Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza unaonekana umeshinda betting ya kwanza ya VP.. sasa ebu bashiri nani anaweza pewa iyo wizara ya fedha maana.. ni moja kati ya sensitive ministries
Sina uhakika ila naweza kushauri awe economist pia na mwenye uzoefu wa kuendesha taasisi za fedha kufanisi iwe TRA, BOT au Benki au Insurance au mifuko ya Pension! Yaani mwenye kujua kitimtim cha uendeshaji, ukusanyaji na kupata faida wakati akihepa hasara! Mtu wa caliber ya CEO wa KQ ni mwiko!!!

CC: Tony254
 
Mlimani City Villas.


IMG_6495.jpg

IMG_6494.jpg

IMG_6499.jpg

IMG_6498.jpg

IMG_6497.jpg
 
Kwa hiyo mkeka wa yule mwanaharakati mwenye chuki binafsi kule twitter umechanika

kuna mchezo anafanya.. kila siku anakuja na orodha ya wenye ‘potential’ kuchaguliwa.. siku mtu mmoja wapo akichaguliwa..anaquote hio tweet anasema si niliwaambia mim
hizo orodha za kila kukicha yupo mara shigella, makamba, yule rc simiyu mara sijui nan tena.. lkn wote hao hawajapita
 
kuna mchezo anafanya.. kila siku anakuja na orodha ya wenye ‘potential’ kuchaguliwa.. siku mtu mmoja wapo akichaguliwa..anaquote hio tweet anasema si niliwaambia mim
hizo orodha za kila kukicha yupo mara shigella, makamba, yule rc simiyu mara sijui nan tena.. lkn wote hao hawajapita
Followers wake ni kama kondoo

Hawana uhuru wa kumkosoa...ukimrekebisha unakula block.

Halafu anataka kumuendesha Rais na kumpangia cha kufanya kupitia twitter eti.

Nakumbuka alikuwa amebeti balozi wa Tanzania kule Brazil ndo anakua makamu wa Rais.
 
Naomba sana ile ya Mh kutembea na hela na kusaidia wananchi, na kutatua kero za wenye shida isikome, hela zipo ni kwa ajili ya wananchi km hao. Hawa ni wote ni watu wa Mungu, hivi we unamuonaje mtu anayewajali watoto wako? Lazima utampenda. Hayo mambo ni baraka kwa nchi yetu, natamani hiyo iendelee.
Nimesikiliza hotuba fupi ya VP mtarajiwa Dr. Philip Mpango amepita mule mule kwa JPM, hakika Tz tuna hazina ya viongozi waaminifu na smart sema tu kuna upepo mbaya ulipita baada ya kuwapa nafasi watu wasiotosha kwenye nafasi, ila JPM akaja kurudisha maana halisi ya uongozi aliyokuwa akiihubiri Mwl Nyerere ambayo ilitafsiriwa vzr na JPM.

Kwa wasiojua ni kwamba Magu aliletwa kutafsiri kwa vitendo ndoto za Mwl Nyerere zen atuache tuendelee na ujenzi wa taifa letu, namshukuru Mungu alifanikiwa ktk hilo na ss ameenda kupumzika akiwa na amani tele rohoni mwake.
 
Back
Top Bottom