Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Ukiongea kitu bila kusoma mara nyingi inaonyesha ufahamu ulionaoNa mbn ameshasema hilo, ametoa hotuba fupi ambayo hakusoma popote, unajua mm napenda sn kiongozi anayetoa maneno pasipo kusoma cz huwa anatoa ya moyoni.












