Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣 asante kwa mapovu
Hakuna jipya
2650958_IMG_20201219_090142.jpg
 
Safi sn, jamaa nina historia yake fupi ni mtu poa sana pia hana makuu na sio mbadhirifu na ni muaminifu mno.

Kuna jamaa yangu aliniambia Mpango vp hafai? Nikamwambia anafaa ila sioni kama atapewa yeye but ndio imekuwa hvyo yn safi kabisa, anajua kuishi vzr na watu ofcz namkubali sana.

Ni mbahili JPM akasome
 
Safi sn, jamaa nina historia yake fupi ni mtu poa sana pia hana makuu na sio mbadhirifu na ni muaminifu mno.

Kuna jamaa yangu aliniambia Mpango vp hafai? Nikamwambia anafaa ila sioni kama atapewa yeye but ndio imekuwa hvyo yn safi kabisa, anajua kuishi vzr na watu ofcz namkubali sana.

Ni mbahili JPM akasome
Kwa hiyo mkeka wa yule mwanaharakati mwenye chuki binafsi kule twitter umechanika
 
Naomba sana ile ya Mh kutembea na hela na kusaidia wananchi, na kutatua kero za wenye shida isikome, hela zipo ni kwa ajili ya wananchi km hao. Hawa ni wote ni watu wa Mungu, hivi we unamuonaje mtu anayewajali watoto wako? Lazima utampenda. Hayo mambo ni baraka kwa nchi yetu, natamani hiyo iendelee.
 
Kama vile Mh Rais mama Samia anapitaga humu vile!!




ExtrFclXMAI3RqJ




MY TAKE
again asikosee kwenye uteuzi wa Waziri wa Fedha na Mipango achaguliwe Mchumi na mwenye track record!



CC: Tony254

Geza unaonekana umeshinda betting ya kwanza ya VP.. sasa ebu bashiri nani anaweza pewa iyo wizara ya fedha maana.. ni moja kati ya sensitive ministries
 
Kazi nzuri sana hii. Tanzania nadhani soon itakuwa na the biggest and most developed BRT system in Africa. Kuna cities kadhaa zina BRT kama akina Lagos na zingine chache lakini nadhani mkimaliza phase 3 tayari mtakuwa wababe ya BRT hapa Africa ukizingatia urefu wa kilomita za BRT zilizojengwa, idadi ya stations za BRT, idadi ya abiria wanaobebwa kila siku na idadi ya mabasi yanayotumika. Endeleeni kujenga miundo mbinu ya BRT maana you are going in the right direction kwenye maswala ya urban public transit systems. Mpo mbele sana.
Ur right mkuu.. hongera kea kuwa muwazi
 
Ur right mkuu.. hongera kea kuwa muwazi
Hapana hii bro Tony254 katoa boko. . Take a look hii ni BRT system ya cape Town pekee . N remember wao wanazo BRT system in more than one City,so their system is the best in Africa,alaf labda sisi ndio tunafuatia, hao wa West Africa ni uchafu hawatuwezi
 
Back
Top Bottom