Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa akili zenu za kijinga mnachekelea. Hiyo ni ishara ya wazi kuwa you guys are very stupid. You never think of the bigger picture. Hiyo gesi mnapaswa kuihitaji kwa ajili ya viwanda na uchumi wenu kama anavyoitaka Museveni. Instead na hizo akili zenu ndogo itakuwa mnataka kuwa tu madalali ili mfanye exports! A very stupid neighbour we have. Very short sighted.



Sent using Jamii Forums mobile app
Issue iko hivi mkuu, hawa wakunya humu tulikuwa tukiwaambia kila siku kwamba JNHP ikiisha na LNG tutakuwa tunawauzia umeme wa bei rahisi pamoja na gesi wakawa wanapinga na mmoja wao ni huyo Bwana Mapesa a.k.a spokesman of the Government of Kenya pamoja na Tony254 lkn leo wamegeuka baada ya kuona serikali yao imeomba kitu kile kile tulichokuwa tunawaambia hapa, sasa roho imewauma sn cz wanaona kwamba tunaenda kuwatawala kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cool! Speech za mwanzoni tu, zilionesha muelekeo.

Nasikia, amedai kwa IMF kuwa uchumi umeporomoka to 4 point something, pia anahitaji covid mkopo na kuomba IMF kupiga tafu projects za Bwawa la Nyerere na SGR.

Nazi hakiki hizi taarifa.

Kwa sasa, group kubwa la Wazungu wameanza kusifia approach zake na kudai, "she is different from her autocratic predecessor"

Group hili la Jeffrey Smith, ukiona wanasifia, ujue tumeisha.

Afanye yote, lakini asiruhusu mikono ya mabeberu kugusa strategic projects zetu. Tutakuwa tumeisha. Tutakuwa kwenye makucha yao daima dawamu.
 
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]

Wafuate Magu Jehanamu[emoji88][emoji88]->>
[emoji23][emoji23][emoji23]
Deal za watu wenye uhai zmeanza kupigwa
Screenshot_20210504-204758.jpg
 
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]
MATAGAA [emoji779][emoji779][emoji779]

Wafuate Magu Jehanamu[emoji88][emoji88]->>
[emoji23][emoji23][emoji23]
Deal za watu wenye uhai zmeanza kupigwaView attachment 1773570
Sasa hii si ndiyo lengo letu au ulikuwa hujui kwamba nyie ni wateja wetu? Ulitaka ziada tumuuzie nani sasa? We ni mpuuzi wa mwisho, hujui kwamba tunaenda kuwatawala? Na kwamba magoti kwetu yataongezeka kuliko mwanzo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afanye yote, lakini asiruhusu mikono ya mabeberu kugusa strategic projects zetu. Tutakuwa tumeisha. Tutakuwa kwenye makucha yao daima dawamu.
Kuna kitu sijakielewa bado! Nimeona ilo bomba litapitia bandari ya Tanga mpaka Mombasa..!! Lengo lakupeleka Gas Kenya sio wao wauze kweli?
 


Nairobi ni chafu, potholes everywhere, dusting on air all over, roads are pathetic and presidential motorcade filled with heaps of shit from back to forth, how on earth Toyota Noah allowed to join the damn motorcade? Full of second hand Japanese tetanus scraps 🚮🚮🚮
Pot hole hakuna,Lakini Dust nitaitikiana nawwe,Lakini iyo Dust itaisha wameanza kusafisha Jiji
 
Kuna kitu sijakielewa bado! Nimeona ilo bomba litapitia bandari ya Tanga mpaka Mombasa..!! Lengo lakupeleka Gas Kenya sio wao wauze kweli?
Sisi tunachopaswa kuangalia ni wao watupe pesa yetu, hayo mengine watajua wao, sasa km watataka kuuza na co kuwaokoa wananchi wao na viwanda vyao cc itatuhusu nn? Na mtu gn ataenda kununua gas Kenya at exorbitant price na asije kununua huku at cheap price? Labda kama mkataba utakuwa kwamba gas ya Tz itauzwa Kenya hapo sasa ndo utakuwa upuuzi wa karne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wakenya wasijifunze kupendezesha barabara zao pembeni kwa kupanda miti mizuri inayonakshi manthari ya pembezoni mwa barabara na mji kwa ujumla

Dodoma huwa regarded kama semi arid kwa Tanzania Lakini I bet ina miti mingi ya pembezoni mwa barabara kuliko jumla ya miti yote Nairobi nzima

Wwe hujatembea Nairobi#The Green City,Hapo kwa Miti Tunayo😛
 
Sasa hii si ndiyo lengo letu au ulikuwa hujui kwamba nyie ni wateja wetu? Ulitaka ziada tumuuzie nani sasa? We ni mpuuzi wa mwisho, hujui kwamba tunaenda kuwatawala? Na kwamba magoti kwetu yataongezeka kuliko mwanzo?

Sent using Jamii Forums mobile app

jamaa zero brain sana[emoji706]🧠 .. hajui ndo wanatunufaisha.. lile bomba letu kutoka huko kusini is as if halitumiki effectively kama lilivyokusudiwa.. sasa tumepata mteja atakaefanya bomba litumike ipasavyo, yey anashangilia.. anafikiri tumeloose [emoji706]
 
Issue iko hivi mkuu, hawa wakunya humu tulikuwa tukiwaambia kila siku kwamba JNHP ikiisha na LNG tutakuwa tunawauzia umeme wa bei rahisi pamoja na gesi wakawa wanapinga na mmoja wao ni huyo Bwana Mapesa a.k.a spokesman of the Government of Kenya pamoja na Tony254 lkn leo wamegeuka baada ya kuona serikali yao imeomba kitu kile kile tulichokuwa tunawaambia hapa, sasa roho imewauma sn cz wanaona kwamba tunaenda kuwatawala kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna Shida na hiyo😛Bora Ni Cheap we want Business like that,Pliz ongezeni zengine ka hizo,Tafadhali Mandugu
 
jamaa zero brain sana[emoji706]🧠 .. hajui ndo wanatunufaisha.. lile bomba letu kutoka huko kusini is as if halitumiki effectively kama lilivyokusudiwa.. sasa tumepata mteja atakaefanya bomba litumike ipasavyo, yey anashangilia.. anafikiri tumeloose [emoji706]
No it's a win win Situation,Mandugu Tupendane😛
 
Back
Top Bottom