Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawezi jua kwanini JPM amewekeza kwenye umeme namna hii kama najua chemistry coating inahusu mambo ya electrolysis na hutumia umeme mwingi!
Naona ndio maana waziri wa nishati anakomaa sana na bwawa la Nyerere mkandarasi achape kazi usiku na mchana na aongeze man power ili kazi iishe haraka.

Nasikia November wana anza kujaza maji kwenye bwawa, hadi April next year watakuwa wamemaliza kazi ya kulijaza maji.
 
Aisee hicho kiwanda cha coating pipelines kitakuwa wapi? naona kama vile Tanga! Ni investment kubwa sana! The plant will be the first in East and central Africa!
Tony254




View attachment 1709232


maxresdefault.jpg

Hongera kwa kupata coating industry ya pipeline. Africa inazidi kusonga mbele.
 
Cha ajabu ni kwamba anaogopa nn kuja na ID ya kwanza au sindano zimemuingia anaona haya jinc nchi inavyojengwa, mana hawa si anti-Magu
huyo amebadiri ID ile ya kwanza baada ya kupuuzwa mpaka na aliohisi watamuunga mkono(wakenya).

maana walimpuuza baada ya kugundua ni FIPA lililojificha kwenye upande wao wa battle,linaponda mpaka vitu vya msingi.
 
Kwa maoni yako unaona kama baada ya pipeline kuisha, TZ mnaweza kutufikia kiuchumi?
CC Geza Ulole
why not kwa mwenendo mlionao wa kukopakopa kila mahala na 59% of Kenya's budget kuenda kwenye kulipa loans sioni kwann tusiwafikie! Hamna good roadmap! Hii pipeline ita-reorient uchumi wa Uganda and give more freedom to them, believe me hata cargo itakuja Tanga na free movement ipo already simplified Uganda airlines na Air Tanzania zitarahisisha wafanyabiashara kuja Tanga! Jua South Sudan and DRC r likely to link up to Total pipeline aside chances of Tanzania discovering her own oil! Mind u we r both in low middle income level though u have been there for over 8 years we r already in 3rd phase of SGR though we started way behind Kenya! JPM is not a joke is even expanding Tanga airport aside Tanga port.


South Sudan is next, mind u Total has oil firlds in Juba!

EAC-Pipeline-Network-Authors-illustration-with-data-from-Abdallah-2017-Google.png
 
Naona ndio maana waziri wa nishati anakomaa sana na bwawa la Nyerere mkandarasi achape kazi usiku na mchana na aongeze man power ili kazi iishe haraka.

Nasikia November wana anza kujaza maji kwenye bwawa, hadi April next year watakuwa wamemaliza kazi ya kulijaza maji.
Mbona msimkimbishe mkandarasi wa SGR? Mbona mnamuwacha Mturuki awachezee kama watoto?
 
Yaani tulifika cup finals in Madrid 7s? I am a die-hard rugby fan lakini this weekend I was busy I was not able to watch it. This is great news.
Yeah but ‘‘twas just an invitational tournament, not part of the HSBC sevens series circuit.
 
daah mi sijui hayo mkuu inawezekana huu mradi ulishuka kutoka mbinguni aisee yaani hata hsuna time plsn haujulikani umeanza lini wala haujulikani itaisha lini duuj,,,kumbe kuna liukuta kubwaa,,,daah kweli Tz ni miyeyusho yaani huea sielewi kabisa hayo mambo
Halafu eti wanajenga reli ya kutumia umeme, Ethiopia wameshindwa ije iwe Tz, malazy full kukurupuka.
Sisi huku hatukurupuki ndio maana Tumeanza na mtambo wa gongo na reli yetu ina option ya kuwa electrified in the future. 😂😂
 
why not kwa mwenendo mlionao wa kukopakopa kila mahala na 59% of Kenya's budget kuenda kwenye kulipa loans sioni kwann tusiwafikie! Hamna good roadmap! Hii pipeline ita-reorient uchumi wa Uganda and give more freedom to them, believe me hata cargo itakuja Tanga na free movement ipo already simplified Uganda airlines na Air Tanzania zitarahisisha wafanyabiashara kuja Tanga! Jua South Sudan and DRC r likely to link up to Total pipeline aside chances of Tanzania discovering her own oil! Mind u we r both in low middle income level though u have been there for over 8 years we r already in 3rd phase of SGR though we started way behind Kenya! JPM is not a joke is even expanding Tanga airport aside Tanga port.


South Sudan is next, mind u Total has oil firlds in Juba!

EAC-Pipeline-Network-Authors-illustration-with-data-from-Abdallah-2017-Google.png
I agree that if all your projects are completed then there is a possibility of Tanzania becoming the economic powerhouse of this region.
 
Back
Top Bottom