Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatujafika huku mzee kila mwananchi ana haki ya msingi ya kujilinda dhidi ya maradhi na pia ana haki ya Msingi ya kutojilinda na maradhi! Sioni tatizo kwa JK kuvaa barakoa na sidhani kama yeoyote yule anapaswa kushambuliwa! Tuwe na staha!
Well said mkuu. Ila hawa viongozi wastaafu wawe na discipline japo kidogo. Najua wa hatred kwa Magu lakini waache tujikauli twa kubeza serikali ya sasa. Namuheshimu sana Prof. Mark Mwandosya lakini ukiangalia namna ambavyo huwa anai-adress Air Tanzania kwa mfano kwenye page yake ya twitter. Ukakumbuka pia Air Tanzania ilifanywa nini yeye akiwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi, unabaki kusikitika. Kagasheki ndiyo hakuna hata haja ya kumzungumzia.

Viongozi wastaafu wasipende sana kuonesha Magu yuko wrong in public wakati yeye mara zote anajishusha sana kwao. Wanaweza kujimwambafai kwa kuvaa barakoa in public (ambayo ni haki yao) lakini wasipuuze Magu anaposema "mimi ni rais najua mengi".
 
Aisee hicho kiwanda cha coating pipelines kitakuwa wapi? naona kama vile Tanga! Ni investment kubwa sana! The plant will be the first in East and central Africa!
Tony254




View attachment 1709232


maxresdefault.jpg
Najua Magu anacheza karata zake taratibu na kwa umakini. Ujenzi ukianza tusishangae kusikia deal za oil refinery Tanga. Saa hizi mambo ni kimya kimya kama Kabanga. Mnashtukia tu watu wanasaini mega deals.
 
Hizi ndio kitu akili yangu inapenda kusikia. Ila naishangia serikali kuzitilia shaka barakoa kutoka nje ya nchi halafu haizipigi marufuku. Kuna sehemu bado tunakwama kwenye national security. Kama tunazo facility za kuzalisha barakoa why not ban those imported compromised "weapons"? We need to do more.
 
Naona ndio maana waziri wa nishati anakomaa sana na bwawa la Nyerere mkandarasi achape kazi usiku na mchana na aongeze man power ili kazi iishe haraka.

Nasikia November wana anza kujaza maji kwenye bwawa, hadi April next year watakuwa wamemaliza kazi ya kulijaza maji.
June 2022 inatakiwa umeme uwe unazalishwa tayari. Nchi inakimbia. Kila siku kuna stori inachuja inakuja nyingine. Kama zilivyochuja flyover na mwendokasi. Zilichuja pia dreamliner. Soon SGR nayo itachuja. Post 2030 tutakuwa upande mwingine wa maendeleo. Juzi nimesafiri kidogo tu kuingia mkoa mwingine. Humo njiani it's all about viwanda. Vidogo, vidogo sana, vya kati, vikubwa, they don't care! Vinajengwa tu.
 
Kwa maoni yako unaona kama baada ya pipeline kuisha, TZ mnaweza kutufikia kiuchumi?
CC Geza Ulole
Kuwafikia bado kidogo. Kuna mambo ya msingi kama haya lazima yafanyike kwanza. Tulibomoa msingi wa industrialization aliojenga Mwalimu. Sasa tumeamka tunaujenga upya. Just stay tuned, tukimaliza tu tunaongeza bakora tunazowachapa.
 
Mbona msimkimbishe mkandarasi wa SGR? Mbona mnamuwacha Mturuki awachezee kama watoto?
Issue ya SGR lot ya Dar - Moro inahitaji busara ya hali ya juu. Kwa vyovyote vile huenda mkandarasi keshatumia gharama zaidi ya alizitarajia au anakwepa kuvuka ukomo wa gharama. Acha tuitumie kama learning point. Binafsi sitashangaa kama akipewa lot 3 baada ya kukamilisha lot 1.
 
Halafu eti wanajenga reli ya kutumia umeme, Ethiopia wameshindwa ije iwe Tz, malazy full kukurupuka.
Sisi huku hatukurupuki ndio maana Tumeanza na mtambo wa gongo na reli yetu ina option ya kuwa electrified in the future.
Yaani mkuu unatufananisha na Ethiopia! Wale na nyinyi hakuna tofauti. Hata wao gvt yao haiwezi kufund miradi kama nyinyi. Tofauti ni sababu tu. Nyinyi ni corruption na wao ni weakness ya serikali. Katika kutafuta mikopo na misaada wamejekuta engulfed na masharti magumu ya mikopo. Huwezi tarajia maendeleo kwenye nchi yenye 50/50 gender kwenye baraza la mawaziri. Lazima tu mtaendeshwa na mabeberu wawe wazungu au mchina.
 
I agree that if all your projects are completed then there is a possibility of Tanzania becoming the economic powerhouse of this region.
Good, siyo suala la possibility, ndiyo itakuwa hivyo. Ndiyo sababu ya kuwepo mradi wa power transmission from Tz to Ethiopia Via Kenya ambao umeme unaweza kwenda upande wowote ule.
 
Time ya kujidanganya uliisha, saa watu wanavaa barakoa mbili mbili at the same time hili wasipatwe na Corona. Saa hii watu wanaogopa Tanzania kama dawa.

View attachment 1709465
Hao ni "wasomi" mkuu. Hao hawajui mambo ya tangawizi, vitunguu, malimao na sijui kujifukiza. Hao wanasikiliza WHO wanaosema badakoda (in magu tone) zivaliwe hata kama hazijawahi thibitishwa kukinga au kuzuia maambukizi.
 
sasa ulitegemea stand ihamishwe halafu bus zipack kwenye mazingira gani ulitaka gari zipack juu ya miti....?
Yaani tunacho maanisha ni kama jamaa fukara anayeishi uswahilini sijui wapi...apate pesa kidogo tu halafu aende akanunue TV 80" inches akaiweke Kwa kijunba cha mabati...hivyo ndio mnaonekana yaanani ni ukalulu tu stendi hizo
 
Back
Top Bottom