eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,780
- 16,455
mzee tony kaishi nje uko Czech republic kwaiyo roho safi.. hawa wengine visungura pori havijatoka ata county zao wanakuja kumsakama tony mtu wakimataifa nyie wakunya nyie tunawaona
Tony254 alikuwa international student huko Balkan, so he has a different exposure. Siyo kama hawa jamaa wengine hawajawahi hata kuwa na Schengen Visas, lkn wana kelele humu utadhani wametiwa ndimu na pilipili.


lazima ionekane mbali, linganisha na hii yenu few metres
