ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hio ni zege mpuuzi weweUsitufanye wajinga sawa, uswailini my foot afu road imeparara mpaka imekua nyeupe.😂😂😂View attachment 1738543
Hio ni zege mpuuzi weweUsitufanye wajinga sawa, uswailini my foot afu road imeparara mpaka imekua nyeupe.😂😂😂View attachment 1738543
Hapana hii bro Tony254 katoa boko. . Take a look hii ni BRT system ya cape Town pekee . N remember wao wanazo BRT system in more than one City,so their system is the best in Africa,alaf labda sisi ndio tunafuatia, hao wa West Africa ni uchafu hawatuwezi
Kwahiyo km jengo limeonekana ndio unataka kusema nini? Hebu niambie hapa ni uswahilini au townUsitufanye wajinga sawa, uswailini my foot afu road imeparara mpaka imekua nyeupe.View attachment 1738543









Hii ni lami iliyoparara😂😂😂 kabishane na Magufuli.Hio ni zege mpuuzi wewe
Umasikini Kenya ni "culture' ninahisi hujampata vizuriHuo ni umaskini baba, culture gani unazungumzia .? Unataka kusema hizo baiskeli ziliazishwa na ancestors wa hapo kisumu.?
![]()
Safi sana. Ndio maana nikamwambia huyu mbwa coco wa kisumu kwamba ushamba unamsumbua. Haya mambo ya barabara za lami huku Tz sasa hivi mitaani kinaanza kuwa kitu cha kawaida tu.Kwa Udhamini wa Bwana Mapesa.( My personal life)
View attachment 1738503
INNER ROADS ( hapa ni uswahilini)angalia Direction zote mkeka. ( NSEW)
View attachment 1738504
View attachment 1738505
View attachment 1738506
View attachment 1738507
View attachment 1738508
View attachment 1738509
View attachment 1738510
Second tallest building in Africa hio 💪lazima ionekane mbali, linganisha na hii yenu few metresKwahiyo km jengo limeonekana ndio unataka kusema nini? Hebu niambie hapa ni uswahilini au townView attachment 1738607
Kuna miundo mbinu gani nigeria ambazo ni bora kuliko SA na Egypt, wacheni utani jamaaMkuu wewe ukumuelewa Tony254 na umechanganya mada kabisa maelezo yote kuhusu Nigeria kua mbele zaidi ya South mbona alitolea mifano mingi tu juu ya miundombinu + miradi mbalimbali iliyopo nigeria na bora kuliko ya South na Egypt
Pia kuhusu iooo mada ya nigeria kua na ma billionaire wengi blacks aliiongelea upande tofauti kabisa, na hao ma billionaire ndo wawekezaji wakubwa kwenye io miradi iliyopo nigeria.
Hapa akaonyesha kukubari kitu wanafanya blacks(billionaires) wa nigeria kuliko kutegemea whites kama investors akatoa mfano south kua wengi wa wawekezaji wakubwa ni whites kuliko blacks kua muelewa mzee Coco reborn
Martin Chegere?Kama vile Mh Rais mama Samia anapitaga humu vile!!
![]()
MY TAKE
again asikosee kwenye uteuzi wa Waziri wa Fedha na Mipango achaguliwe Mchumi na mwenye track record!
CC: Tony254
. We jamaa Angalia hizo marked inner roads ulizokua unataka kuoneshwa tz ,now hiyo ni Musoma uko maporini 😂😂 inner roads ndio zipo kama hivyo, na wew utuonyeshe Kijiji kama hiki uko kunya land kikiwa na marked roads NDINDA niambie bro nipige niendelee au nimsameh .?
Kuna kipande zege na kipande lami wewe kumbe mshamba sana wewe😅😅😅Hii ni lami iliyoparara😂😂😂 kabishane na Magufuli.View attachment 1738614
Pande moja ilifanywa repairs 😂😂😂 nyingine ikaachwa.Kuna kipande zege na kipande lami wewe kumbe mshamba sana wewe😅😅😅
Umasikini Kenya ni "culture' ninahisi hujampata vizuri
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app






Nionyeshe interchange kama hiyo. Oooh sorry, I was forgetting that Tanzanian only have two interchanges na zote ziko Dar is slum.Hapa unataka nikuonyeshe nini hiyo calvat au barabara.?
A dual road of 300 metres which is even available in Bungoma ndio kitu inakufurahisha? Kisumu has 100 times of that.Show us like this in kisumu🤣🤣👇👇
View attachment 1738101
Hzi ndio taxi zao kisumu yani utacheka nakwambia 🤣🤣👇👇👇
View attachment 1738113View attachment 1738115View attachment 1738116
Kenyans feeling superior for no reason. Combination is correct here.
mna kiherehere king sana