kelele ukiweka takwimu wanakimbia., hawawezi wekeza nchi zingine kuonyesha uwezo wao sasa wanalia lia eti tumewakazia, si basi wawekeze ata DRC ama Ghana kama wako na muscles., ni kelele tu., Profits ya hizo companies zao bado nikidogo sana to appear in the same sentence na top 10 za Kenya.,😂😂😂
 
Ww kataa kubali azam kashika coast ya kenya na baadhi ya maeneo ya bara kenya na tusibishane kwa hili nakwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Coast ipi hyo[emoji23][emoji23]
Mombasa tu imemshinda, yani nitakua nimekosea wapi mimi eti niendw kununua bidhaa za Azam wakati kuna local products ambazo quality iko juu
 
Apart from your assumptions and opinions, kama kawaida yenu, this is a fair enough response., though ni maoni yako tu.
Good. Muda wa kuelimika unakubali kuelimika kama hivyo. Nakupa hongera kwa hilo. Na nimekupa like kwa kukubali ukweli. Hizo assumptions na analysis usizichukulie personal. Good for your knowledge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao vilaza wa mitandaoni wachana nao., Kelele ukiweka takwimu wanakimbia., hawawezi wekeza nchi zingine kuonyesha uwezo wao sasa wanalia lia eti tumewakazia, si basi wawekeze ata DRC ama Ghana kama wako na muscles., ni kelele tu., Profits ya hizo companies zao bado nikidogo sana to appear in the same sentence na top 10 za Kenya.,[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naweza sema wakenya ni wazalendo sana katika masuala ya kibiashara, raia wa kawaida ni ngumu sana kwenda kununua brand za nje[emoji23][emoji23]
 
Good. Muda wa kuelimika unakubali kuelimika kama hivyo. Nakupa hongera kwa hilo. Na nimekupa like kwa kukubali ukweli. Hizo assumptions na analysis usizichukulie personal. Good for your knowledge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mpende ukweli na mjikubali mahali mpo, wacheni jeuri na kiburi, mtafika siku moja.
 
Mi naweza sema wakenya ni wazalendo sana katika masuala ya kibiashara, raia wa kawaida ni ngumu sana kwenda kununua brand za nje[emoji23][emoji23]
Exactly, pia quality matters, kitu kama ni mbaya ama iko down inapitwa tu., Azam products ziko down by Kenyan standards, not that am Kenyan it is a fact, the reason hauzipati anywhere else, zinaingia coast kimagendo, ju ya"nepotism" naeza sema, Azam has relatives in Mombasa, waarabu wa Mombasa na Dar are one and the same., Kuna connections kibao, Joho hawezi kazia hizo useless Products., dini pia ina play., Unfortunately even in Mombasa they are not popular either.,
 
Just accept that your city is dead. When we were doing SGR Nairobi was not dead like Dar is slum is now, Britam tower came up, UAP tower came up, Prism tower came up, UoN tower came up. So please spare me your bullshit excuses that you can't built more towers because mnajenga SGR.
Siku utaniletea concrete jungle kama hili hapo naipori au mji wowote EA nistue tukae tuongee [emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_1596209849315.jpg
JamiiForums-119838570.jpg
JamiiForums-759228276.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa simngekua DRC na Uganda ama Rwanda? Kulikoni?[emoji848][emoji848]
Sasa Uhuru kawapa ruksa ya kufanya biashara bila business visa or work permit, ona wenzenyu walivyo haha![emoji23][emoji23][emoji23], Mtajua hamjui.,
View attachment 1774396
Kasema ukweli, mumezubaa kishenzi, wanyonge kweli nyie[emoji23][emoji23][emoji23]
Jielimishe wewe. Azam anatawala soko la consumables Rwanda. MO na Azania wameiteka DRC, Malawi, Zambia, nk na ndiyo sababu marais wao wanapokuja lazima wamtafute MO ili wamshawishi ajenge kabisa viwanda huko. Unataka tuanze kukupa mpaka intel mzee!

We are the kings of this block! Watch out, mbegu nyingi za uwekezaji zilizopandwa kwenye miaka mi5 iliyopita nyingi zitaanza kuzaa matunda sooner than later. Kaeni muendelee kufurahia kipindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si wawekeze basi tuone[emoji23][emoji23]
Dangote tu kakimbia watakuja hao makapuku
Hawezi kukimbia aache nyuma more than $500m investment. Huo ndiyo uwekezaji siyo vikampuni kama vyote $1.7bn. Hata huyo Dangote alidhani easy tu kuingia kwenye gesi yetu akakutana na sheria mpya zinataka 50/50 economic benefits akatulia na cement.

Sasa hivi tulimpa eneo ajenge power plant ya $47m jirani na kiwanda chake na anatuungisha gesi. Mind you, Tz is no longer shamba la bibi. So alipotaka kununua makaa ya mawe time zile tukamwonesha depot ya Ngaka coal mine. Tunakaba kila idara ndiyo maana hata nyie mnatuogopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku utaniletea concrete jungle kama hili hapo naipori au mji wowote EA nistue tukae tuongee [emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1774412View attachment 1774413View attachment 1774414

Sent using Jamii Forums mobile app
Mombasa mama mzazi wa Dar is slum😂😂😂😂, kwa camera angles mmetisha😂😂😂 for deceptive perception 😂😂hapa ndio mmekomaa😂😂😂.,
Mamake Dar huyu
👇👇mpe bibi heshima yake😂 in Tz ni Dar pekee😂😂.,

1612944190371.jpg

1612944191329.jpg

Farthest view., lakini utaelewa tu.,
1612944191708.jpg


Anajenga three level pia,😂😂😂😂 kaa utulie.
 
Tembelea jukwa yenu ya siasa, kajadiliane uko na uamuzi wa Kenyatta., Peleka maoni yako huko huko kwa wenzako., Vikwazo tumetoa nyie mna kende ya kutoa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1774407
Huko jukaa la siasa kumejaa mapimbi ambao wakisikia Kenyatta ametangaza ataondoa vikwazo basi wanajua vitaondolewa kweli. In the real world, hilo halitatekelezwa. Kama umeisikia speech ya Rostam utaelewa hili kirahisi zaidi. Huku ndiko great thinkers hupatikana. Hatudanganyiki na maneno maneno. More thinking.

Kama unabisha nijibu hili swali:

Rais wenu kaagiza ndani ya siku mbili mahindi yetu yaanze kuvuka! Je, ndani ya hizo siku mbili ndiyo mahindi yetu yatakuwa yameondolewa sumu kuvu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom