Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hata time frame hamna...mradi unastahili ujulikane unaanza lini na utaisha lini ...lakini hapa ni kubahatisha tu....
Halafu bus station ndio inamaana ganai ikawa na kuta kuuuubwa kibonzo bonzo yaani kufanya mabo pasipo na hekima balaa
mbona ni kama unamaumivu hivi lakini hutaki tujue.

ungeshuhudia tunaanza kuchimba ili kujenga vituo vya mwendokasi, si ungezimia kwa kushangaa hiyo zege!!!!
 
Tatizo la Mkwere ni kupenda sifa sana.
Kuna ile slogan yake kwamba nchi za africa haziwezi bila misaada. Nilikuwa siupendi huu basi tu.
Miradi aliyofanya Magufuli for 5yrs pamoja na kwamba haijakamilika mingine but ishafunika ile aliyofanya kikwete for 10yrs.
Hawezi furahia hilo plus tax makusanyo yamedouble.
Kwa wastaafu pekee walio hai Magu anaweza wasikiliza ni Mwinyi na Pinda.
Ipi hiyo iliyofunika,mbona huitaji ? unabwabwaja tuu.2015 tayari Wajapan walikuwa site Tazara na Ubungo,Wakorea walikuwa kwenye mobilization ya salander bridge na pesa zilikuwepo alizo mobilize JK

Tumiradi tembo mweupe twa Magu ni stori na kujisifia bila ku deliver,huyu alishadhibiti freedom of press and opposition ili wasifukue madudu ila bado ni mtu wa kulia lia since day one..tuonesheni reli basi.

Miaka 10 ya JK aliifungua nchi kwa barabara za lami sasa miaka 5 ya Magu hadi leo hii kigoma na kanda ya magharibi ni kuogelea kwenye matope tuu,imagine eti ndani ya 5yrs wamejenga less than 4500km of paved afu ndio wana jimwambafy,hadi Mkapa alianza kumchana huyo mtu wanu.
 
Hata huna aibu kusema kuwa meli inangoja for one week. In Mombasa port meli hata haimilizi hata siku mbili ikingoja. That just shows how Dar port operations is shit.
ndio sababu tukiwaambia hatua zetu ni za mikakati muelewe nini tunasema.

ukitazama huzo picha hapo chini, utagundua mahitaji ya mizigo ni makubwa kuliko uwezo wa bandari. tunatanua.
View attachment 1709100View attachment 1709101
 
naangalia pembeni pembeni mwa picha hii naona umasikini ulio kithiri....yaani mnafanya mambo msio yaweza .eti kushindana na kenya ...kenya ilipiga hatua kitambo...na pesa tunazo kusanya kutoka kwa kodi ni kama mara tano ya tanzania.. twaambiwa usishindane na ndovu kunya ..msamba utaumia...ona sgr yao wamesgindwa kuimaliza...
Na hujakosea hapo Mbezi ilipo hii stand ya kifahari maisha ya watu ni hovyo tuu,ndio maana hata bunge la chama kimoja limeanza kuwashtukia kwamba wanatumia pesa za walipakodi kwa vitu vya kijinga visivyo na faida kama haya mastendi,wamejenga nchi nzima eti ni maendeleo.

Ukimwambia mtu alete justification ya namna mabilioni ya hii kiradi ya kijinga inavyochangia ustawi wa watu hakuna cha maana atasema zaidi ya blaa blaa
 
Na hujakosea hapo Mbezi ilipo hii stand ya kifahari maisha ya watu ni hovyo tuu,ndio maana hata bunge la chama kimoja limeanza kuwashtukia kwamba wanatumia pesa za walipakodi kwa vitu vya kijinga visivyo na faida kama haya mastendi,wamejenga nchi nzima eti ni maendeleo.

Ukimwambia mtu alete justification ya namna mabilioni ya hii kiradi ya kijinga inavyochangia ustawi wa watu hakuna cha maana atasema zaidi ya blaa blaa
sasa ulitegemea stand ihamishwe halafu bus zipack kwenye mazingira gani ulitaka gari zipack juu ya miti....?
 
ni nani aliyekuwa waziri wa ujenzi kwa hiko kipindi....?
Waziri wa ujenzi anaamua nini zaidi ya kutekeleza sera za boss wake? Mbona hakuweza kuwa na jeuri ya kujipendelea kijijini kwake kama alikuwa na hiyo power zaidi ya ile road aliyoipindisha kwake?
 
Ipi hiyo iliyofunika,mbona huitaji ? unabwabwaja tuu.2015 tayari Wajapan walikuwa site Tazara na Ubungo,Wakorea walikuwa kwenye mobilization ya salander bridge na pesa zilikuwepo alizo mobilize JK

Tumiradi tembo mweupe twa Magu ni stori na kujisifia bila ku deliver,huyu alishadhibiti freedom of press and opposition ili wasifukue madudu ila bado ni mtu wa kulia lia since day one..tuonesheni reli basi.

Miaka 10 ya JK aliifungua nchi kwa barabara za lami sasa miaka 5 ya Magu hadi leo hii kigoma na kanda ya magharibi ni kuogelea kwenye matope tuu,imagine eti ndani ya 5yrs wamejenga less than 4500km of paved afu ndio wana jimwambafy,hadi Mkapa alianza kumchana huyo mtu wanu.
2015 wajapan walikuwa ubungo tayar, ni njaa au bangi umevuta.
 
mbona wewe na mbuzi wenzako mnasema aligawa nyumba za serikali, power aliitoa wapi??
Wewe nyumbu ufahamu kwamba hiyo kai alitumwa na boss wake marehemu.Subiri atoke utaona matusi atakayooga na wapambe njaa mnajifanya watetezi wake hamtakenua tena maana mtakuwa sio wanufaika ila saizi ni zamu yenu tambeni
 
Waziri wa ujenzi anaamua nini zaidi ya kutekeleza sera za boss wake? Mbona hakuweza kuwa na jeuri ya kujipendelea kijijini kwake kama alikuwa na hiyo power zaidi ya ile road aliyoipindisha kwake?
tumia akili cha kwanza kupitia mapovu yako yasiyo na tija huwezi kupata msaada humu,pia hakuna mradi unaojengwa na raisi tokea nyerere,mwinyi,mkapa,kikwete hata magufuli miradi yote ni pesa kutoka kwa walipa kodi ambao ni watanzania hivyo hakuna cha nani sijui alifanya hivi sijui yule kafanya ivi,,hao wote tajwa wanaweza kushindana kwenye usimamizi tu wa miradi ya nchi na si kinginecho,,,.
hao viongozi wote wanafuata ilani ya chama chao
FULL STOP

pia kuhusu kujipendelea binadamu yeyote yule duniani hilo pungufu analo hata wewe inawezekana ukapata pesa na ukashindwa kuwatumia wazazi wako lakini chaajabu ukamtumia demu wako ambaye hata hana faida na wewe zaidi ya kukuchanulia nakukupiga mizinga ila cha kufurahisha na cha kukuuliza ,je huko unakosema kapindisha sijui barabara kwake kwani atakuwa anapita peke yake milele..?...
kwani tanzania nzima imejengwa huko pekee...?..
 
Wewe nyumbu ufahamu kwamba hiyo kai alitumwa na boss wake marehemu.Subiri atoke utaona matusi atakayooga na wapambe njaa mnajifanya watetezi wake hamtakenua tena maana mtakuwa sio wanufaika ila saizi ni zamu yenu tambeni
hatuwezi teseka baada ya kutoka yeye kama wewe unavyohaha ulimi nje baada ya JK kutoka, sababu sisi sio chawa kama nyinyi, sisi ni wazalendo.wapenda maendeleo.

sisi na yeye tuko kwa ajiri ya tanzania sio, matumbo yetu kama wewe kiazi kibovu.

mara tena boss wake kawa marehem
 
Back
Top Bottom